Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Zikinata inamaana umezidisha maji au haujazikanda zikakandika. Endelea kukanda hadi donge liwe lainiiii.
Mi naacha bhana wee,cha kujifia 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikinata inamaana umezidisha maji au haujazikanda zikakandika. Endelea kukanda hadi donge liwe lainiiii.
Mmh!hahah samaki hapanaEeh upate samaki mwenye mnofu ka kingfish aungwe na nazi vizuri. Lile chuzi zito ukisindikizia na chapati yako hio lazma uje kunishukuru.
Bonge moja la Combo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi naacha bhana wee,cha kujifia [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.... hii ni zaidi ya wale wa KFCMezeni mate tu hainihusu![emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1428334
Chapata kuwa ngumu sana tatzo ni mafuta au maji...?
Mana juzi nmejaribu tatzo Kama ilo limetokea nikahisi labda maji niliweka kidogo...adi naogopa kupika chapata za kusukuma Mana sku ile niliharibu unga wa bimkubwa alimind sanaa
Unakosea kwenye kukanda...Kiasi kingi cha unga nilichowahi kupika ni nusu kilo...mara nyingi napika robo kilo,sasa hapa sijui natakiwa kuweka chumvi kiasi gani?
Nikionja nikaona chumvi ni nyingi naipunguza kwa namna gani?
Kwenye kukanda inawezekana ikawa ni tatizo kwasababu nikiangalia youtube namna dough inavyokuwa na nikiangalia ya kwangu ni tofauti,za youtube ziko katika namna ya kuvutika hivi while niliyokanda mimi inakuwa inakatika katika....hapa huwa nashindwa kujua tatizo ni uwingi/uchache wa maji na mafuta ama nakosea kwenye kukanda?
Aaaamuuu aaaamuuuu ,tamu hiiMezeni mate tu hainihusu![emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1428334
Nitajaribu hii mara ya mwisho,nitakupa mrejesho baba naniliuUnakosea kwenye kukanda...
Na unaweka unga mwingi kwa wakati mmoja especially kama unatumia mkono kukanda. Weka unga kidogo kidogo. Dough inatakiwa iwe smooth kama ugali. Kwani ugali ukipika huwa unaacha mabongemabonge?
Nusu weka 1 teaspoon...ijae. pia kama ukadiriaji wako wa chumvi ni tatizo weka kidogo kidogo huku ukionja. Kwanini uweke nyingi kwa mpigo.
Mimi chumvi nawekea kiganjani bila kipimo maalum na siwezi kukosea.
Tatizo lako kubwa ukandaji. Weka unga kidogo kidogo huku ukihakikisha umekuwa laini na wa kuvutika. Kabla ya kukata balls zako weka tena mafuta kiasi kanda tena hadi mafuta yaingiliane na unga. Baada ya hapo anza kukata balls zako.
Kila la kheri.......Nitajaribu hii mara ya mwisho,nitakupa mrejesho baba naniliu
Asantee,nikiweza nitakupa zawadiKila la kheri.......
Naombea tu iwe tu ninayoiwazia......Asantee,nikiweza nitakupa zawadi
Chapata kuwa ngumu sana tatzo ni mafuta au maji...?
Mana juzi nmejaribu tatzo Kama ilo limetokea nikahisi labda maji niliweka kidogo...adi naogopa kupika chapata za kusukuma Mana sku ile niliharibu unga wa bimkubwa alimind sanaa
Naombea tu iwe tu ninayoiwazia......
Haya hebu chakarika na chapti zikisha kaa sawa nikuletee za kuzishushia nazo...kisha nione zawadi ya Joy.Hiyo kwa kipindi hiki hatutaweza
Umenishinda tabia[emoji134][emoji134][emoji134]
Uje nikufundishe mdogo wangu....... andaa zawado nono ya kunitunuku.Umenishinda tabia[emoji134][emoji134][emoji134]
Mie nikija nakuja kula tu, sitaki kujifunza maana nikishajua nitapata shida kupika. Kwasasa najua kuchemsha chai tu hiyo inatosha.Uje nikufundishe mdogo wangu....... andaa zawado nono ya kunitunuku.
Unataka zawadi gani?Uje nikufundishe mdogo wangu....... andaa zawado nono ya kunitunuku.