Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
 
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
Utakuwa we gongowazi aka utupolo bila shaka
 
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
Pathetic
 
Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!
Musonda alikuwepo wakati mnakandwa 2-0 na Kibu Denga

1690132549551.png
 
Musonda alikuwepo wakati mnakandwa 2-0 na Kibu Denga

View attachment 2697257
Ile si derby, refa wa mchongo maana Simba haikuwa Tena na Cha kuonesha Yanga ilishabeba kombe na morali ya wachezaji haikuwa kiviiiile!
Goli la kwanza la mchongo lilitokana na Kona isiyo halali mpira aliutoa mchezaji wa Kolokoloni na Kona ikapigwa bila filimbi ya refa aliekuwa akipanga wachezaji, Simba ilivizia Yanga hawajajipanga wakapiga Kona na kufunga hebu angalia EPL utaona mshika kibendera anakaa mbele ya mpira Kona isipigwe hadi refa aruhusu ila derby ya maiti haikufuata Hilo!

Kibu D alifunga baada ya Yanga kutokuwa mchezoni, Wala wachezaji hawakununa! Goli la kawaida sana Diarra alikuwa katoka, ushindi wa mchongo ule hata haukumuuma Utopolo yoyote ! Kibu D alifunga nje tu ya 18 ila Feisal kule Kirumba lile goli la kutoka katikati ya uwanja halijalipwa mbona we msahaulifu sana jombaa! Lile goli liliwauma mno mkaanza fitna na mkahahikisha dogo hachezi tena Utopoloni, mbona Sisi hatuna shida na Kibu, goli la kawaida tu! Basi Mbumbumbu mmejisiifu mwaka mzima hata kombe la kuku hamna!
 
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
Wapiga ramli au🤣 acha kuteseka ndugu
 
Mimi ni Mpenzi WA Simba.

MADA yako ni nzuri ila Jitahidi kuandika bila USHABIKI na unazi
Na ujifunze KUWA na uwasilishaji mzuri WA MADA..

Kuna Makosa mengi mno kwenye USAJILI WA Simba.

1. Binafsi sijawahi kuwa na Imani na wachezaji wa Nje ya Africa wanaokuja kucheza AFRIKA.
Mfano.
.Thairone Santos.
.Silver.
.Flaga.
DEJAN

Sijajua kwanini Simba WANAFANYA Hivi, INAWEZEKANA wanaiga VILABU VIKUBWA AFRIKA kama MAMelody.

PUNGUZENI WINGA Mmuongeze Bangala kama kiungo na Beki.

2. MANURA ATARUDI si Muda Mrefu.
Gharama walizoingia kwa huyo KIPA mala mia wangembakisha kakolanya.

Otherwise mashindano ni mengi kiungo na Beki hazitoshi.
 
Mimi ni Mpenzi WA Simba.

MADA yako ni nzuri ila Jitahidi kuandika bila USHABIKI na unazi
Na ujifunze KUWA na uwasilishaji mzuri WA MADA..

Kuna Makosa mengi mno kwenye USAJILI WA Simba.

1. Binafsi sijawahi kuwa na Imani na wachezaji wa Nje ya Africa wanaokuja kucheza AFRIKA.
Mfano.
.Thairone Santos.
.Silver.
.Flaga.
DEJAN

Sijajua kwanini Simba WANAFANYA Hivi, INAWEZEKANA wanaiga VILABU VIKUBWA AFRIKA kama MAMelody.

PUNGUZENI WINGA Mmuongeze Bangala kama kiungo na Beki.

2. MANURA ATARUDI si Muda Mrefu.
Gharama walizoingia kwa huyo KIPA mala mia wangembakisha kakolanya.

Otherwise mashindano ni mengi kiungo na Beki hazitoshi.
Wewe ndio una akili timamu mkuu
 
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
Kojoa ukalale.
Mwiko nyuma ushakuvuruga😂😂
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ile si derby, refa wa mchongo maana Simba haikuwa Tena na Cha kuonesha Yanga ilishabeba kombe na morali ya wachezaji haikuwa kiviiiile!
Goli la kwanza la mchongo lilitokana na Kona isiyo halali mpira aliutoa mchezaji wa Kolokoloni na Kona ikapigwa bila filimbi ya refa aliekuwa akipanga wachezaji, Simba ilivizia Yanga hawajajipanga wakapiga Kona na kufunga hebu angalia EPL utaona mshika kibendera anakaa mbele ya mpira Kona isipigwe hadi refa aruhusu ila derby ya maiti haikufuata Hilo!

Kibu D alifunga baada ya Yanga kutokuwa mchezoni, Wala wachezaji hawakununa! Goli la kawaida sana Diarra alikuwa katoka, ushindi wa mchongo ule hata haukumuuma Utopolo yoyote ! Kibu D alifunga nje tu ya 18 ila Feisal kule Kirumba lile goli la kutoka katikati ya uwanja halijalipwa mbona we msahaulifu sana jombaa! Lile goli liliwauma mno mkaanza fitna na mkahahikisha dogo hachezi tena Utopoloni, mbona Sisi hatuna shida na Kibu, goli la kawaida tu! Basi Mbumbumbu mmejisiifu mwaka mzima hata kombe la kuku hamna!
Maelezo mengi kumbe ni upuuzi
Yanga waliingia uwanjani kushangaa shangaaa
Matokeo ni matokeo haijalishi umeibia au la!
 
Back
Top Bottom