Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

Vipi...imezama yote au??
Mbona aisiii!!!! Kama inauma chomoa
Tangu Utopolo walipoanza kumiliki makombe yote Mbumbumbu fc wamebaki na matusi tu, Yani wanatukana haswa, kweli kushindwa kubaya sana!

Ligi ya bara inaanza Tena Man City ya Bongo aka Utopolo inaenda kujimilikisha makombe kwa msimu wa tatu mfululizo!

Makolo ni huzuni na matusi tu ndivyo wako navyo for now!
 
Ile si derby, refa wa mchongo maana Simba haikuwa Tena na Cha kuonesha Yanga ilishabeba kombe na morali ya wachezaji haikuwa kiviiiile!
Goli la kwanza la mchongo lilitokana na Kona isiyo halali mpira aliutoa mchezaji wa Kolokoloni na Kona ikapigwa bila filimbi ya refa aliekuwa akipanga wachezaji, Simba ilivizia Yanga hawajajipanga wakapiga Kona na kufunga hebu angalia EPL utaona mshika kibendera anakaa mbele ya mpira Kona isipigwe hadi refa aruhusu ila derby ya maiti haikufuata Hilo!

Kibu D alifunga baada ya Yanga kutokuwa mchezoni, Wala wachezaji hawakununa! Goli la kawaida sana Diarra alikuwa katoka, ushindi wa mchongo ule hata haukumuuma Utopolo yoyote ! Kibu D alifunga nje tu ya 18 ila Feisal kule Kirumba lile goli la kutoka katikati ya uwanja halijalipwa mbona we msahaulifu sana jombaa! Lile goli liliwauma mno mkaanza fitna na mkahahikisha dogo hachezi tena Utopoloni, mbona Sisi hatuna shida na Kibu, goli la kawaida tu! Basi Mbumbumbu mmejisiifu mwaka mzima hata kombe la kuku hamna!
Mechi ya liver na Barcelona Trent anapiga kona Origi anafunga refa alipuliza filimbi au kona ilipigwa bila firimbi?
 
Kwa iyo Musonda atacheza na Simba tu mpaka ligi iishe? Dah , pale wapo wawoli tu Jk na Sunday🤣🤣🤣
 
1689875231648.png
 
Ile si derby, refa wa mchongo maana Simba haikuwa Tena na Cha kuonesha Yanga ilishabeba kombe na morali ya wachezaji haikuwa kiviiiile!
Goli la kwanza la mchongo lilitokana na Kona isiyo halali mpira aliutoa mchezaji wa Kolokoloni na Kona ikapigwa bila filimbi ya refa aliekuwa akipanga wachezaji, Simba ilivizia Yanga hawajajipanga wakapiga Kona na kufunga hebu angalia EPL utaona mshika kibendera anakaa mbele ya mpira Kona isipigwe hadi refa aruhusu ila derby ya maiti haikufuata Hilo!

Kibu D alifunga baada ya Yanga kutokuwa mchezoni, Wala wachezaji hawakununa! Goli la kawaida sana Diarra alikuwa katoka, ushindi wa mchongo ule hata haukumuuma Utopolo yoyote ! Kibu D alifunga nje tu ya 18 ila Feisal kule Kirumba lile goli la kutoka katikati ya uwanja halijalipwa mbona we msahaulifu sana jombaa! Lile goli liliwauma mno mkaanza fitna na mkahahikisha dogo hachezi tena Utopoloni, mbona Sisi hatuna shida na Kibu, goli la kawaida tu! Basi Mbumbumbu mmejisiifu mwaka mzima hata kombe la kuku hamna!
Maneno meeeenggiiiiii mlipigwa tu.
 
Tusubiri tuone michuano ikianza ila mm naona Simba wako fra better than yanga Kwanza wanacheza michuano ya supper cup Kisha caf cl second round hi imekaa vzr sna kwao Wana lunyasi
 
Ile si derby, refa wa mchongo maana Simba haikuwa Tena na Cha kuonesha Yanga ilishabeba kombe na morali ya wachezaji haikuwa kiviiiile!
Goli la kwanza la mchongo lilitokana na Kona isiyo halali mpira aliutoa mchezaji wa Kolokoloni na Kona ikapigwa bila filimbi ya refa aliekuwa akipanga wachezaji, Simba ilivizia Yanga hawajajipanga wakapiga Kona na kufunga hebu angalia EPL utaona mshika kibendera anakaa mbele ya mpira Kona isipigwe hadi refa aruhusu ila derby ya maiti haikufuata Hilo!

Kibu D alifunga baada ya Yanga kutokuwa mchezoni, Wala wachezaji hawakununa! Goli la kawaida sana Diarra alikuwa katoka, ushindi wa mchongo ule hata haukumuuma Utopolo yoyote ! Kibu D alifunga nje tu ya 18 ila Feisal kule Kirumba lile goli la kutoka katikati ya uwanja halijalipwa mbona we msahaulifu sana jombaa! Lile goli liliwauma mno mkaanza fitna na mkahahikisha dogo hachezi tena Utopoloni, mbona Sisi hatuna shida na Kibu, goli la kawaida tu! Basi Mbumbumbu mmejisiifu mwaka mzima hata kombe la kuku hamna!

Swali moja mijibu mia
 
wakuu

Hii team naionea huruma sana kwa yanayoenda kuipata msimu huu.

Usajiri wao ni mbovu asilimia mia walipopatia angalau ni kwa yule winga kramo .

Kituko zaidi ni huyu kipa muuza matango kule kwao Brazil, hivi mpo serious kweli viongozi kutuletea huyu mtu?

Mbona musonda atakuwa anaondoka na mipira kila mechi? Yaani nj mama mdangaji tu kila mwenye hela anagegedua..!

Nashauri wachezaji make huko huko msirudi huku maana kitawakuta kikubwa.

Hata hiyo simba day yenyewe inaenda kudoda kiasi kikubwa sanaaaa! Maana mashabiki tumekata tamaa na team yetu mpaka bosi wetu nae kakata tamaa..!

Simba msirudi huko Uturuki..plz.
Unaishi ulimwengu wa kukariri.
 
Back
Top Bottom