Naihurumia sana Simba kwa msimu mbaya itakaoupata

Vipi...imezama yote au??
Mbona aisiii!!!! Kama inauma chomoa
Tangu Utopolo walipoanza kumiliki makombe yote Mbumbumbu fc wamebaki na matusi tu, Yani wanatukana haswa, kweli kushindwa kubaya sana!

Ligi ya bara inaanza Tena Man City ya Bongo aka Utopolo inaenda kujimilikisha makombe kwa msimu wa tatu mfululizo!

Makolo ni huzuni na matusi tu ndivyo wako navyo for now!
 
Mechi ya liver na Barcelona Trent anapiga kona Origi anafunga refa alipuliza filimbi au kona ilipigwa bila firimbi?
 
Kwa iyo Musonda atacheza na Simba tu mpaka ligi iishe? Dah , pale wapo wawoli tu Jk na Sunday🤣🤣🤣
 
Maneno meeeenggiiiiii mlipigwa tu.
 
Tusubiri tuone michuano ikianza ila mm naona Simba wako fra better than yanga Kwanza wanacheza michuano ya supper cup Kisha caf cl second round hi imekaa vzr sna kwao Wana lunyasi
 

Swali moja mijibu mia
 
Unaishi ulimwengu wa kukariri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…