Dikteta Uchwara
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 203
- 278
Hakuna mfano mzuri zaidi ya kunya mkuu??Huyu akidumu katika hayo Madaraka kwa miezi 6 ijayo bila Kuuliwa na Wababe wa Vita Mashariki na Kati Israeli basi Nataukweka (Natakunya) Mubashara kabisa kuanzia hapa Kampala hadi huko / kule Dodoma.
Tabu iko pale paleWadau hamjamboni nyote?
Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.
Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.
Soma pia:
Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.
Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.
Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.
===============================================================
Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.
The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.
He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.
Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure
Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Hata mimi ningekuwa nina assurance ya bikra 72 wenye macho kama goroli na uwezo wa ku'DO na wanawake 100 yaani excess ya 28, plus mito ya hennessy, castle lite n.k ningejiandaa kufa tena nisngejificha kwenye mahandaki ningeenda front kabisa.Mkuu hao mbona walishajiandaa kufa kuliko wewe au Natenyahu alivyojianfaa kuishi?
Kazi ngumu kuliko zote duniani kwa Sasa, Yuko kwenye kilengeo tyr huyoWadau hamjamboni nyote?
Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.
Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.
Soma pia:
Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.
Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.
Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.
===============================================================
Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.
The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.
He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.
Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure
Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Wewe hunyi / huukweki?Hakuna mfano mzuri zaidi ya kunya mkuu??
America analitaka,sijui kobazi wameelewa aliyelitengeneza nani?maana they know nothing.Meanwhile Kuna dude ili hapa linapikwa, wazee wa kupauka miguu kazi wanayo.
Sasa mbona ameteuliwa huoni kama hayo ni majukumu mapya?tafsri yake ni mumemuua yule tunawaletea huyu,usichoelewa kipi hapo?Nyinyi mnaosema ameshajikatia tiket yake ya kwenda kuzimu mnadhani hao wazayuni hawamjui uyo jamaa kama ni mmoja wa wahusika wa ilo kundi ???
Mnadhani anatokea tu mtu from no where na kuwa kongozi wa ilo kundi ?
Sheitwani wapo wengi ila hawa noma!View attachment 3138442
Magaidi wa Hamas wakiwasaka Wakristo huko Asia.
Hivi wewe dogo maisha uswahilini happ kawe ukwamani ndio yamekuharibu hivyo?! Nasikitik ulikuwa dogo mwema..Yote uliyosema hapa juu yangu yanamuhusu pia Mama yako Mzazi kwa 100%
Bora mnge kaa kimya..Wadau hamjamboni nyote?
Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.
Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.
Soma pia:
Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.
Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.
Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.
===============================================================
Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.
The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.
He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.
Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure
Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Kaanze kwanza Kumsaidia yule Basha wako Anayekubenjua Kutwa akipona ndipo uje Kwangu unisaidie baada ya Mimi Kukubenjua vile vile sawa?Hivi wewe dogo maisha uswahilini happ kawe ukwamani ndio yamekuharibu hivyo?! Nasikitik ulikuwa dogo mwema..
Nitafute nikusaidie
"....and America wants one" Halafu kuna sisi wa kwa Mtogole na kwa mfuga Mbwa tuna amini eti Israel anapewa kila kitu na Marekani; while Marekani mwenyewe ana hitaji some weapons from Israel. Dunia ina siri zake nyingi sana. Yawezekana ndio sababu USA anaikumbatia sana Israel, anafaidika nayo pakubwa.Meanwhile Kuna dude ili hapa linapikwa, wazee wa kupauka miguu kazi wanayo.
Wadau hamjamboni nyote?
Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.
Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.
Soma pia:
Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.
Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.
Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.
===============================================================
Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.
The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.
He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.
Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure
Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Hata kama nafanya hivyo, hai justify kuandika hadharani hicho kitendo mkuu wangu.Wewe hunyi / huukweki?
Mtu akisema kuwa Uwezo wa Israel upo katika kupewa msaada Na US, mpuuze,kama Dunia inavyowapuuza flat earthers."....and America wants one" Halafu kuna sisi wa kwa Mtogole na kwa mfuga Mbwa tuna amini eti Israel anapewa kila kitu na Marekani; while Marekani mwenyewe ana hitaji some weapons from Israel. Dunia ina siri zake nyingi sana. Yawezekana ndio sababu USA anaikumbatia sana Israel, anafaidika nayo pakubwa.
Kafie mbele huko.Hata kama nafanya hivyo, hai justify kuandika hadharani hicho kitendo mkuu wangu.