Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah

Naim Qassem ateuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha kigaidi Hezbollah

Huyu akidumu katika hayo Madaraka kwa miezi 6 ijayo bila Kuuliwa na Wababe wa Vita Mashariki na Kati Israeli basi Nataukweka (Natakunya) Mubashara kabisa kuanzia hapa Kampala hadi huko / kule Dodoma.
Hakuna mfano mzuri zaidi ya kunya mkuu??
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.

Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.

Soma pia:

Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.

Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.

Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.

===============================================================

Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.


The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.

He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.

Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure

Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Tabu iko pale pale
 
Mkuu hao mbona walishajiandaa kufa kuliko wewe au Natenyahu alivyojianfaa kuishi?
Hata mimi ningekuwa nina assurance ya bikra 72 wenye macho kama goroli na uwezo wa ku'DO na wanawake 100 yaani excess ya 28, plus mito ya hennessy, castle lite n.k ningejiandaa kufa tena nisngejificha kwenye mahandaki ningeenda front kabisa.
 
_49059956_beard-reu (1).jpg

Magaidi wa Hamas wakiwasaka Wakristo huko Asia.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.

Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.

Soma pia:

Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.

Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.

Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.

===============================================================

Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.


The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.

He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.

Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure

Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Kazi ngumu kuliko zote duniani kwa Sasa, Yuko kwenye kilengeo tyr huyo
 
Nyinyi mnaosema ameshajikatia tiket yake ya kwenda kuzimu mnadhani hao wazayuni hawamjui uyo jamaa kama ni mmoja wa wahusika wa ilo kundi ???

Mnadhani anatokea tu mtu from no where na kuwa kongozi wa ilo kundi ?
Sasa mbona ameteuliwa huoni kama hayo ni majukumu mapya?tafsri yake ni mumemuua yule tunawaletea huyu,usichoelewa kipi hapo?
 
Myahudi anavyo kata roho za viongozi wa magaidi huyu mzee ajiandae na wosia wake aandae kabisa
 
Yote uliyosema hapa juu yangu yanamuhusu pia Mama yako Mzazi kwa 100%
Hivi wewe dogo maisha uswahilini happ kawe ukwamani ndio yamekuharibu hivyo?! Nasikitik ulikuwa dogo mwema..
Nitafute nikusaidie
 
Ngoja Mossad waanze kuTarget ndevu hizo hivi karibuni tu utasikia....

"Aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah amefariki katika mlipuko Mkubwa wa Bomu huko Tehran"
 
B
Wadau hamjamboni nyote?

Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.

Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.

Soma pia:

Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.

Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.

Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.

===============================================================

Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.


The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.

He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.

Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure

Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
Bora mnge kaa kimya..
Msinge mtambulisha Babu wawatu mda simrefu, atakuwa kwa Allah anatafuna mbususu 72 slid
 
Hivi wewe dogo maisha uswahilini happ kawe ukwamani ndio yamekuharibu hivyo?! Nasikitik ulikuwa dogo mwema..
Nitafute nikusaidie
Kaanze kwanza Kumsaidia yule Basha wako Anayekubenjua Kutwa akipona ndipo uje Kwangu unisaidie baada ya Mimi Kukubenjua vile vile sawa?

Endelea na Endeleeni tu Wapumbavu Kukariri kuwa GENTAMYCINE nipo Kawe na kwamba Maisha yangu ni yale yale ama mliyoyazoea au mnayodhani niko nayo.

Shughuli Kubwa ya Kiheshima kwa Afrika Mashariki (ninayoifanya hapa nchini Uganda) nina uhakika itawafungeni Midomo yenu Wapumbavu, Wanafiki na Wachawi wote nikiikamilisha kwa awamu ya Kwanza mwaka 2026 na kwa awamu ya Pili mwaka 2028 na huenda nitaendelea nayo hadi mwaka 2030 na kama Muhoozi akija kuwa Rais wa Uganda nitakuwa nae kwa Majukumu mengine kwa muhula wake wa Kwamba wa kuanzia mwaka 2031 hadi mwaka 2036.

Nakuomba itunze hii Post yangu GENTAMYCINE na ukiweza pia Isambaze kwa Wapumbavu, Wanafiki na Wachawi wenzako na nawaombeni kamwe msiache kuendelea Kunidharau Kwenu na Kukariri kuwa GENTAMYCINE ni yule yule Kimaisha kwa sasa.

Nilishahama Kawe tokea Mwezi February tarehe 18 mwaka huu wa 2024 na kwa Kujiamini kabisa nilitangaza hapa hapa JamiiForums na karibia 85% ya Members wenye Akili timamu (siyo Wendawazimu kama Wewe)

Nipo nchini Uganda (tokea tarehe 9 April, 2024 na niliwaaga tena hapa hapa JamiiForums) kwa Kazi Maalum ya Kuiheshimisha Tanzania yangu na Uganda kutokana na Undugu wetu wa Kihistoria (wa nchi kwa nchi) na wa Kifamilia baina yangu na Familia ya Rais Museveni ila cha Kushangaza bado kuna Mwendawazimu Mmoja amebaki Kukariri kuwa nipo Kawe na Tanzania.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" na Kiumbe ambaye Mwenyezi Mungu kanionyesha Maajabu yake makubwa mno Maishani mwangu na ndiyo maana sitoacha Kumuabudu na Kumshukuru daima.

Nimemaliza.
 
Meanwhile Kuna dude ili hapa linapikwa, wazee wa kupauka miguu kazi wanayo.
"....and America wants one" Halafu kuna sisi wa kwa Mtogole na kwa mfuga Mbwa tuna amini eti Israel anapewa kila kitu na Marekani; while Marekani mwenyewe ana hitaji some weapons from Israel. Dunia ina siri zake nyingi sana. Yawezekana ndio sababu USA anaikumbatia sana Israel, anafaidika nayo pakubwa.
 
Wazee tu mbona a
Wadau hamjamboni nyote?

Kikundi cha Lebanon, Hezbollah, kimesema kuwa kimechagua Naibu Kiongozi Naim Qassem kuwa Hassan Nasrallah, aliyeteketezwa na shambulizi la angani la Israeli mnamo Septemba 27.

Katika taarifa yake, Hezbollah ilisema kuwa Baraza lake la Shura lilimchagua Qassem, mwenye umri wa miaka 71, kuwa kiongozi wake.

Soma pia:

Qassem aliteuliwa kuwa Naibu Kiongozi wa Hezbollah mwaka 1991 na katibu mkuu wa wakati huo, Abbas al-Musawi, ambaye aliuawa na shambulizi la helikopta la Israeli mwaka uliofuata.

Qassem amekuwa katika wadhifa huo hadi Nasrallah alipochukua uongozi, na mara nyingi amekuwa msemaji wa Hezbollah, akifanya mahojiano na vyombo vya habari vya kigeni.

Nasrallah aliuawa Septemba 27 huku Hashem Safieddine ambaye alionekana kama mrithi wa Nasrallah, aliuawa katika mashambulizi ya Israeli wiki moja baadaye.

===============================================================

Lebanese armed group Hezbollah said on Tuesday it had elected deputy head Naim Qassem to succeed slain secretary general Hassan Nasrallah, who was killed in an Israeli air attack on Beirut's southern suburb over a month ago.


The group said in a written statement that its Shura Council had elected Qassem, 71, in accordance with its established mechanism for choosing a secretary general.

He was appointed as Hezbollah's deputy chief in 1991 by the armed group's then-secretary general Abbas al-Musawi, who was killed by an Israeli helicopter attack the following year.

Qassem remained in his role when Nasrallah became leader, and has long been one of Hezbollah's leading spokesmen, conducting interviews with foreign media, including as cross-border hostilities with Israel raged over the last year.
Nasrallah was killed on Sept. 27, and senior Hezbollah figure

Hashem Safieddine - considered the most likely successor - was killed in Israeli strikes a week later.
 
"....and America wants one" Halafu kuna sisi wa kwa Mtogole na kwa mfuga Mbwa tuna amini eti Israel anapewa kila kitu na Marekani; while Marekani mwenyewe ana hitaji some weapons from Israel. Dunia ina siri zake nyingi sana. Yawezekana ndio sababu USA anaikumbatia sana Israel, anafaidika nayo pakubwa.
Mtu akisema kuwa Uwezo wa Israel upo katika kupewa msaada Na US, mpuuze,kama Dunia inavyowapuuza flat earthers.
Afriganstan ilijengwa kwa Muda wa miaka 20 na US, karibu kila ya aina ya Silaha ilipatiwa Lakini Taliban walikuja na AK47 tu wakachukua Nchi.
Sasa kwanini hiyo misaada haikufanya kazi kwa Afriganstan!.
Israel ikiwa Nchi kabisa ilivamia na Nchi za Kiarabu lakini haikupoteza Mamlaka yake ,na matokeo yake mipaka yake ikaongezeka.
 
Back
Top Bottom