Hahah stock inakosekanaje sasaWw tulia mm nakuketea watu hakikisha una stock ya kutosha
Naona sasa unataka uingie kwenye chama cha matapeli.Kwa masikitiko makubwa
Haha me namtania tuKwamba mwanaume hupindui meza lzm ue responsible
Lazima muongezeke, mwenyewe nina mpango kuongeza 5Baba kijacho unatuongezea single mom mjin
ππππNgoja kwanza twende taratb bei za familia sio za vibonde
Usiogope waambie wazae watoto watasoma shule za kataIsije kua serious bro itakua mess if the century
Halaf mkija humu kazi kuwaponda wakati nyie Ndio tatizoLazima muongezeke, mwenyewe nina mpango kuongeza 5
Mbona yupo vizur average 1pc per monthYan mwezi huu march tu hata haujaisha
Ushagonga pisi 3?
Kuna watu mna ka umalaya ka asili [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeelewa kweli alichokiandika?Mbona yupo vizur average 1pc per month
Ni bei gani?Nina miso hapa aje tu nimuuzie bei chee