Naingia gharama za uzinzi niliofanya mwezi huu

Faida ya kuoa ni kwa watu kama wewe ...maana unakuta chai tu na mkate wa siagi mezani mke kakuwekea baada ya mabuzi wake kumuonga ...kijana mtanashati kama wewe unajisogeza tu kunywa chai kwa raha mstarehe[emoji1787][emoji1787] mkeo kazi yake ni kutingisha tu tako akiwa barabarani mabaharia wanamgongea " dada unakula chip nikununulie ....yeye anajibu ndiyo na kidali ila ninaye mdogo wangu wa kike nyumbani anaitwa Asha kama unataka tupige story nunua sahani mbili ili nikifika nyumbani nisipike . Kumbe huyo Asha ndiyo wewe ....baadae mke anakuletea chips zako
 
Aise haya Sasa matusi
 
Huyo wa mwisho huruma imekuponza
 
Ukioa mwenye maji mengi utarudi kwa pisi mwenyewe. Kwani waliooa wametolia?
 
Mhm!labda mimba zamabosi lakini mimba haswa ya Dulla,Roja,Maiko,Fred,Juma wauku kwetu izo nizakuchochea uchungu TU Mpaka upate Ile....kit au usafishe
 
Mkuu hivi wanawake walikifanyia nini?
 
Mkuu hivi wanawake walikifanyia nini?
Kwanza usinikumbushe machungu mzeya wikend hii tule gambe kwnza🤣🤣🤣🤣

Nitafute jtatu nitakupa full mkanda jtanielewa. Ila leo wikend am wana be happpyyyyyy
 
Jitahidi utumie condom,...."Transactional sexual workers"......is among the most common ways of H.I.V transmission nowdays........na hii ni hatari,maana hufanywa na wake za watu,wafanyakazi etc......ni more emotional,traditional,social than financially
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…