Bila shaka kuna mbinu mpya imeingia ya kupiga hela za wanaume pasipo sie kujua
Mke wangu(yupo mbali kidogo na mimi kama km 30 hv,huwa naenda kumuona mara moja moja),huwa kuna mtu huwa anampa taarifa zangu zote kwa ninayoyafanya hasa ya wanawake.
Alishawahi niambia kuwa utakuja kusingiziwa mimba nyingi tu zingine hata zisizo kuwa zako
Na kweli bhana toka aniambie hata hazijapita miezi mingi nikajikuta naambiwa na wanawake wawili tofauti eti wanamimba na huyo mmoja baada ya kumaliza mambo yetu nilimpa p2 akaenda kumeza kwao lakin akaniambia eti kapata mimba
Hawa wanawake wote wawili mpaka kuzichomoa hzo mimba nimetumia almost 200,000 maana zilisumbua sana kutoka,kwahyo nikaanza na kuhudumia kuridisha mwili vizur mpaka sasa nimekoma,nimeanza mchakato wa kuwaacha taratibu ni baki na mke wangu tu
Kuna mwingine nimemaliza kumla wiki chache zilizopita nae nasubir kuambiwa kama amenasa maana alinishitukiza na game ya usiku sana na kondom sikuwa nazo nae hakuwa na pakulala na nilishindwa kumuacha lodge peke yake