Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
😃 asije akasema oooh mabaraza wabaya hawakuniambia mapema.😂 hasibu kama hasibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃 asije akasema oooh mabaraza wabaya hawakuniambia mapema.😂 hasibu kama hasibu
Kabisa bora umeepusha lawama mapema.😃 asije akasema oooh mabaraza wabaya hawakuniambia mapema.
YeahKabisa bora umeepusha lawama mapema.
jitahidi kuelewa mzeeKwahiyo, huwa unakula mtu na dada ake, huoni kama kuna kitu unatafuta?
hahah😃 asije akasema oooh mabaraza wabaya hawakuniambia mapema.
huu uchawi sasaHiyo inaitwa twinsphobia. Huwa inasababishwa na nyota ya phares na kimbosinys.
Kwa wale wanaotamani na wao kuvutia mapacha kwenye mausiano yao, fanya hivi÷
1,usiku wa manane kwenye saa nane kamili usiku amka, chukua kioo kikubwa, vua nguo zote, weka maji koroga na chumvi pact moja, maji ya chumvi mimina kwenye beseni weka mbele ya kioo.
2, simama ndani ya beseni lenye maji ya chumvi ukiwa uchi, panua mikono ukiwa unaangalia juu.
3, kaa ndani ya beseni ukiangaliaa juu lisaa limoja alafu lala kifudifudi.
Kesho utaanza kuona ishara. Zingatia sana ishara