Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

View attachment 2236638
View attachment 2236639

MREJESHO WA MWISHO

GHARAMA za MAVUNO
Kuvuna Eka 20 x 30,000 = 6000,000
Kupiga na kupeta kwa mashine 1000 kwa gunia = 92,000
Mifuko. 50,000 500 kwa mfuko
Usafiri 100,000
Vibarua na mengineyo 100,000

Jumla 1,000,000

Ukichukua gharama za awali kuanzia kukodi shamba, mbegu, kulima, palizi nk jumla ilikua 4,500,000
Ukijumlisha na hii ya uvunaji 1,000,000 jumla kuu ya GHARAMA ZOTE INAKUA 5,500,000

MAVUNO
Nimepata jumla ya gunia 92..........wastani wa gunia 4.6 kwa eka

Kwa sasa gunia la alizeti linauzwa 90,000(i hope litafika 150,000)

Nikisema niuze sasa maana yake ni
90,000 x 92 = 8,280,000

Kukokotoa Faida/hasara

Mauzo. 8,280,000
Gharama 5,500,000

8,280,000-5,500,000 = 2,780,000 FAIDA

Kwa sasa sina mpango wa kuuza alizeti wala kukamua
Nitaiweka stock hadi itakapo adimika bei itakua nzuri na mashudu yatakua bei juu pia
Kwa muda huu naanza kununua rasmi alizeti angalau gunia zingine 250 au 300 ili bajeti yangu ya 40m isogogee kidogo, kisha nitakuja kukamua na kuuza mafuta......nimekamua gunia moja nimepata lita 20 na point
Dengu nimeshindwa kulima sababu ya nvua mbuga imekauka sana

Namshukuru sana MUNGU na wote mlionipa moyo na hata walio nikatisha tamaa kwani walinipa chachu zaidi

Kikubwa nilicho jifunza kwenye kilimo ni usiwe mbahili kwenye mambo ya kitaalamu....... fuata exactly wataalam wanavyo shauri haswa kwenye
Muda wa kulima mapema
Kupanda kwa kanuni
Kupalilia kwa wakati
Uvunaji kuzuia kupoteza mazao mengi on process
Na mwisho simamia mwenye kila hatua

Kwa muda niliotumia na faida iliopo hadi sasa sio kubwa lakini kwangu mimi ni USHINDI mkubwa sana kwa maana ya UZOEFU
(Iwapo bei itafika 150,000 kama msimu uliopita basi nategemea kuuza 11m faida itakuja 5.5 sio mbaya)

Changamoto kubwa niliokutana nayo so far ni mvua kuondoka MAPEMA haswa kwenye eka nilizo lima mwishoni, vinginevyo ningepata hata wastani wa gunia 5-7 kwa eka

Next season nitarudi nikiwa na nguvu zaidi na ari zaidi
Ukwaju
Hongera sana tu

Hicho ndi kilimo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
nikiamua kununua kipindi hiki na kukamua mafuta kabisa,ili nipunguze gharama za kuhifadhi,je! mafuta yataharibika ifikapo kipindi cha kuadimika kwake!??
 
Ya kiwanda gani hawa? Simgida Fresh oil au Misuna?

Singida viwanda vipo kibao boss

Kujua mkulima kachujia wapi umuulize mwenyewe

Mimi nakobolea kiwanda cha karibu na mazingira yangu.
 
nikiamua kununua kipindi hiki na kukamua mafuta kabisa,ili nipunguze gharama za kuhifadhi,je! mafuta yataharibika ifikapo kipindi cha kuadimika kwake!??

Hayawezi kuharibika mkuu
Mafuta yana uwezo wa kukaa muda mrefu sana
 
nikiamua kununua kipindi hiki na kukamua mafuta kabisa,ili nipunguze gharama za kuhifadhi,je! mafuta yataharibika ifikapo kipindi cha kuadimika kwake!??

Uhifadhi kwenye madumu mapya yatakaa muda mrefu tu.
 
View attachment 2236638
View attachment 2236639

MREJESHO WA MWISHO

GHARAMA za MAVUNO
Kuvuna Eka 20 x 30,000 = 6000,000
Kupiga na kupeta kwa mashine 1000 kwa gunia = 92,000
Mifuko. 50,000 500 kwa mfuko
Usafiri 100,000
Vibarua na mengineyo 100,000

Jumla 1,000,000

Ukichukua gharama za awali kuanzia kukodi shamba, mbegu, kulima, palizi nk jumla ilikua 4,500,000
Ukijumlisha na hii ya uvunaji 1,000,000 jumla kuu ya GHARAMA ZOTE INAKUA 5,500,000

MAVUNO
Nimepata jumla ya gunia 92..........wastani wa gunia 4.6 kwa eka

Kwa sasa gunia la alizeti linauzwa 90,000(i hope litafika 150,000)

Nikisema niuze sasa maana yake ni
90,000 x 92 = 8,280,000

Kukokotoa Faida/hasara

Mauzo. 8,280,000
Gharama 5,500,000

8,280,000-5,500,000 = 2,780,000 FAIDA

Kwa sasa sina mpango wa kuuza alizeti wala kukamua
Nitaiweka stock hadi itakapo adimika bei itakua nzuri na mashudu yatakua bei juu pia
Kwa muda huu naanza kununua rasmi alizeti angalau gunia zingine 250 au 300 ili bajeti yangu ya 40m isogogee kidogo, kisha nitakuja kukamua na kuuza mafuta......nimekamua gunia moja nimepata lita 20 na point
Dengu nimeshindwa kulima sababu ya nvua mbuga imekauka sana

Namshukuru sana MUNGU na wote mlionipa moyo na hata walio nikatisha tamaa kwani walinipa chachu zaidi

Kikubwa nilicho jifunza kwenye kilimo ni usiwe mbahili kwenye mambo ya kitaalamu....... fuata exactly wataalam wanavyo shauri haswa kwenye
Muda wa kulima mapema
Kupanda kwa kanuni
Kupalilia kwa wakati
Uvunaji kuzuia kupoteza mazao mengi on process
Na mwisho simamia mwenye kila hatua

Kwa muda niliotumia na faida iliopo hadi sasa sio kubwa lakini kwangu mimi ni USHINDI mkubwa sana kwa maana ya UZOEFU
(Iwapo bei itafika 150,000 kama msimu uliopita basi nategemea kuuza 11m faida itakuja 5.5 sio mbaya)

Changamoto kubwa niliokutana nayo so far ni mvua kuondoka MAPEMA haswa kwenye eka nilizo lima mwishoni, vinginevyo ningepata hata wastani wa gunia 5-7 kwa eka

Next season nitarudi nikiwa na nguvu zaidi na ari zaidi
Ukwaju

Hongera sana kiongozi.
 
Haya mashamba ya kwenye vitabu mie nayaogopa sana kiongozi.
 
Jaman nina Trekta mbili saafi kabisa zipo arusha... kwa mwenye shamba aseme alipo tulime mwakani... piga 0763477578
 
Mkuu umepambana Sana kk sorry naweza kupata Namba Yako ya cm Mkuu Niko Arusha kk 0756 778 158 nicheki Kwa Hio kk
 
Nimepata jumla ya gunia 92..........wastani wa gunia 4.6 kwa eka

Kwa sasa gunia la alizeti linauzwa 90,000(i hope litafika 150,000)
Kwa alizeti unazungumzia gunia la debe ngapi? 6/7/9 nataka nijue bei ya debedebe
 
Back
Top Bottom