Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Mkuu naomba nikushauri kitu Cha muhimu naomba uweke vibalua wa kuhamia ndege maana ndege hupunguza mavuno kwa asilimia 35- 80% ivyo jitahidi kuwa makini maana utalima eneo la mbugani kwaiyo ndege itakuwa ni tatizo kwa upande wako

Pia kuhusu palizi ni kwanzia week ya pili hadi ya sita toka kupanda

Kuhusu mbegu Kuna aina mbili moja inatoa mafuta mengi lkn mavuno madogo lkn nyingine mavuno mengi lkn mafuta kidogo kwaiyo inabidi uchague kutokana na soko lako
Mkuu nashukuru kwa ushauri haswa hapo kwenye muda wa palizi
Huku ndege sio tatizo sana labda kuna misimu wanazuka ndege wengi, lakini marachache

Kuhusu mbegu bado sijaamua vizuri sababu nataka kukamua na kuuza mafuta na mashudu na sio kuuza alizeti

Nimeambiwa Hysun 33 ina mafuta ya kutosha sana.......... unaionaje?
Kuna mtu ana alizeti hii Hysun kama gunia 10 hivi lakini imetumika mara moja, yaani alinunua mwaka jana akaipanda na ameivuna, naweza kuitumia hii au nizame tu dukani elf35 per kilo 2
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri haswa hapo kwenye muda wa palizi
Huku ndege sio tatizo sana labda kuna misimu wanazuka ndege wengi, lakini marachache

Kuhusu mbegu bado sijaamua vizuri sababu nataka kukamua na kuuza mafuta na mashudu na sio kuuza alizeti

Nimeambiwa Hysun 33 ina mafuta ya kutosha sana.......... unaionaje?
Kuna mtu ana alizeti hii Hysun kama gunia 10 hivi lakini imetumika mara moja, yaani alinunua mwaka jana akaipanda na ameivuna, naweza kuitumia hii au nizame tu dukani elf35 per kilo 2
Jamaa kaweka kitabu kizuri hapo..nimepitia nimeona hii hysun ni hybrid...
Hybrid haishauriwi irudiwe kupandwa
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri haswa hapo kwenye muda wa palizi
Huku ndege sio tatizo sana labda kuna misimu wanazuka ndege wengi, lakini marachache

Kuhusu mbegu bado sijaamua vizuri sababu nataka kukamua na kuuza mafuta na mashudu na sio kuuza alizeti

Nimeambiwa Hysun 33 ina mafuta ya kutosha sana.......... unaionaje?
Kuna mtu ana alizeti hii Hysun kama gunia 10 hivi lakini imetumika mara moja, yaani alinunua mwaka jana akaipanda na ameivuna, naweza kuitumia hii au nizame tu dukani elf35 per kilo 2
Kwa biashara ya mafuta NUNUA MBEGU YA HYESUN HUTAJUTA
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri haswa hapo kwenye muda wa palizi
Huku ndege sio tatizo sana labda kuna misimu wanazuka ndege wengi, lakini marachache

Kuhusu mbegu bado sijaamua vizuri sababu nataka kukamua na kuuza mafuta na mashudu na sio kuuza alizeti

Nimeambiwa Hysun 33 ina mafuta ya kutosha sana.......... unaionaje?
Kuna mtu ana alizeti hii Hysun kama gunia 10 hivi lakini imetumika mara moja, yaani alinunua mwaka jana akaipanda na ameivuna, naweza kuitumia hii au nizame tu dukani elf35 per kilo 2
Mkuu kuhusu kununua iyo mbegu kwa jamaa yako sikushauli kufanya ivyo ipo ivi mbegu za Hybrid ikiwemo hysun 33 huwa ailuhusiwi kupandwa zaidi ya mala moja maana ni hybrid kwa sababu azitegemei wadudu katika uchavushaji ( closed pollination ) ivyo Mkuu ni Bora ukanunua dukani ambayo ni mpya kabisa kuliko kufanya ivyo maana bei yake ni 35000

Nibora ukanunua OPV kama vile Rocord maana inategemea wadudu kwenye uchavushaji kama utaona ni gharama kwasababu inauwaza 6000-12000

Lkn kama unataka mafuta mengi tumia mbegu ya Agwara 4 kwasababu gunia la 65kg linatoa 31-34 Liter za mafuta Wakati Hysun 33 inatoa 29-31 Liter za mafuta kwaiyo Agwara ipo poa


Lkn Mkuu shida ipo kwenye machine za ukamuaji unakuta umeme ni mdogo pia shaft ijachomwa kwa wakati sahihi ivyo inapelekea kuota kiasi Cha mafuta kisicho sahihi ivyo nakushauli kuwa makini nibora ukakamuwe mjini maana uko kunauwakika na sio kijijini
 
Jembe la mkono halimkomboi mkulima, tumia zana za kisasa za kilimo
Shida sio jembe shida ni elimu ya kile unachokilima ujue kinataka nini na kwa mda gani ujue ni mda upi ni sahihi kulima mda upi hutakiwi kulima.

Lakini hata uwe na dhana za kisasa lakini huna elimu ya kutosha ya kile unachokilima utalia tu mwisho wa siku.
 
MLETA MADA KANUNUE MBEGU SERIKALINI BEI RAHISI HIZO HIZO KINA HYESUN N.K
 
Nami nimeelekezwa wanauzia Ofisi za kilimo kule karibu VETA Ila nami natarajia Leo ndo Ni lakini pia Kuna Pixus wapo kizota na chamwino Ikulu wanatoa mbengu free takutumia namba uwacheki
Nitakushuru sana mkuu.
 
Inaitwaje hiyo mbegu kuna mbegu ilijadiliwa sana humu nautafuta ule uzi siuoni nazan ndio hiyo mana naona bei zinaendana

IMG_1901.jpg

Hii hapa
 
Mkuu kuhusu kununua iyo mbegu kwa jamaa yako sikushauli kufanya ivyo ipo ivi mbegu za Hybrid ikiwemo hysun 33 huwa ailuhusiwi kupandwa zaidi ya mala moja maana ni hybrid kwa sababu azitegemei wadudu katika uchavushaji ( closed pollination ) ivyo Mkuu ni Bora ukanunua dukani ambayo ni mpya kabisa kuliko kufanya ivyo maana bei yake ni 35000

Nibora ukanunua OPV kama vile Rocord maana inategemea wadudu kwenye uchavushaji kama utaona ni gharama kwasababu inauwaza 6000-12000

Lkn kama unataka mafuta mengi tumia mbegu ya Agwara 4 kwasababu gunia la 65kg linatoa 31-34 Liter za mafuta Wakati Hysun 33 inatoa 29-31 Liter za mafuta kwaiyo Agwara ipo poa


Lkn Mkuu shida ipo kwenye machine za ukamuaji unakuta umeme ni mdogo pia shaft ijachomwa kwa wakati sahihi ivyo inapelekea kuota kiasi Cha mafuta kisicho sahihi ivyo nakushauli kuwa makini nibora ukakamuwe mjini maana uko kunauwakika na sio kijijini

Mkuu umeniua wakati mi nimenunua Mbegu ili nipate za kupanda next year [emoji2308]
 
MLETA MADA KANUNUE MBEGU SERIKALINI BEI RAHISI HIZO HIZO KINA HYESUN N.K

Sehemu gani wanauza kwa Arusha

Manake nimeshauriwa niachane na za kienyeji labda naweza nikaongezea hizo
 
Back
Top Bottom