Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Somo zuri mkuu , papai imekaa kimasihara flan hv kumbe watu wanatokea humohumo.Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Umeona eeSomo zuri mkuu , papai imekaa kimasihara flan hv kumbe watu wanatokea humohumo.
Sawa boss link iko inbox
Karibu mjiniDuhh
NdioUnasema kweli mkuu
Papai tundaPapai ni code? Au ni papai kweli......
Ukiitwa kwenye fursa ujue fursa ni wewe😄Ndio
unye labda kama n yale mapapai watu wasio yajuaHaya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Unazani ata ungekuja kuandika huku kama ni kweli unapata izo pesa 🤣🤣🤣 wewe sema unataka interested peoples uanze kuwafundisha kilimo ili wakulipe Ada lakini kimsingi ni kwamba huingizi izo pesa mkuu.Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Kiimo rahisi ni papaiRahisi sana kusema au kuandika,ingia uwandani sasa!
Tikiti ni ngumu kiimoKilimo cha mapapi kinalipa s ni kama matikiti tu
Labda lile papai lingine vinginevyo hiki ni kilimo cha pdf, jichanganye ujute.Papai ni code? Au ni papai kweli......