Naiomba serikali iangalie namna ya wasanii wanaotaka kufikisha ujumbe kwa jamii watumie mambo yote ya imani yao na siyo imani nyingine

Naiomba serikali iangalie namna ya wasanii wanaotaka kufikisha ujumbe kwa jamii watumie mambo yote ya imani yao na siyo imani nyingine

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mimi kama mkristo wa imani ya kikatoliki ninaiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iangalie namna ambayo wasanii wa maigizo muziki nyimbo ngoma nk wanapotaka kufikisha ujumbe kwà jamii unaogusa imani basi watumie imani yao binafsi ili hata ujumbe huo UKIWA hasi basi viongozi wa dini au imani husika hawatahemuka kuinyoshea imani au dini nyingine kidole.

Mfano mimi kama mkristo mkatoliki nikitaka kuonyesha kuna rushwa kwenye dhehebu langu dini au kanisa basi mfano utokee kwà padri na sio shehe au mufti.

Superbug
 
Kuna kisa nilikisoma sikumbuki Kama ilikuwa Gideon or something. Alisema nadhan Seth, Kama baali ni mungu? Muache ajipiganie mwenyewe. .

I am Catholic too. Soma mathayo 6 "Usihukumu". Yeyote atakauejaribu kudhihaki neno la Bwana mwache njia yake ni motoni. Tutaenda wote mbinguni mzee?
 
Mimi kama mkristo wa imani ya kikatoliki ninaiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iangalie namna ambayo wasanii wa maigizo muziki nyimbo ngoma nk wanapotaka kufikisha ujumbe kwà jamii unaogusa imani basi watumie imani yao binafsi ili hata ujumbe huo UKIWA hasi basi viongozi wa dini au imani husika hawatahemuka kuinyoshea imani au dini nyingine kidole.

Mfano mimi kama mkristo mkatoliki nikitaka kuonyesha kuna rushwa kwenye dhehebu langu dini au kanisa basi mfano utokee kwà padri na sio shehe au mufti.

Superbug

Uko sahihi kabisa ingekuwa ni mkristo ndiye amemwambia shekh PITA HUKU kungechimbika pasingetosha
 
Kweli wewe ni Superbug 😂😂😂😂
Upole na busara zetu zinatafsiriwa ni unyonge kuna imani ukitumia haiba za viongozi wao au nyumba zao za ibada wanakuchomea nyumba mchana kweupe sasa ili kuwe na mizania ya haki basi kila mtu amkosoe kiongozi wake wa dini kwà maovu yake au kupitia dhehebu lake.
 
Upole na busara zetu zinatafsiriwa ni unyonge kuna imani ukitumia haiba za viongozi wao au nyumba zao za ibada wanakuchomea nyumba mchana kweupe sasa ili kuwe na mizania ya haki basi kila mtu amkosoe kiongozi wake wa dini kwà maovu yake au kupitia dhehebu lake.
Dini ya kikristu inahubiri upendo. Amri kubwa kuliko zote ni amri ya mapendo. .

Wenzetu ukiwauliza amri zao ni zipi utapata majibu ya dini zao na miungu Yao😊
 
Tuwe wakweli na firm wakristo sio wajinga kukaa kimya kuona sanaa hasi zinatumika makanisani tuuuu na kwà viongozi wao wa dini sasa tuhamie Qatar ila kwakuwa tunawajua wenzetu sio wavumilivu na hawana busara basi sanaa zao sasa wazifanyie misikitini na kwà mashehe wao. Sisi kama wakristo hatutaigiza kwenye nyumba zao za ibada wala kwà viongozi wao wa dini maana tunajua kwao hata sanaa ni blasphemy hawana mzaha wala elimu ya sanaa.
 
hivi kwanini msideal na msanii aliyefanya hilo kosa mnatusingizia waislamu wote?
 
hivi kwanini msideal na msanii aliyefanya hilo kosa mnatusingizia waislamu wote?
Neno kusingizia umelitumia vibaya katika uhalisi wa yanayotokea.Na si uislamu tu.Waigize u-Buddha,Hindu,Bahai,Uyahudi,Voodoism nk.Kwa ufupi kila mtu acheze ngoma ya kwao ili akiulizwa kuhusu ufungaji mzuri wa kibwebwe aueleze kwa matao.
 
hivi kwanini msideal na msanii aliyefanya hilo kosa mnatusingizia waislamu wote?
Mko so volitile kwenye mambo ya imani hamna subira kuna mkuu wa wilaya mlimfanyia hovyo dodoma mwanamke kisa kavaa ushungi Enzi za JK bahati nzuri vyombo vya usalama vikapeleka taarifa sahihi kwamba yule mama alikuwa mkristo. Imagine isingekuwa taasisi za usalama yule mama na familia yake ingekuwaje?
 
Uko sahihi kabisa ingekuwa ni mkristo ndiye amemwambia shekh PITA HUKU kungechimbika pasingetosha
Watu tata sana kuishi nao imagine kuchinja nyama miaka ile ya JK walikuwa wanalazimisha na mpaka leo tumekaa kimya ila leo wanaimba nyimbo za kuwatumia viongozi wa dini za kikristo.
 
Mimi kama mkristo wa imani ya kikatoliki ninaiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iangalie namna ambayo wasanii wa maigizo muziki nyimbo ngoma nk wanapotaka kufikisha ujumbe kwà jamii unaogusa imani basi watumie imani yao binafsi ili hata ujumbe huo UKIWA hasi basi viongozi wa dini au imani husika hawatahemuka kuinyoshea imani au dini nyingine kidole.

Mfano mimi kama mkristo mkatoliki nikitaka kuonyesha kuna rushwa kwenye dhehebu langu dini au kanisa basi mfano utokee kwà padri na sio shehe au mufti.

Superbug
Basata imelala
 
Uko sahihi kabisa ingekuwa ni mkristo ndiye amemwambia shekh PITA HUKU kungechimbika pasingetosha

Acheni kulia lia dini zote mbona zinatumika kwenye sanaa.
Emmanuel Elibariki "Ney wa mitego kwenye wimbo wa Mungu anakuona kuna Sheikh anachomekea kanzu ili apige kitimoto. Mbona hakuna aliemind au ndiyo kukariri
 
Back
Top Bottom