Naiomba Serikali ifuatilie utakatishaji wa pesa unaofanya na watu wanaojiita Mawakili wa Sabaya

Naiomba Serikali ifuatilie utakatishaji wa pesa unaofanya na watu wanaojiita Mawakili wa Sabaya

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Isionekane kama ushauri wangu huu ni sababu ya chuki dhidi ya jambazi sabaya lakini ukweli uko wazi kuna njama ya kutakatisha mamillion ya pesa yaliyotokana na ujambazi wa wazi wazi uliofanywa na Sabaya enzi za utawala wa kayafa kupitia mbinu ya michango ya wananchi kugharamia gharama za kesi lukuki zinazomkabili.

Nashauri serikali kupitia uzibiti walionao wazipige pin accounts zote zitakazotangazwa kupokea hii michango.
 
Isionekane kama ushauri wangu huu ni sababu ya chuki dhidi ya jambazi sabaya lakini ukweli uko wazi kuna njama ya kutakatisha mamillion ya pesa yaliyotokana na ujambazi wa wazi wazi uliofanywa na Sabaya enzi za utawala wa kayafa kupitia mbinu ya michango ya wananchi kugharamia gharama za kesi rukuki zinazomkabili huyu ibilis

Nashauri serikali kupitia uzibiti walionao wazipige pin accounts zote zitakazotangazwa kupokea hii michango
Achana na hizi mambo usalama wanajua wanachokifanya kuna jambo kubwa apo kwa 7baya tulia kwanza.
 
Sabaya hatachangiwa na mtu yeyote. ANA ROHO CHAFU INAMUANDAMA, ANANUKA MAVI.
Mbwa yule uhuni alionifanyia naomba aachiwe huru nije nimalizane naye kitaa. Nitamtia mpini wa jicho.
 
Back
Top Bottom