Naiona hatari huko mbele uteuzi wa wanajeshi walio kazini kushika nyadhifa za kisiasa

Kwa common sense hiyo hiyo kama hamna kipengere ktk katiba strictly kusema hawaruhusiwi basi kwa common sense maana yake wanaruhusiwa. Kwenye sheria kama YES imeandikwa haikubaliki basi NO inakubalika ingawa haijaandikwa.

Kwa taarifa yako, hii mada wameiona wahusika na wamejua fika kinachohojiwa hapa kina nguvu kiasi gani. Baki na vipengere sijui vipengele, lakini ujumbe uko sehemu stahiki.
 
Shetani anaishi mafichoni na ahela sasa waende huko wakaungane nae ili neno la mungu liendelee kuwa fukuzia mbali.

Ni ahera na sio ahela, halafu Mungu wa mbinguni huwa inaandikwa kwa kuanza na herufi kubwa, na sio kwa herufi ndogo kama hiyo ya kwako. Kisha utakuta vilaza wa aina yako, ndio huwa mnabishana na wanaume hapa jukwaani.
 
Kwa taarifa yako, hii mada wameiona wahusika na wamejua fika kinachohojiwa hapa kina nguvu kiasi gani. Baki na vipengere sijui vipengele, lakini ujumbe uko sehemu stahiki.
Hao wajeshi watateuliwa sababu katiba haiwakatazi, jifunzeni kukubaliana na hili.
 
Nàunga mkono hoja ! Safi kbsa! Hata vijana na walemavu wamepata nafac serkalini , kuwaacha wanqjesh wetu nyuma ndio kunakoweza sababisha hayo uwazayo lkn kwa sasa viva JPM
 
Ni ahera na sio ahela, halafu Mungu wa mbinguni huwa inaandikwa kwa kuanza na herufi kubwa, na sio kwa herufi ndogo kama hiyo ya kwako. Kisha utakuta vilaza wa aina yako, ndio huwa mnabishana na wanaume hapa jukwaani.

Mtapambana saana lakini hamtapa ahuweni hata kidogo,
Najua kwa visonono mlivyonavyo moyoni kwenu baada ya miaka mitano ingine matakuwa mmedhoofika sana kwa roho mbaya zenu.
 
Mtapambana saana lakini hamtapa ahuweni hata kidogo,
Najua kwa visonono mlivyonavyo moyoni kwenu baada ya miaka mitano ingine matakuwa mmedhoofika sana kwa roho mbaya zenu.

Mkuu hii quote ni marekebisho ya nilichokuambia?
 
Waliolitenga jeshi kikatiba na siasa hawakuwa wajinga, mtoto akililia wembe ..
Hao anaowateua si anawateua kwa mujibu wa ibara ya 36(2) wakafanye kazi za kiutendaji za serikali. Na na hao wanajeshi si watumishi wa serikali? Na ibara ya 36(2) haijamzjia kuteua wanajeshi.
 
Hama nchi toka uende pumbavu

Nilishaondoka zamani sana. Nawahurumia watu kama ninyi ambao mtabaki hapo hapo mlipo hata ikiwa ni 2025 (siseme uondoke - nasema hali yako ya fikra, maradhi na umasikini)!!

Masikini wa kipato mpaka fikra wewe!! Jikomboe hata na moja tu hapo!!
 
Bila kupepesa macho awamu hii imevuraga sana misingi ya Utawala bora.
 
mpaka sasa hao wajeda waliopewa nafasi wanafanya vyema.washapikwa wakaiva huko walikotoka.ni wachapa kazi na wazalendo pia waadilifu.
watatuvusha kwenda kwenye malengo kisha wanaweza punguzwa na inawezekena kwa kuwa ni watiifu.
 

UmeAnza ovyo umemalza swafiiiii kabisa
 
 
Weka kipengere cha katiba kinachosema kumteua mwanajeshi aliye madarakani kushika nyadhfa hizi ninukiukwaji...

angalau wajua kuwa jpm anashinda tena. Heko kwa kutumia common sense...
Dogo una umri gani? Umeisoma Katiba?
 
Nilishaondoka zamani sana. Nawahurumia watu kama ninyi ambao mtabaki hapo hapo mlipo hata ikiwa ni 2025 (siseme uondoke - nasema hali yako ya fikra, maradhi na umasikini)!!

Masikini wa kipato mpaka fikra wewe!! Jikomboe hata na moja tu hapo!!
Mataga Wanajivunia uchumi wa chini Kati, upumbavu mtupu
 
Hiyo inaitwa nguvu ya buku saba mkuu, buku saba inahamisha akili na ufahamu wa mtu hata katika mambo ambayo hayahitaji akili kubwa kuelewa
"mzarendo" unajua maana ya neno uzalendo? Mbona kila kitu awamu hii kinachukuliwa kwa masihala na urahisi ivi?
 
dosama
Mkuu umetoa hoja ya msingi sana......

Lakini unajua ni kama unampigia mbuzi gitaa?

Huyu Jiwe hataki kuelewa lolote, zaidi ya kijiimarisha yeye madarakani, kwa nia ya kuendelea kutawala hadi mwisho wa maisha yake!
 
Lema alishatahadharisha kuwa hii tabia ya kuwakaribisha wanajeshi sebuleni iko siku watataka kuingia chumbani, jamaa ameziba masikio
 
namba 3 si kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…