Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema sasa iko chini ya miamvuli miwili;

1. Chini ya Maria Sarungi
2. Chini ya Baraza la Maaskofu

Maria Sarungi ndio final say pale, Lissu hasemi kitu kwa Maria kwa sababu, Chadema inakwenda kutumika kuvutia fedha za misaada kutoka nje na hao wafadhili, Maria ndio anao sasa.

Nguvu ya ukatoliki imetumika kumsimika Lissu kuwa Mwenyekiti, KKKT imepigwa KO mbaya sana na Katoliki chini ya Jesuits Kitima.

Lissu hasemi kitu kwa viongozi wake wa kiroho na ni Katoliki, wamempa maelekezo Lissu ambakishe Mnyika aendelee kuwa Katibu Mkuu kwa maana, Mnyika ni kijana mtiifu wa Kikatoliki.

Chadema sasa ni Kanisa, Kanisa ni CHADEMA. Kwisha habari!
Mkuu sasa hivi Ghafula bin vuu Chadema sio Saccos tena??

Sasa hivi sio Chagadema tena??

Sasa hivi sio chama cha Kikristo tena ni cha Kikatoliki??

Mbona watanua magoli Mkuu???
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Lisu kiboko,kapokonya Chama kutoka kwenye familia ya watu.
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wanatumia propaganda outdated hivi. Amka mzee, kizazi hiki hakuna mtu ananunua proganda zenu nyie zama damu. We kameze vidonge vyako vya tezi dume hakuna mtu utamuokota kiboya hivyo.
Kwa
Mkuu sasa hivi Ghafula bin vuu Chadema sio Saccos tena??

Sasa hivi sio Chagadema tena??

Sasa hivi sio chama cha Kikristo tena ni cha Kikatoliki??

Mbona watanua magoli Mkuu???
Aibuk naona Mimi,😁😁😁😁
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wanatumia propaganda outdated hivi. Amka mzee, kizazi hiki hakuna mtu ananunua proganda zenu nyie zama damu. We kameze vidonge vyako vya tezi dume hakuna mtu utamuokota kiboya hivyo.
Usipende kukimbia ukweli Lissu na genge lake walifanya kampeni chafu sana.
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wanatumia propaganda outdated hivi. Amka mzee, kizazi hiki hakuna mtu ananunua proganda zenu nyie zama damu. We kameze vidonge vyako vya tezi dume hakuna mtu utamuokota kiboya hivyo.

Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Tanzania ina watu mil65 . Ajira rasmi hazifiki mil 7.

Wengi wa waliopo kwenye ajira ni wazee na wale waliopewa ajira za Mkataba baada ya kuona kuwa wamewaumiza kwenye kikokotoo. Lakini pia jiulize Serikali hii hii iliyowaumiza wastaafu imewapa baadhi nyongeza ya miaka miwili baadhi ya wastaafu hasa kwenye majeshi kwa aibu kuwa kuna waliopata kikokotoo cha mil.12 . Ikawapa miaka mingine Kuelekea uchaguzi tena kwa upendeleo mkubwa ambao Wasira akiendelea kujinadi kuwa CCM haina ubaguzi wa kidini na kikabila tutampa data na Vijana wasomi zaidi ya mil 18 walipomtaani watalipuka na kumrudisha kwenye makao yake halisi huko NCCR mageuzi au kwingineko.

Mbowe ameshindwa na ndiyo demokrasia.
Wachagga hawajawahi kuipigia kura CCM kwa sababu ya siasa za CCM zilizoua uchumi wao.

Leo hii wapo vijana wa kihaya ,Kichaga ,Kinyakyusa na Kinyantuzu na Kikerewe wenye ujuzi na Elimu kubwa kuliko wachina na Waarabu wanaokuja kupewa kazi ya kukusanya ushuru Bandarini na airpoti badala ya yao halafu wasichague CCM kweli .
Mwendokasi unakufa wakati kuna vijana wa kaskazini wenye uwezo na uzoefu wa kuendesha mabasi tangu wakiwa shule ya msingi .

Unawapaje Waarabu waliotoka jangwani mbuga za wanyama badala ya Matajiri wazawa wa kaskazini walioendesha biashara za utalii tangu babu zao? Halafu unasema kaskazini watakimbilia CCM Lakini pia Kaskazini wakirudi CCM wamachinga watajiunga na Chadema kwa unyonge wao maana Majaliwa aliyestahili kuwa Rais ametengwa na kutupwa mbali kwa sababu hataki rushwa za wachina na waarabu kuja kuteka soko la Kariakoo na bandari.

Watu wa Kigoma nao watarudi chadema man Mpango aliyekua uchumi wa nchi akiwa waziri wa fedha anaonekana naye hapendi rushwa ili akubali nchi kuuzwa .

Watu wa Dodoma hasa wagogo hawajafurahishwa na kitendo cha Ndugai kudhalilishwa tena kwa sababu tu ya kupinga mikopo inayoishia mifukoni mwa watu wachache na kuliachia taifa deni kubwa .
Watu wa kaskazini hasa Tanga wataikataa CCM kwa sababu ya kuitupa familia ya Makamba kwa sababu kwa habari za chini chini ni kwamba Makamba amekataa kuingia kwenye siasa za kidini na kusema yeye ameishi na watu wa dini tofauti tangu enzi za mababu na leo hawawezi kuingia kwenye siasa za maji taka zinazoendeshwa chini chini ?

Ni kweli kuna Watu wa kaskazini wamekwazika lakini pia wapo waliofurahi kwa Jinsi Mbowe alivyojibu kwa vitendo hoja ya chama cha Wachagga na kidikteta kuwa ni hoja mfu kwa sasa na nguvu ya umma itasimama.


Hata CCM leo ikiweka wagombea wawili Samia naye atapata kura kutokana na mfuko wake kujaa kuliko ya watumishi wote wa umma hivyo ni rahisi kupata machawa na watu wengi aliowachagua .
Hata Lisu alimaliza muda wake halafu akangangana kubaki atapata wetu wengi japo atashindwa kutokana na wakati huo utakavyokuwa .

Mbowe hakujua wakati ni ukuta japo amepata sifa kubwa ndani na nje ya nchi . Demokrasia ni jambo kubwa sana katika ulimwengu wenye binadamu waliostarabika .


Maridhiano ya nini wakati Lisu hajawahi kufanya uovu dhidi ya CCM wala watu wake .

Mnaridhiana na nani ?

Mungu hawezi kurudhiana na shetani kwa sababu Mungu ni mwema na shetani ni muovu .
CCM walitakiwa waombe msamaha sio kuridhiana
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Pumbavu wewe hao watu wa kaskazini hawaha na hawajui itikafi za vyama

Au ndo nyie mnadhani siasa za vyama ni kama ushabiki wa simba na yanga, au arsenal na Manchester

Dogo siasa ni ushawishi wa itikafi na sera
 
Atakayewin majority ni yule ambaye atakuja na creativity na innovations kwenye siasa na uchumi

Hii Dunia Haina wajinga kama unavyofikiria
 
watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.
Kuendekeza na kuendesha taasisi kikabila na kikanda ndiyo husababisha mipasuko, sioni kama chanzo cha tatizo hilo ni timu mpya, ila ni feelings za watu.
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Hujawahi kuwa na hoja..endelea na shughuli zako za HAMAS..
 
Lissu, Lema, Msigwa, Pambalu wote waliwekewa zengwe wasiingie kamati kuu, kuondolewa madarakani, wawe wanachama wa kawaida.

Lissu akaletewa Wenje, Lema mizengwe. Ulitaka wafanyaje?
Siku chache kabla ya lisu kutangaza kuwania uenyekiti alikuwa kaundiwa zengwe na mbowe la kufukuzwa chadema, kilichomuokoa Lisu ni kuongea vitu vya Siri vya Mbowe ambavyo Mbowe hakutarajia kuwa Lisu alikuwa akivijua , ndipo upepo ghafra ukabadilika na nia ya kumfukuza chadema kuisha lakini Wajumbe wasiopendezwa na hilo zengwe wakamshauri Lisu agombee uenyekiti ili iwe fimbo ya kumchapa Mbowe kwa kuendekeza Majungu fitna na kutaka kumshusha Lisu kisiasa
 
Gharama zilizotumika kwenye Mkutano mkuu wa Chadema ikwemo , kukodi ukumbi, Mabango, Vifaa vya matangazo yamefadhiliwa na Mwenyekiti Mbowe na marafiki zake” JOHN MNYIKA.
Mbowe alikuwa ameiba pesa zote za chadema hivyo siyo pesa za mbowe ni pesa za chama alizokuwa ameiba hapo awali
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Huu ujinga na hizo propaganda za kijinga jinga ndivyo vimepelekea Mbowe kukosa kura watu walishachoka kusikia hayo yote, watu wakawa wanataka mapya na mapya hawana, Mbowe sasa asiingie kwenye mitego ya chawa zake ambao watamshauri Ujinga ili waendelee kula pesa zake kisha wazidi kukihujumu kukidhooficha chama wakidhani wanamkomoa Lisu na Heche kumbe wanajiharibia kila kitu na wao
 
Chawa njaa Timu mbowe wamebuni mradi mpya wa kula pesa za mbowe ni kuendeleza bifu ubaguzi ukabila na mambo yote ya hovyo ndani ya chadema ikiwemo ushirikina
 
Inatakiwa mboe afukuzwe kwenye chama kama walivyomfukuza mbatia kwenye nccr
Mbowe alikuwa kala njama za kumfukuza Lisu chadema kilichomuokoa Lisu ni kuongea Siri nzito za mbowe ambazo mbowe hakuwa katarajia kuwa Lisu anazijua, kikao cha kumhukumu lisu kikashikwa na Butwaa na Mbowe kupatwa na Aibu kubwa ikabidi wasitishe Zoezi la kumfukuza Lisu toka chadema, wasiojua mateso aliyopitia Lisu kwa siri sasa wataenda wakijua ukweli kila chawa wa mbowe wakitengeneza propaganda zao
 
Lisu mpaka kufikia hatua ya kuwania uenyekiti kapitia misukosuko mimgi ya Siri ndani ya chama ikiwemo Halima mdee kumpiga kibao kwenye vikao vya ndani ya chama na mengineyo mengi ya hovyo aliyokuwa akifanyiwa na chawa wa mbowe ikiwemo vitengo vya kishirikina toka kwa Yericko nyerere na mtandao wake
 
Hivi kuna watu kabisa wanaamini Lissu ataweza kuwa raisi 2025?
Labda sio Tanzania.....
 
hamuishiwagi propaganda kenge nyie, CUF mlisema ya kiislam, CHADEMA mbowe mkasema ya wachaga na sasa chini ya lissu mnaanza kusema ya kikatoliki. Na hiyo ccm ni ya kina nani?
Mbowe kuendekeza chawa na watu pumguani kama yericko Nyerere kutazidi kumshusha mbowe kisiasa
 
Hivi kuna watu kabisa wanaamini Lissu ataweza kuwa raisi 2025?
Labda sio Tanzania.....
Lisu hawanii Urais wala hana ndoto hiyo acha kumlisha maneno, Lisu kwa sasa yupo mbioni kusuka chama kisasa kiendane na wakati, mgombea wa Urais atakuwa Mbowe ambaye ni kibonde wenu
 
Lisu hawanii Urais wala hana ndoto hiyo acha kumlisha maneno, Lisu kwa sasa yupo mbioni kusuka chama kisasa kiendane na wakati, mgombea wa Urais atakuwa Mbowe ambaye ni kibonde wenu
Weka akiba ya maneno
Na pia subiri figisu zitakazochezwa na ccm kuhusu kupata ruzuku
 
Ni ndoto za CCM kuombea hilo litokee, bali halitatokea. Wana Chadema wanatambua, kisiasa adui yao ni chama dola kongwe CCM
Wapo chawa wa mbowe wakiongozwa na Yericko Nyerere ambao maisha yao huishi ndani ya fitna majungu figisu figisu propaganda wanajipatia pesa toka kwa mbowe, sasa endapo hakuna mgawanyiko watakosa pesa hivyo lazima waendelee kuchochea mgawanyiko wapate kula pesa za mbowe kiulaini
 
Back
Top Bottom