Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Dadeki mtaamisha magoli ya propaganda saivi hadi mtachanganyikiwa.

Kweli CCM inapumulia mashine. Propagandists wote mmeubuliwa chama kina hali mbaya.

Uzuri nyakati zimeshawatupa mkono. Watanzania wanajua haki na kweli saivi ni CHADEMA tu.

Uzuri it seems hata vyombo vya dola vimeshawaona mbogamboga chenga tu. Saivi wanataka nchi iwe na mifumo imara ili mtie adabu.
 
Dadeki mtaamisha magoli ya propaganda saivi hadi mtachanganyikiwa.

Kweli CCM inapumulia mashine. Propagandists wote mmeubuliwa chama kina hali mbaya.

Uzuri nyakati zimeshawatupa mkono. Watanzania wanajua haki na kweli saivi ni CHADEMA tu.

Uzuri it seems hata vyombo vya dola vimeshawaona mbogamboga chenga tu. Saivi wanataka nchi iwe na mifumo imara ili mtie adabu.
Furaha ya ushindi wa Lissu inanikumbusha furaha ile ya ushindi wa Mwabukusi.

😂😂
 
Chama kijiandae na anguko kubwa sana. Mtaanza kumrushia mawe muda mafupi tu kama mnavyofanya kwa Mwambukusi.
 
Sidhani kama Mbowe atamsehe huyu muhuni.
 

Attachments

  • IMG_2058.jpeg
    IMG_2058.jpeg
    322.3 KB · Views: 2
Chadema sasa iko chini ya miamvuli miwili;

1. Chini ya Maria Sarungi
2. Chini ya Baraza la Maaskofu

Maria Sarungi ndio final say pale, Lissu hasemi kitu kwa Maria kwa sababu, Chadema inakwenda kutumika kuvutia fedha za misaada kutoka nje na hao wafadhili, Maria ndio anao sasa.

Nguvu ya ukatoliki imetumika kumsimika Lissu kuwa Mwenyekiti, KKKT imepigwa KO mbaya sana na Katoliki chini ya Jesuits Kitima.

Lissu hasemi kitu kwa viongozi wake wa kiroho na ni Katoliki, wamempa maelekezo Lissu ambakishe Mnyika aendelee kuwa Katibu Mkuu kwa maana, Mnyika ni kijana mtiifu wa Kikatoliki.

Chadema sasa ni Kanisa, Kanisa ni CHADEMA. Kwisha habari!
Bila shaka upo kwenye kijiwe cha gahawaa, maneno yako yanasadifu
 
Kite wewe.
Tuhamie CCM kwasababu gani?sisi ni opposition toka enzi za NCCR
 
Bila shaka upo kwenye kijiwe cha gahawaa, maneno yako yanasadifu
Nipo nimejibanza nakunywa
Kahawa na kashata wewe unakunywa mapuya wapi?

Chama wamekiacha uchi kila mtu anatoka na kusema lake, mara huyu vile huyu hivi. Kila shutuma mliyokuwa mnapewa kama wizi, ufisadi, chama cha ukabila, udini, ukanda na shutuma nyingine zilikuwa ni za kweli zote.
 
Nipo nimejibanza nakunywa
Kahawa na kashata wewe unakunywa mapuya wapi?

Chama wamekiacha uchi kila mtu anatoka na kusema lake, mara huyu vile huyu hivi. Kila shutuma mliyokuwa mnapewa kama wizi, ufisadi, chama cha ukabila, udini, ukanda na shutuma nyingine zilikuwa ni za kweli zote.
Zimasemwa wapi, mbona hatuzisikii huku , au kwakua hakuna vijiwe vya kahawa kama huko kwenu?
 
Chadema sasa iko chini ya miamvuli miwili;

1. Chini ya Maria Sarungi
2. Chini ya Baraza la Maaskofu

Maria Sarungi ndio final say pale, Lissu hasemi kitu kwa Maria kwa sababu, Chadema inakwenda kutumika kuvutia fedha za misaada kutoka nje na hao wafadhili, Maria ndio anao sasa.

Nguvu ya ukatoliki imetumika kumsimika Lissu kuwa Mwenyekiti, KKKT imepigwa KO mbaya sana na Katoliki chini ya Jesuits Kitima.

Lissu hasemi kitu kwa viongozi wake wa kiroho na ni Katoliki, wamempa maelekezo Lissu ambakishe Mnyika aendelee kuwa Katibu Mkuu kwa maana, Mnyika ni kijana mtiifu wa Kikatoliki.

Chadema sasa ni Kanisa, Kanisa ni CHADEMA. Kwisha habari!
hamuishiwagi propaganda kenge nyie, CUF mlisema ya kiislam, CHADEMA mbowe mkasema ya wachaga na sasa chini ya lissu mnaanza kusema ya kikatoliki. Na hiyo ccm ni ya kina nani?
 
Ni ndoto za CCM kuombea hilo litokee, bali halitatokea. Wana Chadema wanatambua, kisiasa adui yao ni chama dola kongwe CCM
 
Chama kinaongozwa na Maria sasa.. hehehe hatari sana..
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Chama sio mali ya kaskazini.
Hiki chama ni mali ya watz wote na waliogombea na kushinda walifanya hivyo kwa mujibu wa katiba.
 
Chama kinaongozwa na Maria sasa.. hehehe hatari sana..
Maria ndo nani? Mnatapatapa tu.
Sasa mmehama kwenye hoja ya chama cha wachaga au saccos ya mbowe mmehamia kwenye ramli kama masangoma
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Nature will take care worry not
 
Back
Top Bottom