Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu, ametamka kuwa bila katiba mpya hakuna uchaguzi!. Sijui kama anajua kuwa Tanzania ina vyama zaidi ya 18 vya upinzani hivyo kwa kikundi chake kutoshiriki uchaguzi haisumbui hata kidogo kwa vyama vingine kushiriki uchaguzi.

Sijajua itamchukua miaka mingapi kuelewa kuwa UFIPA hata wakigomea uchaguzi bado nchi hii itafanya chaguzi zake na itapata viongozi na wataapishwa na kuendelea mbele na hakuna kitu atafanya.
Wapi imeandikwa ni lazima vyama vyote vya upinzani viunge mkono kauli ya Lissu ili jambo liwe na uhalali?

Unadhani saivi ni nyakati za kibabe? Hujui kiwa mnapingana na wakati? Hujui hata huko kwenye vyombo vya dola kuna watu saivi wanaona nyie ni wajinga na mnapaswa kupumzishwa?
 
Yaani wewe Ritz Leo umekuwa mtetezi wa watu wa kasikazini ndani ya CDD..?? Kweli ukistaajabu ya Musa.
Si nyie mlisema ni chama Cha wachaga.. a.k.a chagadema..?
Nilifikiri ungefurahi wachaga wanapigwa chini..
 
Wewe ni chizi ujue
Kama hamjajipanga na uchaguzi wa Oktoba 2025 mna hiyari ya kukaa pembeni mtakuja kushiriki siku zijazo kama mtakuwa bado mko hai lakini eti Tanzania isifanye uchaguzi kisa UFIPA wanataka katiba mpya ni ujinga wa hali ya juu sana kuwahi kutokea!.
 
Kwanza miaka yote mliyokuwa wabunge na mnabugia ruzuku kwani katiba gani ilikuwa inatumika? Halafu mchakato wa katiba si mliuvuruga na wahuni wenzenu wa UKAWA au?

Tunawasubiri kwa hamu sana na hiyo slogan yenu ya No Reform No Election tuwanyooshe vizuri mpaka mtakaa sawa!

Tukutane Oktoba 2025
 
Ww utakuwa ni mzee lazima, wazee ndio huwa wanatumia propaganda outdated hivi. Amka mzee, kizazi hiki hakuna mtu ananunua proganda zenu nyie zama damu. We kameze vidonge vyako vya tezi dume hakuna mtu utamuokota kiboya hivyo.
Chama kikuu cha upinzani ni chama chenye wabubge wengi bungeni siyo chama chenye kelele mitandaoni!..

Chama kikuu cha upinzani ni kile chenye kuongoza kambi kuu ya upinzani bungeni na kuwa na idadi kubwa ya wabunge ! Sasa sijui kama hili unalijua!
 
Kama hamjajipanga na uchaguzi wa Oktoba 2025 mna hiyari ya kukaa pembeni mtakuja kushiriki siku zijazo kama mtakuwa bado mko hai lakini eti Tanzania isifanye uchaguzi kisa UFIPA wanataka katiba mpya ni ujinga wa hali ya juu sana kuwahi kutokea!.
Mambo ya CHADEMA yanakuwashia nini?
 
Kuna watu wameanza kupata mihemko ya kuanza kufikiria Lissu agombee Urais 2025, hamjui bado atafanya kazi gani kwenye uwenyekiti wake, mnataka agombee Urais?
😂
 
Kwa hiyo Lissu akae pamoja na Mapandikizi yenu? Ili muendelee kupata siri za CHADEMA wapuuzi nyie?
Hasira za ni mkuu? Awafukuze tu yeye ndio top kwa sasa.

Kuhusu issue ya mapandikizi hilo hana ujanja wa kulikwepa na hakuna taasisi yenye ujanja huo. Itabaki kuwa siri akiamua kutoshirikisha mtu yeyote yale anayoyawaza.
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
Kambi hiyo hiyo ambayo ilipost video ya ku support lissu?
Au kuna kambi nyingine?
 
Ukisema watu wa kaskazini wanarudi CCM sababu mbowe hajachaguliwa kuwa Mwenyekiti ni kwamba umeamua kutuambia CHADEMA ni chama cha kikabila na kwa msingi huo hakitufai watanzania.

Nakubaliana na wewe kwamba Tundu na Lema wana ukaazi wa America na Canada na hawafanyi siasa kwa maslahi ya taifa hili.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Kumekucha
 
Wanaukumbi

Baada ya Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuisha na kupata viongozi wa wapya Mwenyekiti Tundu Lissu, na Makamu wake John Heche.

Kama tulivyosikia na kuona hotuba ya Mwenyekiti aliyepita Freeman Mbowe, kuwa uchaguzi umeacha mpasuko mkubwa ndani ya chama ingawa hawa viongozi wapya wanajifanya kama hamna kitu kilichotokea, ukimuangalia Mbowe alivyokuwa anaongea unaona wazi kabisa kaondoka CHADEMA na kinyongo moyoni na usaliti aliyofanyiwa na baadhi ya wenzake ambao alikuwa anaona ni watu wake wa karibu kumbe maadui zake

Hawa wasaliti walimchafua sana Mbowe, kwenye mitandao ya kijamii kumtukana kwenye mitandao kumuita mla rushwa mkubwa hana uchungu na CHADEMA, msaliti mkubwa alikuwa Lema, na wenzake amba walitumwa na kumshambulia Mbowe, leo hii wamesahu mchango wa Mbowe katika Chadema Lema, kamsaliti Mbowe, watu wa Kaskazini ambayo ilikuwa ngome ya Chadema. Wamasikitishwa sana na wengi wapo kimya wanasema adhabu yao wataitoa October.

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Hamna kipindi watu wa Kaskazini wameumizwa kama hiki kipindi kiongozi wao mkuu Mbowe kushambuliwa, kutukanwa kudhalilishwa na kina Lema, na genge lake, baada ya Uchaguzi hawa viogozi wanaanza kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kuanza kumsifia kinafiki nani alikuwa anajua kama mkutano wa Chadema maandalizi yote pesa katoa Mbowe zaidi ya Milioni 300. Lema na wenzake walisema hili.

Nimeongea na watu wa Kaskazini wengi wanasema bora waende wakatulie kwa Mama tu CCM.

Kimsingi Lema na Lissu. Siyo wakazi wa Tanzania, Lema famila yake ipo Canada na Lissu familia yake wapo Marekani na Ubeligiji. Wote wanatembea na tiketi mfukoni.
UMETOKA KUZIMU, unakuja kuposti UHARO WA DENGU NA MTORI🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Chama kikuu cha upinzani ni chama chenye wabubge wengi bungeni siyo chama chenye kelele mitandaoni!..

Chama kikuu cha upinzani ni kile chenye kuongoza kambi kuu ya upinzani bungeni na kuwa na idadi kubwa ya wabunge ! Sasa sijui kama hili unalijua!
Kwenye hizi chaguzi za kishenzi unapata wapi nguvu ya kuongelea chama chenye wabunge wengi ama wachache bungeni? Uchaguzi kama ule wa cdm juzi ndio ungeweza kuongea wingi na uchache wa wabunge, sio kwa upuuzi ule unaoendelea kwenye chaguzi za nchi.
 
Litakuwa pigo kubwa kwa Chadema ikiwa Kaskazini watajiunga na ACT
 
Hivi kuna watu kabisa wanaamini Lissu ataweza kuwa raisi 2025?
Labda sio Tanzania.....
Ni kweli, maana rais wa Tanzania sio lazima awe rais kwa kura halali, huku Lisu akiamini kwenye ushindi wa kura halali tu.
 
Back
Top Bottom