Naiona Tanzania Mpya yenye Maendeleo na Uchumi imara siku wanasiasa hawa watatu wakistaafu/wakiacha kujishughulisha na maamuzi ya kisiasa nchini

Naiona Tanzania Mpya yenye Maendeleo na Uchumi imara siku wanasiasa hawa watatu wakistaafu/wakiacha kujishughulisha na maamuzi ya kisiasa nchini

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
1. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete

2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

3. Mzee Yusuph Makamba

Sina mengi sana, kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo.
 
1.Rais mstaafu Jakaya kikwete

2.Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

3.Mzee Yusuph Makamba

Sina mengi sana ,kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo .
Akili yako finyu sana
 
Siasa haina kustaafu na pili unarithisha hadi watoto na wajukuuu na vitukuu na vilembwe, sasa unachoongea hakitekelezeki naona..

Kwa ufupi endelea kungoja...
 
1.Rais mstaafu Jakaya kikwete

2.Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

3.Mzee Yusuph Makamba

Sina mengi sana ,kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo .
You could be sick!
 
1.Rais mstaafu Jakaya kikwete

2.Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

3.Mzee Yusuph Makamba

Sina mengi sana ,kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo .
Hao ndio Deep State?? Hii nchi ina laana hao akina Mbowe mnawaonea tu
 
1. Rais mstaafu, Jakaya kikwete

2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe

3. Mzee Yusuph Makamba

Sina mengi sana, kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo.
Upo sahihi kabisa!!

Ni 1-1 mpaka sasa, itapendeza sasa ikiwa 4-1. Nchi itapaa kimaendeleo
 
Back
Top Bottom