Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Kati ya Italia na Uingereza nikiambiwa nichague nani atatwaa ndoo ya euro moja kwa moja ni uingereza nampa nafasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio ligi kwamba ubingwa unaupata kwa kushinda match nyingiKuna kitu unavuta mleta mada, Italy kuanzia mechi za kufuzu ameahinda zote, mpaka kwenye makundi Euro pia ameshinda zote, halafu unamfananisha na huyo muingereza aliebanwa na timu ndogo juzi.
Kwahiyo kuna nyingine utafungwa halafu uwe bingwa?Hii sio ligi kwamba ubingwa unaupata kwa kushinda match nyingi
2016 portugal hakushinda mechi hata moja ya makundKwahiyo kuna nyingine utafungwa halafu uwe bingwa?
Thubutuu!!!Kati ya Italia na Uingereza nikiambiwa nichague nani atatwaa ndoo ya euro moja kwa moja ni uingereza nampa nafasi.
I see!Ingawa siipendi timu ya Ujerumani ila ukweli ni kwamba ubingwa unaenda kwao.
Ile mechi ya kwanza na Ufaransa walipigwa kizembe tu.
Kuanzia jumatano kila atakayekutana nae atachezea kichapo.
Nadhani majibu uliyapataUingereza akikutana na germany atapigwa nyingi
Naona kama uzi unakwenda kukamilika daaah! ingawa mi ni mtaliano wa kinzudi kwa mchinja kukuKati ya Italia na Uingereza nikiambiwa nichague nani atatwaa ndoo ya euro moja kwa moja ni uingereza nampa nafasi.
wako wapiWote hakuna atakayechukua mwaka huu.
France au German
wamefanyaje mku?