Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Hahahaha unajifanya mwehu, weka airport au terminus yako hapa tulinganishe hv hv ikiwa haijakamilika [emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1629131View attachment 1629132
Wakenya wote tazama hapa chini muendelezo wa hii modern bus stop ya Mbezi, yn kuna underground parking ambayo iko floor ya tatu kwenda chini huwez kuta EA nzima so hilo ni bao lingine tumewapiga, kuna mkenya ataniletea kile ki underground parking ambacho kinahifadhi gari ishirini ambacho nacho kilishachapwa na ile ya Dar, hii yetu mpya inahifadhi gari km utitiri [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-11-19-12-29-13.jpeg
 
Wakenya wote tazama hapa chini muendelezo wa hii modern bus stop ya Mbezi, yn kuna underground parking ambayo iko floor ya tatu kwenda chini huwez kuta EA nzima so hilo ni bao lingine tumewapiga, kuna mkenya ataniletea kile ki underground parking ambacho kinahifadhi gari ishirini ambacho nacho kilishachapwa na ile ya Dar, hii yetu mpya inahifadhi gari km utitiri [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1629842
Yaani umeshindwa kwa reli sasa umeenda kwa basi?

Haya ujue Nairobi commuter rail ndio mwanzo tu. Hii yote ni mpango wa kujenga railway city. Tushaanza kujenga hii mji mpya ndani ya Old cbd ya Nairobi.
 
Wakenya wote tazama hapa chini muendelezo wa hii modern bus stop ya Mbezi, yn kuna underground parking ambayo iko floor ya tatu kwenda chini huwez kuta EA nzima so hilo ni bao lingine tumewapiga, kuna mkenya ataniletea kile ki underground parking ambacho kinahifadhi gari ishirini ambacho nacho kilishachapwa na ile ya Dar, hii yetu mpya inahifadhi gari km utitiri [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1629842
Alafu kumbe serikali yenyu inafanya vitu ambavyo wawekezaji binafsi wanafanya hapa Kenya? Hiyo parking inatoshana na underground parking ya prestige plaza mall ambayo iko na nafasi 250 ya kuegeza magari. Na ujue hiyo prestige haiko karibu kuwa the largest mall hapa kenya, hata haiko kwa top 5.

Juzi kanisa katoliki imejenga parking silo ya ku-park magari 1000 kati kati ya mji. Yani kumbe miradi ndogo ndogo ambazo wawekezaji binafsi wanafanya hapa kenya huko inaonekana maajabu?
 
Wakenya wote tazama hapa chini muendelezo wa hii modern bus stop ya Mbezi, yn kuna underground parking ambayo iko floor ya tatu kwenda chini huwez kuta EA nzima so hilo ni bao lingine tumewapiga, kuna mkenya ataniletea kile ki underground parking ambacho kinahifadhi gari ishirini ambacho nacho kilishachapwa na ile ya Dar, hii yetu mpya inahifadhi gari km utitiri [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1629842
Alafu kumbe serikali yenyu inafanya vitu ambavyo wawekezaji binafsi wanafanya hapa Kenya? Hiyo parking inatoshana na underground parking ya prestige plaza mall ambayo iko na nafasi 250 ya kuegeza magari. Na ujue hiyo prestige haiko karibu kuwa the largest mall hapa kenya, hata haiko kwa top 5.

Juzi kanisa katoliki imejenga parking silo ya kupark magari 1000 kati kati ya mji. Yani kumbe miradi ndogo ndogo ambazo wawekezaji binafsi wanafanya hapa kenya huko inaonekana maajabu?
 
Alafu kumbe serikali yenyu inafanya vitu ambavyo wawekezaji binafsi wanafanya hapa Kenya? Hiyo parking inatoshana na underground parking ya prestige plaza mall ambayo iko na nafasi 250 ya kuegeza magari. Na ujue hiyo prestige haiko karibu kuwa the largest mall hapa kenya, hata haiko kwa top 5.

Juzi kanisa katoliki imejenga parking silo ya kupark magari 1000 kati kati ya mji. Yani kumbe miradi ndogo ndogo ambazo wawekezaji binafsi wanafanya hapa kenya huko inaonekana maajabu?
Hahahaha floor ya tatu kwenda chini utakuta underground parking kaliii hakuna mfano ukanda huu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-11-19-12-29-13.jpeg
 
Wakenya wote tazama hapa chini muendelezo wa hii modern bus stop ya Mbezi, yn kuna underground parking ambayo iko floor ya tatu kwenda chini huwez kuta EA nzima so hilo ni bao lingine tumewapiga, kuna mkenya ataniletea kile ki underground parking ambacho kinahifadhi gari ishirini ambacho nacho kilishachapwa na ile ya Dar, hii yetu mpya inahifadhi gari km utitiri [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1629842
My friend why are you always stupid, Underground parking lots are everywhere in Kenya.
 
Mimi naweka video hii hapa naomba na ww uweke video ya hyo parking tuone, wakenya wote piteni kwenye hii video alafu kimoyo moyo naamini mtamcheka sn huyu mwenzenu, tafadhali usilete ubishi wa kipuuzi pasipo kuangalia hii video zen na ww uweke video hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Underground parking imeongelewa kuanzia min ya 8.5, Tanzania noma sn wallahi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi naweka video hii hapa naomba na ww uweke video ya hyo parking tuone, wakenya wote piteni kwenye hii video alafu kimoyo moyo naamini mtamcheka sn huyu mwenzenu, tafadhali usilete ubishi wa kipuuzi pasipo kuangalia hii video zen na ww uweke video hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


You asked for an underground parking floor of more than three levels and that is what I have done exactly. I have shown you one with Four Floors and there are still others with seven floors like one Africa place Tower. This video of yours will not increase the number parking levels
 
This is the main reason why I told you that you will remain the most stupid person in this forum. You asked for an underground parking floor of more than three levels and that is what I have done exactly. I have shown you one with Four Floors and there are still others with seven floors like one Africa place Tower. This video of yours will not increase the number parking levels
Ww hata ungekuwa ni mtanzania ningelikutukana kila siku, nimekupa video uangalie ww unaleta maneno, unasema yenu ina four floors underground wkt kwenye article hawasemi hvyo so kuondoa utata weka video waogopa nn? Usiniwekee article cz nyinyi ni waongo hata international organs wanajua hilo weka video mamaaaeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Narudia tena hakuna nchi EA ina underground car parking km hii, angalia kuanzia min 8.5 zen atokee mkenya aweke video hapa yenye Parking km hii nitoke jf sasa hv [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

 
Yaani umeshindwa kwa reli sasa umeenda kwa basi?

Haya ujue Nairobi commuter rail ndio mwanzo tu. Hii yote ni mpango wa kujenga railway city. Tushaanza kujenga hii mji mpya ndani ya Old cbd ya Nairobi.
Ukinionesha mahali mmejenga commuter rail hata meter 1 natoka JF leo leo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
This is the main reason why I told you that you will remain the most stupid person in this forum. You asked for an underground parking floor of more than three levels and that is what I have done exactly. I have shown you one with Four Floors and there are still others with seven floors like one Africa place Tower. This video of yours will not increase the number parking levels
Hehehe bado unatafuta video mamaaaeee hakuna kitu km hyo EA nzima kama unavyoona electric sgr brt or 3level interchange vipo Tanzania pekee, cc ndiyo the real MIC hapa EA wengine wote waongo tu, unakueaje MIC na huna hata brt km co uongo ni nn[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
This is the main reason why I told you that you will remain the most stupid person in this forum. You asked for an underground parking floor of more than three levels and that is what I have done exactly. I have shown you one with Four Floors and there are still others with seven floors like one Africa place Tower. This video of yours will not increase the number parking levels
Huyu ni Adolescence inamsumbua mhurumie tu.Lack of exposure na ushamba mingi ndio ako nayo
 
Huyu ni Adolescence inamsumbua mhurumie tu.Lack of exposure na ushamba mingi ndio ako nayo
Nyie co MIC nyie waongo tu, MIC gn haina hata a metre of brt network? MIC gn inashindwa kufanya miradi mpk mkope, MIC gn haina reliable source of water?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tanzania imeanza kujitegemea rasmi, tume finance uchaguzi kwa pesa ya ndani zaidi ya bilioni 330 za tz, tumejenga bwawa la umeme zaidi ya$2.9bn kwa pesa ya ndani na mambo mengine mengi makubwa na hyo ndiyo tafsiri halisi ya MIC ofcz tunatoa fundisho hapa EA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom