Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ebwanaaeeh nimeangalia mara 10 10 kinachowapa hii shangwe yote hata siamini macho yangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] you can imagine how worst experience they struggle with [emoji3][emoji3][emoji3]
Alafu mkuu kwenye hzo picha zake nimeangalia mazingira yao aisee kenya chafu jamani [emoji3][emoji3]
 
Hakuna mradi kenya itafanya kwa pesa ya ndani, never.
 
Angalia hapa mnavyolia lia na deni la mchina [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]

Kenya's Chinese-Built Railway Proves Pricey
 
Na nyinyi wenye hamuwezi fund key sectors like Education,Health.
Kazi ni kupewa grants na donation

Haya mambo usiandike tu kwa kuropokwa kama kasuku.. Tanzania inajenga masoko makubwa kila mkoa, bado imejenga masoko ya madini kila kwenye madini, huko kote hakuna hela ya US wala WB... sasa ndio nauliza hapo kunyaland kama sio hao mabwana zenu ina maana msingeweza kujenga?
 
Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.
 
Hivi kwanini lazima muonyeshe kwamba USA yupo nyuma kuwaunga mkono, ninyi wenyewe hamjiamini?, kama WB imetoa pesa, mnataka USA awe nyuma ya huo mradi ili iweje?.

Sisi tulipewa pesa na WB tukajenga BRT phase one, AfDB imetupa pesa tunakamilisha phase 2 bila kuwataja USA, mbona mnakua wajinga kiasi hicho?
 
Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.

Hahah hatuwezi kufanana, Tanzania sio nchi ya kushindana nayo kizembe hivyo kama mnavyofikiria humu... Hakuna mahali hata senti ya kutoka nje imetumika katika ujenzi wa hayo masoko.
 
Wajamaa ni wajinga,
Kupumbazwa kama wajinga,
Unashindwa kufund security alafu unajigamba umejenga soko tena wenyewe ni donation
Their government knows very well that they hate reading and they can`t do any research on any of their projects. Sasa kazi ni ya kuwadanganya tu na kupita.
 
Hahah hatuwezi kufanana, Tanzania sio nchi ya kushindana nayo kizembe hivyo kama mnavyofikiria humu... Hakuna mahali hata senti ya kutoka nje imetumika katika ujenzi wa hayo masoko.
Just name at least one market mmejenga na pesa zenu, I want to show you something.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…