BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
Na nyinyi wenye hamuwezi fund key sectors like Education,Health.So you mean kunyaland can`t do all this on it`s own unless you get support from your masters..right?
Hata choo pia ni msaadaNa nyinyi wenye hamuwezi fund key sectors like Education,Health.
Kazi ni kupewa grants na donation
Alafu mkuu kwenye hzo picha zake nimeangalia mazingira yao aisee kenya chafu jamani [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebwanaaeeh nimeangalia mara 10 10 kinachowapa hii shangwe yote hata siamini macho yangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] you can imagine how worst experience they struggle with [emoji3][emoji3][emoji3]
Akirudi nitag please [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ufaranza wanaenda kutoa seats wageuze kuwa cargo wagons wabebe mifugo, Hakuna mfarasa atapanda old diesel trains
Hakuna mradi kenya itafanya kwa pesa ya ndani, never.Dah kumbe hata hivi napo ni kwa nguvu ya mkopo? [emoji44][emoji44][emoji44]
Mimi nilijua mmejikakamua wenyewe kutokana na ufinyu wa resources ndio mkaja na hiki kituko, [emoji16][emoji16][emoji16] kumbe ni pesa ya WB? Dah mmetapiliwa kama kawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angalia hapa mnavyolia lia na deni la mchina [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Lazima, nyinyi hamukopeshwi kwa sababu mtarudi kulia musamehewe. Ndiyo maana BRT phase 2 imekwama bado ni kale kilomita 21 pekee ndiyo kana fanya kazi.
Hivi tunavyozungumza World bank wamesema watatoa tena $400 million kutengeneza commuter rail ya Mombasa.
Hii ndiyo tofauti ya kuwa nchi inayoaminika kwa kulipa deni.
Hata standard chartered wameanza kufikiria mara mbili kuwapa hile mkopo ya $1.4 billion baada ya nyinyi kulia sana na kuomba word bank na IMF iwasamehe deni lenyu la Taifa.
Kwa hiyo nyie wakenya ni cargo,kwa sababu wenzenu wamenunua screpa kwa ajili ya cargoHata ufaransa pia wanazo km hzo[emoji23][emoji23]
Kwhyo nao wamenunua screpa
Mambo km hizi huwezi ona Tz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Hata choo pia ni msaada
View attachment 1581209
For sure huezizionaMambo km hizi huwezi ona Tz [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1581218
Na nyinyi wenye hamuwezi fund key sectors like Education,Health.
Kazi ni kupewa grants na donation
Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.Haya mambo usiandike tu kwa kuropokwa kama kasuku.. Tanzania inajenga masoko makubwa kila mkoa, bado imejenga masoko ya madini kila kwenye madini, huko kote hakuna hela ya US wala WB... sasa ndio nauliza hapo kunyaland kama sio hao mabwana zenu ina maana msingeweza kujenga?
Evidence please.Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.
Wajamaa ni wajinga,Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.
Hivi kwanini lazima muonyeshe kwamba USA yupo nyuma kuwaunga mkono, ninyi wenyewe hamjiamini?, kama WB imetoa pesa, mnataka USA awe nyuma ya huo mradi ili iweje?.The american government is rumoured to be behind this new found interest by the world bank into Kenya's infrastructure space.
The world bank is also bankrolling the recent rise in construction of modern markets all across the country. The markets come fully equipped with road networks, cold storage facilities, loading bays and the operations will be based on Barbes market in paris.
Just name one market mmejenga na pesa zenu alafu utapata evidence kuwa ilijengwa kutumia either loan, grants or donations.Evidence please.
Hakuna soko hata moja mmejenga na pesa zenu, zote ni either grants or donations.
Their government knows very well that they hate reading and they can`t do any research on any of their projects. Sasa kazi ni ya kuwadanganya tu na kupita.Wajamaa ni wajinga,
Kupumbazwa kama wajinga,
Unashindwa kufund security alafu unajigamba umejenga soko tena wenyewe ni donation
Just name at least one market mmejenga na pesa zenu, I want to show you something.Hahah hatuwezi kufanana, Tanzania sio nchi ya kushindana nayo kizembe hivyo kama mnavyofikiria humu... Hakuna mahali hata senti ya kutoka nje imetumika katika ujenzi wa hayo masoko.