Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

1604983555908.png

1604983780343.png


National youth service continuing with fencing off the rail corridor along eastern bypass and outer ring road
 
Ile jam iko jogoo road saa hii
my friend wacha tu. Jam kali sana. Hii commuter train ikam faster faster
 
Toa ujinga wako hapa! Una matatizo akilini mwako wewe? Mbona kuchanganyikiwa?, yaani stendi ya basi inakupa orgasm![emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni mshenzi kupindukia The best 007!.,

[emoji23][emoji23][emoji23]sio kwa hasira hizi.

kwani nini imekushangaza hapa kwenye hii toroli yenu???
 
Mitumba!

Ni sawa sawa na demu aliyegawa sana kwenye mtaa fulani halafu akawa anajulikana sana watu wakamzoea wakawa hawamshobokei tena halafu huyo demu akahamia mtaa mwingine watu wa mtaa huo wakawa wanamshobokea sana kumbe kule alikotoka alishaonekana wa kawaida sana na walishamchoka,

Hivi ndivyo mitumba yenu ilivyo kupitia huo mfano.
Kenyatta huwa anajua kucheza nao hawa wazembe kaona wanapigia kelele electric sgr ya Tz akapita pita Spain akaona mitumba akawachukulia ili kupoza kelele zao ila mwakani tukileta vyuma vyetu ndipo watakapojua tofauti ya mtumba na brand new[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mitumba!

Ni sawa sawa na demu aliyegawa sana kwenye mtaa fulani halafu akawa anajulikana sana watu wakamzoea wakawa hawamshobokei tena halafu huyo demu akahamia mtaa mwingine watu wa mtaa huo wakawa wanamshobokea sana kumbe kule alikotoka alishaonekana wa kawaida sana na walishamchoka,

Hivi ndivyo mitumba yenu ilivyo kupitia huo mfano.
demu na train wapi na wapi?umekosa hoja mkaka..mngojeni magu awaletee zenu mjaze servers za jf
 
Kenyatta huwa anajua kucheza nao hawa wazembe kaona wanapigia kelele electric sgr ya Tz akapita pita Spain akaona mitumba akawachukulia ili kupoza kelele zao ila mwakani tukileta vyuma vyetu ndipo watakapojua tofauti ya mtumba na brand new[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tuki...tuta.....hivi hamchoki na hizi kauli...ila watz muwavumilivu sana
 
A voice from desperate person.
look directly into the mirror, you will see the desperate person..the person using words only but not a single shred of evidence.a guy hoping and praying something happens..but till then,only the word of mouth can boost his ego
 
Kenyatta huwa anajua kucheza nao hawa wazembe kaona wanapigia kelele electric sgr ya Tz akapita pita Spain akaona mitumba akawachukulia ili kupoza kelele zao ila mwakani tukileta vyuma vyetu ndipo watakapojua tofauti ya mtumba na brand new[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Anajua kucheza nao kinoma,

Ni kama tu walivyo oneshwa picha za treni wanazoletewa kipindi kile halafu mwisho wa siku wakaletewa mitungi ya changaa wanaziita "Chinese first class" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom