Nairobi is twice richer than Dar and only $6bn dollars away from reaching Tz GDP.

Nairobi is twice richer than Dar and only $6bn dollars away from reaching Tz GDP.

Nenda youtube kaandike "hamidu estates" uone sample ya millionare wa kibongo aliyejenga nyumba za apartments mia moja kigamboni na mia moja zingne zinakuja..
Hayo Ni mambo ya Kawaida hapa Kenya Tena miji yote mikubwa na ndogo.
 
Na ww mtaje mkenya mwenye mali atleast km Bakhresa.
Hamna yeyote. Nimejibu swali lako Sasa na wewe jibu langu. Mtanzania mweusi aliye na Mali Kama Kama Mwenye Equity Bank, Family Bank, 2 Rivers Mall, Tusky's , Naivas n.k 😂😂😂😂
 
Katika counties 47 za Kenya, counties 24 zinateseka kwa kukosa chakula alafu mpo hapa kupiga piga kelele za kishamba badala ya kwenda kuwapigia kelele hao wanasiasa wenu wanaowapapasa.

 
Kama ungejua historia ungeelewa Wazungu walikuja Afrika Mashariki kabla ya Wahindi.

Endeleeni kutawaliwa na Wahindi mkisema Wamezaliwa huko.
Ati wazungu, East Africa coastal areas wamekuwa wakitrade na Indians and Chinese since before Christ, we unasema nn? Kajifunze history bhana, unatuaibisha.
 
Ndio uje basi uraia ni vyeti...
Na uhindi si uraia bali ni utambulisho tu...so moh akiitwa mhindi usijiumize kichwa...
Kuna wasukuma ni Wamarekani.

Unashangaa mhindi kuwa mtanzania.
 
Usijali bana...kwn ukikubali kuna shida gani...wakati wan jf hawakujui...wee sema hizi habari umezipenda...ndo manake mpka sasa unataka kuendelea nazo
Hzo biashara ni zako bhna, Michezo yako mi siiwezi.
 
Kujisifia una pesa wakati familia yako inateseka kila siku ni ujinga wa kiwango cha lami [emoji23][emoji23][emoji23]
Povu weka hapo chini.

Na ujinga zaidi ni kusema uchumi wa Kenya uko Nairobi tu, ina maana sehemu nyingine za Kenya wote ni mafuka? Sasa hali iko namna hii.

2018 GDP KNY TZ
$87bn $57bn
/capita +$1700 +$1000

See you in five years. Tuone manyang'au mtakuwa wapi na sisi tutakuwa wapi. Mlifikiri giant ataendelea kulala tu wakati kumekucha? Soon tutakapomaliza Stigler's mtaona kasi itakavyokua.
 
Hyo michezo yako endelea nayo mwenyew mzee baba mbna tushamalzana
Usijali bana...kwn ukikubali kuna shida gani...wakati wan jf hawakujui...wee sema hizi habari umezipenda...ndo manake mpka sasa unataka kuendelea nazo
 
Kasmoe ya 2019 halafu uone gap limepungua au bado linaongezeka tu kila mwaka
Na ujinga zaidi ni kusema uchumi wa Kenya uko Nairobi tu, ina maana sehemu nyingine za Kenya wote ni mafuka? Sasa hali iko namna hii.

2018 GDP KNY TZ
$87bn $57bn
/capita +$1700 +$1000

See you in five years. Tuone manyang'au mtakuwa wapi na sisi tutakuwa wapi. Mlifikiri giant ataendelea kulala tu wakati kumekucha? Soon tutakapomaliza Stigler's mtaona kasi itakavyokua.
 
Lete statistics hapa km mmewazidi india sekta yyte ile...wacha kuandika pumba
WE FALA KABISHANE NA MAFALA WENZAKO.
HIVI HUONI KUWA WATU WANAKUNYA BARABARANI HAPO ?
TUSHAWAZIDI KTK LIFE STANDARDS
HV KUSOMA HUJUI HT PIC HUONI ?
Kabishane na watoto wenzako nipishe mie.
 
Hii India inayoiponda hivi inaunda magari ,ndege ,vifaa vyao vya kijeshi na kurusha vyombo vya angani hadi kwa mwezi.Tanzania haina hivyo vyote .

Tz GDP per capita $1100 ....India $3000.
Life expectancy Tz 62yrs .....India 70yrs
HDI score Tz .53 ....India .65 .
WE KUMBAFU UCHUMI WA INDIA NI MKUBWA LAKINI HAWANA MAENDELEO YA KIJAMII.
KUNA SOCIAL AND ECONOMIC DEVELOPMENT.
INDIA WANA ECONOMIC DEVELOPMENT LAKIN HAWANA SOCIAL DEVELOPMENT.
AU HUJUI HIV VITU?
 
Hamna yeyote. Nimejibu swali lako Sasa na wewe jibu langu. Mtanzania mweusi aliye na Mali Kama Kama Mwenye Equity Bank, Family Bank, 2 Rivers Mall, Tusky's , Naivas n.k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lowassa
 
Walikua na mengi..lkn zake za dunianiani zimeisha
Hamna yeyote. Nimejibu swali lako Sasa na wewe jibu langu. Mtanzania mweusi aliye na Mali Kama Kama Mwenye Equity Bank, Family Bank, 2 Rivers Mall, Tusky's , Naivas n.k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tuletee hzo picha za hao watu wa hzo counties...
Hku anaruhusiwa yeyote yule kufanya research na kutoa taarifa..hatulalamikii mabeberu sisi
Katika counties 47 za Kenya, counties 24 zinateseka kwa kukosa chakula alafu mpo hapa kupiga piga kelele za kishamba badala ya kwenda kuwapigia kelele hao wanasiasa wenu wanaowapapasa.

 
Back
Top Bottom