Nairobi is twice richer than Dar and only $6bn dollars away from reaching Tz GDP.

Sababu Pesa ys serikali Kenya siyo Mali ya umma wewe uoni dar magorofa makubwa na mandege yote ni Mali ya umma hivyo ni mifumo miwili tofauti
Because Dar is not in top 10?
 
kama GDP ya Nairobi ni USD 49bn, nikicheki Google naona GDP ya Kenya ni USD 74bn , hii inamaanish asilimia 66 ya utajiri wa Kenya upo Nairobi, is it possible??
Sio GDP ni utajiri wa jiji GDP ni kitu kingine
 
Your sheep can reason better than you.
Sababu Pesa ys serikali Kenya siyo Mali ya umma wewe uoni dar magorofa makubwa na mandege yote ni Mali ya umma hivyo ni mifumo miwili tofauti
 
Hawaongei kuhusu businesses hawaongei kuhusu Acacia. Wanaongea kuhusu matajiri katika kila nchi. Yaani Watanzania wenzake wanaelewa kiingereza vizuri hadi wanachangia mada lakini wewe huelewi?
 
I can see you want to claim the SI unit of stupidity from Joto La Jiwe, we're discussing about individuals wealth not companies. That's why KCB, Equity bank, Sportpesa and Safaricom haziko hapo. So spare us your stupidity please.
Hikio kijinga hata hakijui kingereza. Wachana nakio.
 
Cha ajabu hakuna bilionea hata mmoja. Shame on you lazy Kenyans.
Nyie hamna mtu mweusi aliye bilionea. Usiringe na huyo Muarabu kutoka Oman. Huyo ni kitukuu wa wale Waarabu wa Zanzibari waliitoka Oman. Ninyi Waafrika ni lazy sana maana sisi Waafrika tuna mihela kuwashinda. Angalia kwenye hio listi jinsi Wakenya wana pesa ndefu.
 
Kujisifia una pesa wakati familia yako inateseka kila siku ni ujinga wa kiwango cha lami [emoji23][emoji23][emoji23]
Povu weka hapo chini.
Hehehe ,huu ndio ujinga wa kujiliwaza sababu umeshindwa .Kweli ujamaa Tz ullileta uvivu wa akili .
 
Actually your "facts" only make you look worse . Hizi raslimali zote na bado GDP na per capita ya TZ ni kama nusu ya Kenya. Kwa kweli ujamaa ulileta uvivu na culture ya bongolala.
 
Nyie ubepari umewapa nini zaidi ya gepu kubwa kati ya masikini na tajiri [emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana kuna mitaa ya matajiri masikini hawaruhusiwi kuishi,
Ardhi inamililikiwa na wachache,
Bado mnapewa misaada ya chakula karne hii,
Akili fupi,
Failed state.
Hehehe ,huu ndio ujinga wa kujiliwaza sababu umeshindwa .Kweli ujamaa Tz ullileta uvivu wa akili .
 
Ivi una akili kweli wewe? kiuchumi hii huoni ni tatizo nchini kwenu.. Yaani jiji moja kushikilia zaidi ya nusu ya 'wealth' ya nchi ya Kenya na wewe upo apa kumwaga povu

We nenda shule, Hata mwenyewe haujui ulichokiandika we
 
Why are we even debating anything with people from the poorest country in the world with a slum capital. Beat it people. Beat it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…