Nairobi - Mambo aliyozingua Diamond -Simba- Dangote

Nairobi - Mambo aliyozingua Diamond -Simba- Dangote

Diamond anaweza sana kuimba live. Si umfuatilie coke studio.
Shida ya diamond ni moja anapenda kucheza anasahau kuna kuimba. Dancers wa nini kama anataka kucheza zaid kuliko kuimba. Huwez imba huku unacheza ni ngumu sana kumaintain. Na ndicho hicho kinamuangusha diamond angefataga ushauri wa kuwaachia dancers wacheze yeye aimbe tu
Lakini wakenya ni walalamishi sana kwa kila kitu hawa watani zetu hawaridhiki angeimba wengemlalamikia kuwa wameisha muona sana kwenye video clips amejitahidi kuwachangamsha wanasema haimbi vizuri kama kwenye video inatakiwa organizers waseme preferences zao mapema sio kuja kulia baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini wakenya ni walalamishi sana kwa kila kitu hawa watani zetu hawaridhiki angeimba wengemlalamikia kuwa wameisha muona sana kwenye video clips amejitahidi kuwachangamsha wanasema haimbi vizuri kama kwenye video inatakiwa organizers waseme preferences zao mapema sio kuja kulia baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu sio msanii wa nchini kwao bdio maana
 
wasanii hupata sifa kedekede lakini hawajui kuimba baadhi yao , ni jitihada za producer kutumia softiware kurekebisha sauti na kuingarisha lakini kikitoka kitu unamsifu yeye badala ya kuisifu cubase ama produser
 
Diamond platnumz na WCB kwa ujumla waache kufanya sana shoo KENYA imekuwa too much wameshawachoka kila siku KENYA KENYA KENYA wajipe break kidogo na hizi shoo za KENYA watafute market na sehemu tofauti tofauti za Africa
 
Najua mapungufu ni kitu cha kawaida ktk kila kitu na nimeona kuwa 80% ya waudhuriaji ni ladies hao wanaume wa kenya sidhani kama walipenda hilo Diamond Go Go Go fanyia kazi hizo changamoto ndogo wewe ndio top East Africa go and conquer other markets

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo diamond kanifanya nimchukie na shoo yake yote ya jana alipokua anajitingisha makalio huku akikubari kushikwa shikwa makalio na mashabiki..

amejishushia thamani kiukweli ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ana haki ya kushikwa makalio Jitu limejipodoa kama mwanamke why asipapaswe
IMG_20190101_092742.jpg
 
Swala la saut nilitegemea jamaa nafanya shoo non stop hii lazma iwe na madhara na ndo mana hatumii live band saut itaisha
Umeahaur vyema mi timi wasaf kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanisha show za mbele na za ndani, show za mbele bajeti yake ni kubwa na kwa TZ, Diamond baadhi ya show huwaga anatembea na bendi ukiona hivyo bajeti haijatosha.

Ila upande wa ku synchronize kuimba na kucheza si Diamond anayepata Diamond anayepata tabu, nishaangalia show za Cris Brown na Jason Derulo nao huwaga wanachemka upande wa sauti na kuconcetrate sana kucheza, hapa duniani msanii anaweza kuimba na kucheza kwa wakati mmoja ni Beyonce pekee na kwa Africa Fally Ipupa na Mr Flavor.

Kuhusu kuweka sauti ya kike si lazima hata mbele Kuna wasanii wakubwa, huwa hawaweki sauti za kike, kwenye nyimbo zao walizo walizo washirikisha wanawake.

Ila Mondi anahitaji sana mazoezi ya pumzi sababu kuimba na kucheza unatakiwa uwe na upepo wa kutosha kwani mara nyingi anaanza vizuri mwanzo, ila akifika kati upepo unapungua au labda inawezekana ukawa uchovu sababu kwa siku sita amefanya show nne mfululizo sehemu tofauti.


Dogo apumzike tu kwa sasa kwani anachemka mno.....hata show yake ya Canada watu kibao walimponda na wengi tuliondoka wenyewe kabla ya show kwisha.....alituboa sana na sitaki tena kumuona LIVE.
 
Waache kuimbisha mashabiki,kila muda,,sema wasafiiiii!!!.what a hell..piga nyimbo umalize mwisho wa nyimbo mashabiki watashangilia wenyewe,,halafu wapiga vyombo wakianza kupiga anawazuia ili watu waimbe,,yan nitoe 40000 halafu niimbe mimi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwambia daimond afanye live show ni kama umemshauri aache muziki hawezi Kama anapotea key kwenye playback unategemea nn kwenye live show???..... Wa moja havai mbili kaka hayo mambo ya live ni kina barnaba, kiba, dito etc
 
Diamond anahitaji vocal coach, badala ya kuimba ye anapiga makelele tu.
Esma hafai tena kuwa vocal coach? Hv yule Queen Dalin ana shughuli gan kwenye hayo matamasha?
 
"kama kuimba ni sauti nzuri ningemsign Wema" haya maneno ya Diamond way back kwenye interview Clouds FM...
 
Back
Top Bottom