Kenya 2022 NAIROBI: Viongozi wa Dini wamuangukia Raila kabla hajalianzisha!

Kenya 2022 NAIROBI: Viongozi wa Dini wamuangukia Raila kabla hajalianzisha!

Kenya 2022 General Election

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Viongozi wa dini wamekutana na ndg Raila Odinga ili kujadiliana kwa suala la amani, katika kikao hicho ajenda kubwa ilikuwa suala la AMANI kuliko HAKI.

Baadhi ya wanachama wa Azimio wamesema kuwa, wao hawapingani na Amani bali wanapinga Dhuruma, pia wameendelea kusema hawataki Amani ya kulazimisha bali wanataka Haki.

HAKI NI AMANI.


Pichani chini ni baadhi ya matukio wakati wa ibada hiyo ya Amani iliyofanyika nyumbani kwa Raila eneo la Karen jijini Nairobi.
20220820_181426.jpg
20220820_181429.jpg
20220820_181432.jpg
 
Kwani matokeo yalisemaje?!

Mahakama?!

Wagombea?!

Imeshatoka hiyo.. .. Raila keshapelekwa Chaka na kina . Uhuru .. ..

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Raila ana siku ya Jumapili na Jumatatu kupeleka shauri kortini

Hajaenda. Haoni loophole ya kutokea maana IEBC waliupload forms zote kwa website na kila mtu anaweza kudownload & kutally votes
 
Kama ni kweli kaibiwa/dhulumiwa, anayo haki ya kusimamia anachokiamini bila vurugu ! Otherwise aangalie pros & cons then asonge mbele ! Alitakiwa ajipange kama Hustler (👇👇👇👇👇); maana vigisu kwenye uchaguzi ni jambo la kawaida ! Alishindwa kabisa kumia DEEP STATE na SYSTEM na wakati alikuwa na backing ya KNYTTA !!
 

Attachments

  • MUTU YA KUIBIWA KURA.mp4
    4.4 MB
nasikia wakenya hawataki kuongozwa na mtu ana Govi eti ako uncircumcised na kama ako sawa amekataa kushow evidence kwa public sijui ina ukweli gani!

Halafu eti jaluo ya Mama Esther akikalia kiti atasema haraka lete ile iliua Tom nasisi tumwage damu yake !!
 
Viongozi wa dini waache unafiki Raila kasema atadai haki yake mahakamani hayo mambo ya fujo yametokea wapi
 
Raila anasema;
"Hatutaki kuona fujo au vurugu katika taifa letu, tunataka amani idumu na hivyo basi tumeamua kutumia njia ya kisheria na kupeleka ushahidi tulionao mbele ya mahakama ya juu Zaidi.
Tunafanya hii kutetea demokrasia".

Vilevile amewaomba watu duniani kote wakae makao wa kula kesho jumatatu 22.08.2022 watatao ushaidi wote jinsi walivyoibiwa kura. rodrick alexander Biggs zipompa Karne
 
Back
Top Bottom