Kenya 2022 NAIROBI: Viongozi wa Dini wamuangukia Raila kabla hajalianzisha!

Kenya 2022 NAIROBI: Viongozi wa Dini wamuangukia Raila kabla hajalianzisha!

Kenya 2022 General Election
Haki ikitendeka sote tutahudhuria sherehe ya uapisho na kumpa ushirikiano rais mpya.
Haki ipi tena zaidi ya kumchagua Rais mnayemtaka, na ni Ruto kwa sasa.
 
Haki ikitendeka sote tutahudhuria sherehe ya uapisho na kumpa ushirikiano rais mpya.
Comrade ndiyo maana upo silence sana asee, kumbe hali si nzuri baada ya matokeo, ahahaa...
 
Haki ipi tena zaidi ya kumchagua Rais mnayemtaka, na ni Ruto kwa sasa.

Kura tumepiga vizuri tu, ila kunao wakuu wameibua tuhuma kwa kusema kura zao ziliibwa, na kwamba watafungua mashtaka, hivyo kwa taifa linaloheshimu misingi ya kisheria na demokrasia, inabidi tusubiri mwisho wake.
 
Kura tumepiga vizuri tu, ila kunao wakuu wameibua tuhuma kwa kusema kura zao ziliibwa, na kwamba watafungua mashtaka, hivyo kwa taifa linaloheshimu misingi ya kisheria na demokrasia, inabidi tusubiri mwisho wake.
Raila hana maajabu hajatoa ushahidi kwa public kama govi keshalitoa mi naona ni aibu ya kushindwa na bwana mdogo tu inamsumbua, kura zimehesabiwa kihalali mbele ya Kikwete nae akaona Jaluo kaangukia pua kama ambavyo mimi niliona huku TZ kabla ya upigaji kura maana mkamia maji huwa hayanywi huku tunae Lowaswa Mamvi nae alipigana mno ila mi nilijua hatopata urais hadi kaburini sababu urais ni zali tu kuokota embe dodo ukiusaka sana hadi kuchora mawe nchi nzima au kugawa mitungi ya gesi huupati!

iko hivi ukiona mtu flani anatumia nguvu kubwa kutafuta cheo flani huyo ana kitu kibaya amekipanga ni ufisadi au mauaji ya watu flani amepanga mkosee tu mumpe mtajuta halafu watu hawa wasakaji vyeo na mamlaka huwa hawapati kwakuwa hudhani wao wakipewa watafanya bora zaidi ya aliekalia kiti kumbe hawajui mziki wake! mf unaweza kudhani kuwa Mwalimu ni kazi rahisi tu kufundisha dkk 40 tu ila siku ukiupata ualimu unashangaa kumbe unatakiwa kuandaa vipindi na notes ndo ulale saa 7 usiku kila siku mwaka mzima kama unataka ufaulu wa A kwa wanafunzi wako na kupanda cheo!!

Binafsi because Mau Mau walipigana wakikuyu siamini kama Jaluo atakuja kuwa Rais wa Kenya under Kenyatta family's watch!! Jaluo ni mbinafsi na mjuaji mno!

Huwa nikienda sana Nairobi ukipita border askari anakuuliza utarudi lini kwenyu yaani wabaguzi mno nikiwa pale mjini mitaa yangu Tom mboya street, Latema Road na River Road na kule majengo kwenye soko la Miraa wamejipanga wanauza kwenye makapu kama sisi tunavyouza karanga!!
 
Na hapo Ruto keshasema yeye siyo muumini wa story za handshake
Unamjua Odinga kweli? Ana kura 6.9 Ruto ana 7.1 Million yaani nchi imepasuka nusu, so akiamua kulianzisha Ruto hawezi kutawala itakua migomo ya walimu, madaktari Kila siku kama ilivyokua 2013-17. So hizi kejeli hazina faida maana wanajua akiamua kulianzisha ikulu ataikimbia.
 
Raila hana maajabu hajatoa ushahidi kwa public kama govi keshalitoa mi naona ni aibu ya kushindwa na bwana mdogo tu inamsumbua, kura zimehesabiwa kihalali mbele ya Kikwete nae akaona Jaluo kaangukia pua kama ambavyo mimi niliona huku TZ kabla ya upigaji kura maana mkamia maji huwa hayanywi huku tunae Lowaswa Mamvi nae alipigana mno ila mi nilijua hatopata urais hadi kaburini sababu urais ni zali tu kuokota embe dodo ukiusaka sana hadi kuchora mawe nchi nzima au kugawa mitungi ya gesi huupati!

iko hivi ukiona mtu flani anatumia nguvu kubwa kutafuta cheo flani huyo ana kitu kibaya amekipanga ni ufisadi au mauaji ya watu flani amepanga mkosee tu mumpe mtajuta halafu watu hawa wasakaji vyeo na mamlaka huwa hawapati kwakuwa hudhani wao wakipewa watafanya bora zaidi ya aliekalia kiti kumbe hawajui mziki wake! mf unaweza kudhani kuwa Mwalimu ni kazi rahisi tu kufundisha dkk 40 tu ila siku ukiupata ualimu unashangaa kumbe unatakiwa kuandaa vipindi na notes ndo ulale saa 7 usiku kila siku mwaka mzima kama unataka ufaulu wa A kwa wanafunzi wako na kupanda cheo!!

Binafsi because Mau Mau walipigana wakikuyu siamini kama Jaluo atakuja kuwa Rais wa Kenya under Kenyatta family's watch!! Jaluo ni mbinafsi na mjuaji mno!

Huwa nikienda sana Nairobi ukipita border askari anakuuliza utarudi lini kwenyu yaani wabaguzi mno nikiwa pale mjini mitaa yangu Tom mboya street, Latema Road na River Road na kule majengo kwenye soko la Miraa wamejipanga wanauza kwenye makapu kama sisi tunavyouza karanga!!
Point Yako inaleta maswali zaidi, nani aliyeutafuta Urais kwa mabavu kama sio Ruto ambaye tokea 2013 yupo kwenye kampeni!! Hajafanya lolote miaka 10 zaidi ya kuzurura kusaka kura.

2. Kama Raila hawezi kuwa Rais sababu ya rafu tu sio kwamba Hana uwezo wa kushinda, mbona gap lenyewe ni kura chini ya laki 2 unawezaje kumuona ni loser??

3. RAILA awe fisadi kwa lipi? Kama ni pesa amezaliwa amezikuta sidhani kama Hela ndio zinamfanya agombee Urais more of anataka kuwa Rais kukamilisha dream ya baba yake ya Kenya mpya!! So ni more of a legacy than money or power!!

4. Mau Mau alipigana Wakikuyu pekee!! Ila Cha kushangaza wakoloni walipotaka kumzawadia Oginga Odinga uwaziri mkuu alipinga sababu Kenyatta alikua Jela!! Je angekua mbinafsi si angebeba fursa na kumsaliti mwenzie. Oginga alimuingiza kwenye Siasa Kibaki Ili aiongoze KANU kama ni mbinafsi si angezoa wajaluo watupu!!

Acha ukabila mkuu kama ni Ubinafsi utasemaje kwa Wakikuyu waliohodhi uchumi wote!! Odinga ndio pekee ambaye chama chake kimepenya kwenye makabila yote bar Wakikuyu kinyume na vyama vingine ambavyo vipo kwenye kabila husika tu!!!
 
UPDATE:
Mzee mzima RAO hataki mchezo na vijana wa kizazi kipya amepeleka ushahidi ukiwa kwenye canter mahakamani.
IMG_20220822_160417.jpg

MK254 Zuga
 
UPDATE:
Mzee mzima RAO hataki mchezo na vijana wa kizazi kipya amepeleka ushahidi ukiwa kwenye canter mahakamani.
View attachment 2331404

MK254 Zuga
This step taken so far is good for the growth of democracy but ngoja wafungue mafaili tupate kujua yaliyomo japo sidhani kama itasaidia kitu because I believe the system and tume favour Mr Ruto as President elect. It might be just a technique from Raila who knows deep in his heart that he is beaten to just minimize supporters' pain for losing this election which they invested million of dollars and lots of time

I would wish to meet Raila and look him in the eyes and ask him as to why he wants to be president that much! amepanga nini na urais? ( the moment of truth) wakenya tum remind Raila this time is the best for his retirement from high level politics arudi Kisumu kupumzika, how many years amecontest in vain? he should feel the shame!!
 
This step taken so far is good for the growth of democracy but ngoja wafungue mafaili tupate kujua yaliyomo japo sidhani kama itasaidia kitu because I believe the system and tume favour Mr Ruto as President elect. It might be just a technique from Raila who knows deep in his heart that he is beaten to just minimize supporters' pain for losing this election which they invested million of dollars and lots of time

I would wish to meet Raila and look him in the eyes and ask him as to why he wants to be president that much! amepanga nini na urais? ( the moment of truth) wakenya tum remind Raila this time is the best for his retirement from high level politics arudi Kisumu kupumzika, how many years amecontest in vain? he should feel the shame!!
But RAO bado mdogo sana kiumri ukilinganisha na baadhi ya marais waliopo madarani, kuna mmoja anakimbilia 9x, wkt RAO ana 7x.
 
Back
Top Bottom