anasema tu mambo yakivurugika hakai kwa raha, iyo handshake ataitafuta kwa tochiNa hapo Ruto keshasema yeye siyo muumini wa story za handshake
Raila ana siku ya Jumapili na Jumatatu kupeleka shauri kortiniKwani matokeo yalisemaje?!
Mahakama?!
Wagombea?!
Imeshatoka hiyo.. .. Raila keshapelekwa Chaka na kina . Uhuru .. ..
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Tafadhali hebu acha kuiga Kiswahili potofu cha wakenya. ako ndio nini sasa?... eti ako uncircumcised na kama ako sawa...