Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

jaman iwe thread maalum ya mombasa na mwanza hapo itakuwa hivi tunakuwa tunaharibu hii thread....kingine ikiwekwa kila jengo litajwe jina lske
 
Rock
IMG_0347.jpg
 
Kwa kifupi mikoa yote Tanzania inajengeka kwa speed kubwa....na hii ndio 2017
 
Hii ndio mnaita city....waah nlifungua thread tupambane mwanza v eldy mkatoroka
Mmebakiza maneno tu sasa....

Mshapigwa mnakimbia kimbia tu,mnaleta vijiji vya Eldoret na Mombasa kulinganisha na Jiji la Mwanza,kweli nyie mmeishiwa....

Huko kwenu Nairobi pekee ndiyo inazidi Mwanza,tukiwapeleka Dar labda muikusanye Kenya yoote huenda mkaifikia Dar hata robo.....

Mjipange sanaaaaaa........
 
We una kichaa..mbongolala wewe mwanza ata uki google inatoka error..falai
Kwa kashfa na maneno ya hovyo hamjambo na kwenye hili mnaliweza sana.....

Unapoona mtu anafoka na kutukana ujue dawa imeingia na zile ngumi za chemba zishaanza kumvuruga kabisa,tulia jombaa upewe dawa hapa....

Sitaki upigwe BAN halafu ushindwe kupewa dawa utoke kwenye giza,twende tu taratibu bwana mdogo.....

Narudia tena jipangeni,nyie baaaaado sanaaaaaa.....
 
Hahaha ety magonjwa...kwani unapeana...nyinyi wote hamna cha maana
Kinachokutesa wewe ni kule kuamini Tanzania ya 2017 ni hicho tu hehehehehehe punguza wenge utajitesa upate magonjwa ya moyo bure relax baba....kapumzike imetosha kwa Leo maana sasa hutoi povu tena unatoa damu😛😀😀
 
Back
Top Bottom