ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
Kwa akili yako unafkiri Obama hajafika Tanzania mumesahau alivokanyaga Tanzania mukaanza kulalamika hahhahahahahahahha😀😀😀Obama akikuja si mtakua na holiday ya wiki moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili yako unafkiri Obama hajafika Tanzania mumesahau alivokanyaga Tanzania mukaanza kulalamika hahhahahahahahahha😀😀😀Obama akikuja si mtakua na holiday ya wiki moja
But si shule zote na kazi zote zilifungwa iyo siku mushehereke kufika kwakeKwa akili yako unafkiri Obama hajafika Tanzania mumesahau alivokanyaga Tanzania mukaanza kulalamika hahhahahahahahahha😀😀😀
View attachment 496517 View attachment 496518
Sie huyo tu mpaka huyo kafika hehehhhhhehehBut si shule zote na kazi zote zilifungwa iyo siku mushehereke kufika kwake
Walikuja wote na bado nyinyi LDCSie huyo tu mpaka huyo kafika hehehhhhheheh
View attachment 496544 View attachment 496545 View attachment 496546
Hahhahahahha povuuuuu wanaangali opportunities za investment hahhahaha na huyo ndio maana Leo Tanzania imewashika koo hamupumuiWalikuja wote na bado nyinyi LDC
Mbona we mwenyewe unaishi slum na mko na real estate kibao?Walikuja wote na bado nyinyi LDC
Kwan we hujui uchumi wa Kenya umeshikwa na wageni hehehehehehe wakenya wengi masikini sana ndio maana kuna gap kubwa Kati ya poor and richMbona we mwenyewe unaishi slum na mko na real estate kibao?
living near the river doesn't make you a good swimmer
Mimi naishi slum?? Haha na Niko na iphone7 wewe uko izo manyumba mbovu za dar na ka tecnoMbona we mwenyewe unaishi slum na mko na real estate kibao?
living near the river doesn't make you a good swimmer
Wageni wagani hao..wakenya wenyewe wanainvest hadi Tanzania na hata haina aibuKwan we hujui uchumi wa Kenya umeshikwa na wageni hehehehehehe wakenya wengi masikini sana ndio maana kuna gap kubwa Kati ya poor and rich
Hahaha sasa iPhone 7 ndio nn?jamaa kajinga aka [emoji16][emoji16]Mimi naishi slum?? Haha na Niko na iphone7 wewe uko izo manyumba mbovu za dar na ka tecno
Kwa sifa tu hamujamboo hahahhahahahahahahMimi naishi slum?? Haha na Niko na iphone7 wewe uko izo manyumba mbovu za dar na ka tecno
Loser kwa nini kwa iPhone ? Unajua ata hujijui ulipewa kichwa ufikirie si ikue umbrellaWe ni loser tu,huna jipya
Lazima muje kwasababu hapa ndipo kuna resources hehehehehe kizuri chajiuza kibaya chajitembeza hahhahahhhahahaWageni wagani hao..wakenya wenyewe wanainvest hadi Tanzania na hata haina aibu
Bro iPhone 7 ndio excuse ya kutoishi slum or what is your point?Loser kwa nini kwa iPhone ? Unajua ata hujijui ulipewa kichwa ufikirie si ikue umbrella
Si resources iko ni juu nyinyi hamuwezi iyo biz hadi mkenya akam hapo..kuna Uchumi,Nakumatt,KCB,Equity etc zote purely Kenyan..lakini Kenya sijui company yyte ya darslumLazima muje kwasababu hapa ndipo kuna resources hehehehehe kizuri chajiuza kibaya chajitembeza hahhahahhhahaha
Uchumi kashindwa kakimbia hahhhahahahSi resources iko ni juu nyinyi hamuwezi iyo biz hadi mkenya akam hapo..kuna Uchumi,Nakumatt,KCB,Equity etc zote purely Kenyan..lakini Kenya sijui company yyte ya darslum
Azam si popular sana..izo zingine ata haziskiki zimedwafiwa na macompany za ukuUchumi kashindwa kakimbia hahhhahahah
Kuna azam TV, nmb bank, oilcom,lake gas, etc
Hahhahhahahha waulize wenzako watakuambiaAzam si popular sana..izo zingine ata haziskiki zimedwafiwa na macompany za uku