COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Sasa unapinga jamaa anaishi huko...wewe hujaifika Mombasa ka hujui nyali bridgeKama sijafika vile hahahhhhahahahh nimekaa sana nina jamaa kibao utanieleza nn wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unapinga jamaa anaishi huko...wewe hujaifika Mombasa ka hujui nyali bridgeKama sijafika vile hahahhhhahahahh nimekaa sana nina jamaa kibao utanieleza nn wewe
Dar ni Kijiji! Uje Kenya ujionee JijiKumbe Dar Kiboko
Photos have provenDar ni Kijiji! Uje Kenya ujionee Jiji
Koma weweDar ni Kijiji! Uje Kenya ujionee Jiji
Ok mkubali kipigo muache story nyingiHivi gorofa ziliisha dar?
Mliharibu battle wenyewe badala ya kujikita na battle mkaanza kuleta vitu vya kijinga, kubishana na nyie yahitaji kipajiOk mkubali kipigo muache story nyingi
No ya maghorofa ya upanga na kkoo 5flr+ imeipita 5 flr+ zote za nairobiPhotos have proven
nimegundua kitu wew hauishi mjini bali unaendaga tu mara moja moja yaan hata bei ya city center hauijui we upo bush2kg ndio sh150 sasa 1kg si ni sh75.yenu kilo moja ni tsh 1500 sasa tofauti ni nini acha ufala
halafu ni matajiri......ukitaka kujua sifa za kujitangaza kwa wakenya ili waonekane.......ni ivi kwenye top ten la majeshi yenye nguvu africa wapo halafu ukija kuangalia nguvu na utendaji wa jeshi lao ni dhaifu na haijawah toa msaada wa mafanikio hapavafrica hata siku moja na jeshi lao halina history kabisa mpaka najiuliza hawa wanakuwaje kwenye top ya majeshi boraKenya wameiga somalia hapo kwa wavaa yeboyebo wametolewa kamasi aka kweli what Kenya leads in Africa is only tribalistic propaganda na sifa za kijinga na wizi wa vitu visivyohamishika hahahah
Hii city ni ugly sana no trees no flowers..it looks like a concrete slumView attachment 497269 View attachment 497271
No ya maghorofa ya upanga na kkoo 5flr+ imeipita 5 flr+ zote za nairobi
We huna cha maana..nimegundua kitu wew hauishi mjini bali unaendaga tu mara moja moja yaan hata bei ya city center hauijui we upo bush
nani kakudanganya kama hakuna miti na flowerz .....aliyekuambia kakudanganya.....Hii city ni ugly sana no trees no flowers..it looks like a concrete slum
sinakuambia nikipata nafasi kuna tour ya kuja nairobi ....nitafanya mpango nikutafute na nitakukamata kama upo center ama bushWe huna cha maana..
Hapo sawa time unakuja unisho...nijutembeze hutawai post upuzi kuhusu Nai tenasinakuambia nikipata nafasi kuna tour ya kuja nairobi ....nitafanya mpango nikutafute na nitakukamata kama upo center ama bush
nilipitaga kipindi cha nyums na bus sema sikukaa sana nairobi pakawaida sana....sema pembezoni kwenye mazingira ya nyumba wanazoishi raia ni kimeo aiseeHapo sawa time unakuja unisho...nijutembeze hutawai post upuzi kuhusu Nai tena
Ukikuja kukaa wiki moja ndio utaelewa Nairobi hadi metro zakenilipitaga kipindi cha nyums na bus sema sikukaa sana nairobi pakawaida sana....sema pembezoni kwenye mazingira ya nyumba wanazoishi raia ni kimeo aisee
Who told u there is no trees usiseme kitu hujawah kufika my friend ukifika ndio usemeHii city ni ugly sana no trees no flowers..it looks like a concrete slum