Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

That's a concrete slum myfriend
Tatizo kila Siku nakwambia slum munazo nyie mumezikombatia unakataa hahahahahaha
1200px-Nairobi_slums_area.svg.png
 
Nairobi wins by huge margin. Clearly apart from the three skyscrapers In Dar,, the whole town looks like Kabul. Nairobi 's weakness is Kibera which Dar' s people keeps hitting really hard but the good news is, it's being upgraded... that doesn't go without saying though that Dar has 70% of its people living in slums.The bottom line is These are African cities which have a long way to go in improving the lives of the people living in them. Let's hope in 20 years time we shouldn't be seeing things like Manzense or Kibera, Tandale or Mathare but well organized living places. Challenge goes to governments of both countries.
 
dar imepigwa kwa over 20 buildings na nai,,,haiingii nai kwa roads,flyovers na interchanges,ongoing projects za skyscrapers nai ni nyingi kuliko bongo zenye ziko above 20 floors,nairobi is well planned kushinda dar,nai has better gated communities and apartments,nai has better malls than dar...kitu dar iko mbele ni brt peke yake.case closed
 
Hii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindi
Alafu pimbi anakuja anasema wana lead Kwa agriculture [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bila Tanzania wakenya wanakufa njaa huo ndio ukweli
lets think straight for a second here......
middle east wana import sana kahawa na majani chai.... kukaa kujipiga kifua kwamba bila sisi (exporter) middle east hawajanywa chai ni ujinga. zaidi zaidi ni kutumia nafasi hiyo hata kutengeneza matangazo yanayo sisitiza flani manufaa ya chai thereby utaongeza watumiaji na in the long run maximum profits.
nikirudi kwenye post yako, wewe na watanzania wengi tunachofanya ni kujipiga kifua kwamba bila sisi wakenya hawali which is rather stupid in my view.
Nchi ya kenya ni kame kwa asilimia zaidi ya sabini, wananchi wanazidi kuongezeka na mahitaji ya chakula pia yanaongezeka, hili ni soko zuri sana kwetu sisi tuliejaliwa asilimia kubwa ya nchi ina rotuba na mvua za kutosha kustawisha mazao yote, sasa je ipi bora, kufanya kilimo cha kisasa, kuiongezea thamani kwa kupakia vizuri na kuexport as finished/processed foodstuff, au kukaaa miaka yote kujipiga kifua kwamba bila Tanzania wakenya wanakufa njaa wakati hao wakulima bado ni masikini kama walivyokua miaka 20 iliopita???
Kwenye nyekundu umesema, "ng'ombe yanavyo ingia Kenya,". Leo hii, kama mtumiaji wa sausage, naamini ushakutana na sausage za farmers choice au Halal corned beef (kitu safi sana!) kwenye supermarket, hata kama wewe hutumii ila wapo watanzania wanaotumia na faida inaenda kenya, huku wewe unajipiga kifua kupeleka ng'ombe kenya.
Mashudu unayoongelea wanatengenezea lisho la hao ng'ombe na mwisho wa siku unakutana na maziwa ya brookside, UHT, na KCC kwenye shelf za supermarket kwa bei sawa au tofauti ya sh100 na azam/tanga fresh za hapa hapa.
Kiukweli inafaa tuamke, our standards are so low, tunaridhishwa na vitu vidogo vidogo sana. tukisharidhika ni wendo wa kupiga vifua na kupost picha za kibera na kuponda chochote kizuri! jamani!!!!!...
 
lets think straight for a second here......
middle east wana import sana kahawa na majani chai.... kukaa kujipiga kifua kwamba bila sisi (exporter) middle east hawajanywa chai ni ujinga. zaidi zaidi ni kutumia nafasi hiyo hata kutengeneza matangazo yanayo sisitiza flani manufaa ya chai thereby utaongeza watumiaji na in the long run maximum profits.
nikirudi kwenye post yako, wewe na watanzania wengi tunachofanya ni kujipiga kifua kwamba bila sisi wakenya hawali which is rather stupid in my view.
Nchi ya kenya ni kame kwa asilimia zaidi ya sabini, wananchi wanazidi kuongezeka na mahitaji ya chakula pia yanaongezeka, hili ni soko zuri sana kwetu sisi tuliejaliwa asilimia kubwa ya nchi ina rotuba na mvua za kutosha kustawisha mazao yote, sasa je ipi bora, kufanya kilimo cha kisasa, kuiongezea thamani kwa kupakia vizuri na kuexport as finished/processed foodstuff, au kukaaa miaka yote kujipiga kifua kwamba bila Tanzania wakenya wanakufa njaa wakati hao wakulima bado ni masikini kama walivyokua miaka 20 iliopita???
Kwenye nyekundu umesema, "ng'ombe yanavyo ingia Kenya,". Leo hii, kama mtumiaji wa sausage, naamini ushakutana na sausage za farmers choice au Halal corned beef (kitu safi sana!) kwenye supermarket, hata kama wewe hutumii ila wapo watanzania wanaotumia na faida inaenda kenya, huku wewe unajipiga kifua kupeleka ng'ombe kenya.
Mashudu unayoongelea wanatengenezea lisho la hao ng'ombe na mwisho wa siku unakutana na maziwa ya brookside, UHT, na KCC kwenye shelf za supermarket kwa bei sawa au tofauti ya sh100 na azam/tanga fresh za hapa hapa.
Kiukweli inafaa tuamke, our standards are so low, tunaridhishwa na vitu vidogo vidogo sana. tukisharidhika ni wendo wa kupiga vifua na kupost picha za kibera na kuponda chochote kizuri! jamani!!!!!...
You are very mature man...thumbs up[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
lets think straight for a second here......
middle east wana import sana kahawa na majani chai.... kukaa kujipiga kifua kwamba bila sisi (exporter) middle east hawajanywa chai ni ujinga. zaidi zaidi ni kutumia nafasi hiyo hata kutengeneza matangazo yanayo sisitiza flani manufaa ya chai thereby utaongeza watumiaji na in the long run maximum profits.
nikirudi kwenye post yako, wewe na watanzania wengi tunachofanya ni kujipiga kifua kwamba bila sisi wakenya hawali which is rather stupid in my view.
Nchi ya kenya ni kame kwa asilimia zaidi ya sabini, wananchi wanazidi kuongezeka na mahitaji ya chakula pia yanaongezeka, hili ni soko zuri sana kwetu sisi tuliejaliwa asilimia kubwa ya nchi ina rotuba na mvua za kutosha kustawisha mazao yote, sasa je ipi bora, kufanya kilimo cha kisasa, kuiongezea thamani kwa kupakia vizuri na kuexport as finished/processed foodstuff, au kukaaa miaka yote kujipiga kifua kwamba bila Tanzania wakenya wanakufa njaa wakati hao wakulima bado ni masikini kama walivyokua miaka 20 iliopita???
Kwenye nyekundu umesema, "ng'ombe yanavyo ingia Kenya,". Leo hii, kama mtumiaji wa sausage, naamini ushakutana na sausage za farmers choice au Halal corned beef (kitu safi sana!) kwenye supermarket, hata kama wewe hutumii ila wapo watanzania wanaotumia na faida inaenda kenya, huku wewe unajipiga kifua kupeleka ng'ombe kenya.
Mashudu unayoongelea wanatengenezea lisho la hao ng'ombe na mwisho wa siku unakutana na maziwa ya brookside, UHT, na KCC kwenye shelf za supermarket kwa bei sawa au tofauti ya sh100 na azam/tanga fresh za hapa hapa.
Kiukweli inafaa tuamke, our standards are so low, tunaridhishwa na vitu vidogo vidogo sana. tukisharidhika ni wendo wa kupiga vifua na kupost picha za kibera na kuponda chochote kizuri! jamani!!!!!...
Acha upotoshaji
Mada ni kwamba mkenya kasema wana lead kwenye agriculture na mm ni kamwambia wana lead nini maana almost chakula chote wanatoa Tanzania
Na ww unamawazo ya Tanzania ya miaka ya tisini hii ni Tanzania mpya
 
Acha upotoshaji
Mada ni kwamba mkenya kasema wana lead kwenye agriculture na mm ni kamwambia wana lead nini maana almost chakula chote wanatoa Tanzania
Na ww unamawazo ya Tanzania ya miaka ya tisini hii ni Tanzania mpya
Chakula gani tunatoa Tanzania????we unaota wewe..tea,coffee,horticulture,dairy,poultry inatupea mabillioni na kama unataka link ntakupea
 
SGR yetu iko ready yenu hamjaanza
Agriculture Kenya ni leading tea,coffee,milk,flowers etc nyinyi hakuna ki2 mnalead
So hakuna kenye mnachapa Kenya ni population pekee na land sizs
Hii ndio shida kubwa ya mkenya wanakufa na tai shingoni, nenda sirali utajionea ma roli ya ng'ombe yanavyo ingia Kenya, nenda manyara uone walivyo jipanga kuchukua vitunguu na mchele mpaka mashudu yale yanatoka kwenye kukamua alizeti, nenda arusha mpaka wamewekewa kituo wakusanye maindi
Alafu pimbi anakuja anasema wana lead Kwa agriculture [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bila Tanzania wakenya wanakufa njaa huo ndio ukweli
lets think straight for a second here......
middle east wana import sana kahawa na majani chai.... kukaa kujipiga kifua kwamba bila sisi (exporter) middle east hawajanywa chai ni ujinga. zaidi zaidi ni kutumia nafasi hiyo hata kutengeneza matangazo yanayo sisitiza flani manufaa ya chai thereby utaongeza watumiaji na in the long run maximum profits.
nikirudi kwenye post yako, wewe na watanzania wengi tunachofanya ni kujipiga kifua kwamba bila sisi wakenya hawali which is rather stupid in my view.
Nchi ya kenya ni kame kwa asilimia zaidi ya sabini, wananchi wanazidi kuongezeka na mahitaji ya chakula pia yanaongezeka, hili ni soko zuri sana kwetu sisi tuliejaliwa asilimia kubwa ya nchi ina rotuba na mvua za kutosha kustawisha mazao yote, sasa je ipi bora, kufanya kilimo cha kisasa, kuiongezea thamani kwa kupakia vizuri na kuexport as finished/processed foodstuff, au kukaaa miaka yote kujipiga kifua kwamba bila Tanzania wakenya wanakufa njaa wakati hao wakulima bado ni masikini kama walivyokua miaka 20 iliopita???
Kwenye nyekundu umesema, "ng'ombe yanavyo ingia Kenya,". Leo hii, kama mtumiaji wa sausage, naamini ushakutana na sausage za farmers choice au Halal corned beef (kitu safi sana!) kwenye supermarket, hata kama wewe hutumii ila wapo watanzania wanaotumia na faida inaenda kenya, huku wewe unajipiga kifua kupeleka ng'ombe kenya.
Mashudu unayoongelea wanatengenezea lisho la hao ng'ombe na mwisho wa siku unakutana na maziwa ya brookside, UHT, na KCC kwenye shelf za supermarket kwa bei sawa au tofauti ya sh100 na azam/tanga fresh za hapa hapa.
Kiukweli inafaa tuamke, our standards are so low, tunaridhishwa na vitu vidogo vidogo sana. tukisharidhika ni wendo wa kupiga vifua na kupost picha za kibera na kuponda chochote kizuri! jamani!!!!!...
Acha upotoshaji
Mada ni kwamba mkenya kasema wana lead kwenye agriculture na mm ni kamwambia wana lead nini maana almost chakula chote wanatoa Tanzania
Na ww unamawazo ya Tanzania ya miaka ya tisini hii ni Tanzania mpya
Wa kuelewa nilichojibu ataelewa. kama unatafuta ubishi kwangu, I wount give you the satisfaction.
 
kwanza hii ibadilishwe ni 40 floors 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 ndio tuendelee munaleta ujanja hapa
View attachment 495124
Tulifikia wapi.....
msianze kuharibu battle na zile kelele zenu.the list is here

1. Nairobi Britam (33 floors) V Dar TPA (36 floors)
2. Nairobi UAP 33 V Dar PSPF 1 35
3. Nairobi Times Tower V PSPF 2 35
4. Nairobi KICC 28 floors V Dar Rita 30 floors
5. Nairobi Social security house 1 28 floors V Dar Millennium Tower 30 floors
6. Nairobi Anniversary Tower 28 floors V Dar Uhuru Heights 27 floors
7. Nairobi Teleposta Tower 27 floors V Dar Umoja wa Vijana 1 25 floors
8. Nairobi Nyayo House 27 floors v Dar Umoja wa vijana 2 25 floors
9. Nairobi Lemac 26 floors V Dar PPF Golden Jubilee 24 floors.
10. Nairobi Co-operative Bank House 25 floors V Dar Golden Tulip 23 floors
11. Nairobi 4th Ngong Avenue Towet 25 floors V Dar Samora Tower 23 floors
12. Nairobi Hazina Tower 24 floors flooors v Dar Mafuta Tower 22 floors
13. Nairobi KCB Tower 23 floors V Mafao House 22 floors
14. Nairobi UoN Tower 22 floors v Dar Quality Boulevard 22 floors
15. Nairobi Ambank Tower 22 floors V Dar Viva Tower 21
16. Nairobi Lonrho House 22 floors V Dar BOT 1 20 floors
17. Nairobi National Bank Building 21 floors V Dar BOT 2 20 floors
18 Nairobi Uchumi House 21 floors V Dar Ushirika House 20 floors
19. Nairobi Golf Course Hotel 21 floors V Dar XXXX
So far Nairobi 12 Dar 5 draw 1 (Nairobi with one extra building awaiting response)
Tuendeleeni basi....... !!!!!!!!
 
Back
Top Bottom