Nairobi vs Kampala

Nonsense [emoji23][emoji23][emoji23]
Do you know the meaning of slum ata but i think you know because Nairobi pekee zipo slum zaidi ya 20,
Nonsense , unajua vizuri kwamba 70% ya makazi Dar es Salaam ni makazi aina ya slums alafu mnapenda sana kuimba ati Dar ndio jiji kubwa zaidi East Africa.

Dar es Salaam ndio yenye slum kubwa east africa.
 
We umekuja uza vitunguu wataka enjoy nn sasa na wakati jiji huliwez..
Nairobi iwachie wajanja na wenye hela...unafikiria ukifika nai utakaa kijiweni upate umbea wa simba na yanga
Been in Nairobi for two days sinaenjoy chochote
 
Endelea kuskia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]slum kunaishi wazamiaji waliokosa makao na pia kushindwa kupata hata hela ya maana..ila uswazi wengi wanamiliki hayo majumba na wana hati
Naskia kibera ni 3rd largest slum in nairobi, kumbe kuna babu kubwa zingine zinaendelea kuipiku kibera
 
Endelea kuskia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]slum kunaishi wazamiaji waliokosa makao na pia kushindwa kupata hata hela ya maana..ila uswazi wengi wanamiliki hayo majumba na wana hati
Bora uswaz kuliko slums.
Watu wa slums wanaishi dump site.
 
Bwahahaaaa!!!kwhyo ineishinda dar..manake nynyi mko na uswazi wao hawana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna wajichanganya....
Nitajie city yenye uswazi na mm nikutajie za slums
Dar es salaam pekee ndo mji wenyewe uswazi duniani kote,hakuna mji mwingine,

Ila slums ziko nairobi pekee!!! Na kibera is the father of all slums in the world
 

That was a speech delivered very long time ago.
When the tall buildings were only found in Nairobi. Sasa hata Dar kuna majengo ya kutosha.
 

Ahaa ha ha ha
πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£
My mbavu.

The kes is stronger than jΒ₯?
So Kenya' economy is bigger and better than Japan's?

Why China is blamed by US for devaluing her currency?

Please if you are not expert in international finance and trade, it's better for you to keep quiet.
 
I'm happy and proud to see people in here JF have been able to distinguish between slums and unplanned settlements.
Good guys.
 
Bwahahaaaa!!naona umekua mnynge kweli...haya pole yako
Dar es salaam pekee ndo mji wenyewe uswazi duniani kote,hakuna mji mwingine,

Ila slums ziko nairobi pekee!!! Na kibera is the father of all slums in the world
 
Nasikia Naii chapaa ni chakuka cha anasa wakenya wanapenda chapati hadi usiku zinapikwa
We umekuja uza vitunguu wataka enjoy nn sasa na wakati jiji huliwez..
Nairobi iwachie wajanja na wenye hela...unafikiria ukifika nai utakaa kijiweni upate umbea wa simba na yanga
 
Mafukara wapi na wana makwao...shobo tu zile za kuzamia mjini enzi zile...
Sasa wakenya wakiama Nairobi si kutakuwa wageni watupu maana wakenya wazawa wana ishi slum ,siungi mkono kuwafukuza wakenya Nairobi napinga napinva napinga
 
HIVI NAIRONI NI FLYOVER AU MIFANO YA MADARAJA MAFUPI TU?
 
Nonsense , unajua vizuri kwamba 70% ya makazi Dar es Salaam ni makazi aina ya slums alafu mnapenda sana kuimba ati Dar ndio jiji kubwa zaidi East Africa.
Dar es Salaam ndio yenye slum kubwa east africa.
Nooooo usiisingizie Dar wakati dunia yote inatambua kuwa kibera is the third biggest and worst slum in the world,korogocho,kawangware and mathare follow after himself kibera...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…