Nairobi vs Kampala

Nairobi vs Kampala

Kumbe nyinyi mshamaliza safari na ndio mnajenga flyover ya kwanza! [emoji23] [emoji23] Sisi tunazo nyingi huku na ndio tumeanza coz hizo hazitoshi. Kama nyinyi mshafika na hiyo yenu moja basi pole kwenu. Ubaya mtaanza kusema Nairobi ilijengwa na wazungu
wacha kujihami nakukumbusha tena,sitasema hivyo[emoji16].

sisi tunaangalia ufanisi wa kila kitu,tunafanya research kabla tufanye.

unazo flyover 18 lakini unalalama jam junction,ni wazi hukumjua adui yako kabla uamue kupambana naye.nikukumbushe tu ziko 3 mpak sasa tz.
 
Ona ulivyo mshamba! Kwahiyo kufahamu Kiingereza ndo kwenda shule sio?! Kwa maana nyingine uliacha kuandika kwa Kiswahili ambacho ulianza nacho ili kuonesha umeenda shule?!

Hivi huu ushamba wa kuonea fahari Kiingereza mtaacha lini nyie watu?! Waganda ni wazuri kwenye Kiingereza kuliko Wakenya lakini ni nadra sana ukute Waganda wanaonea fahari lugha ya Kiingereza!!

Sio mbaya lakini, endapo hutajali naomba nikupuuze! Naomba nikupuuze kwa sababu hujui hata unachoongea!
Hahahahahah we jamaa.
Hapana hii tabia yetu ya ukarimu hadi kukasirika tunaomba daaaah aiseee!!!!!!!
Eti naomba nikupuuze.
Hahahhahahahahhahahhahahahaha daahah unanikumbusha mpesa lady "naomba niwe na hasira kdogo".
Umenichekesha sana kaka angu.
 
wacha kujihami nakukumbusha tena,sitasema hivyo[emoji16].

sisi tunaangalia ufanisi wa kila kitu,tunafanya research kabla tufanye.

unazo flyover 18 lakini unalalama jam junction,ni wazi hukumjua adui yako kabla uamue kupambana naye.nikukumbushe tu ziko 3 mpak sasa tz.
Ni middle class inaongezeka baba... sio mambo na design or anything. Siku Dar itakuwa na magari mengi kama Nairobi you'll know what am talking about
 
Ni middle class inaongezeka baba... sio mambo na design or anything. Siku Dar itakuwa na magari mengi kama Nairobi you'll know what am talking about
nairobi haina magari mengi.ila mji ni mdogo sana kijana.

kama mtaendelea na ujinga wa highway nje ya jiji,mtaendelea kuhenyea jam.barabara kubwa kuliko mji inakoelekea.
 
Bwahahaaaa!!!kwhyo ineishinda dar..manake nynyi mko na uswazi wao hawana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna wajichanganya....
Nitajie city yenye uswazi na mm nikutajie za slums
Jibu swali acha porojo
Ulishawahi kuisikia au kuiona Kampala kwenye list ya slums duniani???
 
Heheeee!!!kwhyo umekosa sio...kamwe huwez kuta vijiji ndani ya jiji..only in dar[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawe niletee City yenye slums nyingi na flying toilet kando na Nairobi
 
Ona ulivyo mshamba! Kwahiyo kufahamu Kiingereza ndo kwenda shule sio?! Kwa maana nyingine uliacha kuandika kwa Kiswahili ambacho ulianza nacho ili kuonesha umeenda shule?!

Hivi huu ushamba wa kuonea fahari Kiingereza mtaacha lini nyie watu?! Waganda ni wazuri kwenye Kiingereza kuliko Wakenya lakini ni nadra sana ukute Waganda wanaonea fahari lugha ya Kiingereza!!

Sio mbaya lakini, endapo hutajali naomba nikupuuze! Naomba nikupuuze kwa sababu hujui hata unachoongea!
It's not my fault you can't understand English. Do yourself a favour and avoid responding to posts in English.
 
Uswazi dunia nzima zinapatikana tz...je unakataa au unapinga..jibu lako lisiwe la ki ccm please
Mkuu mbona unajikwinya kwinya????
Where else can we find human national park rather than Kenya???
 
Wakenya hamna ata akili, hvi unajua maana ya uswazi?? Uswazi imetokana na neno uswahilini boya wew haimaanishi ndo kupo kama kibera bala watu waishio mazingira hayo ni waswahili yenye maana kuwa mambo yao na shughuli zao ni tofauti na maeneo ya kishua
Uswazi dunia nzima zinapatikana tz...je unakataa au unapinga..jibu lako lisiwe la ki ccm please
 
We unawajua waswahili...ama unaandika tu....sema ueleweshwe...si kuandika ki shabiki tu...
Wakenya hamna ata akili, hvi unajua maana ya uswazi?? Uswazi imetokana na neno uswahilini boya wew haimaanishi ndo kupo kama kibera bala watu waishio mazingira hayo ni waswahili yenye maana kuwa mambo yao na shughuli zao ni tofauti na maeneo ya kishua
We umeona city gani yenue iko na sehemu km hii..tena wengi wao eti wanamiliki hayo majumba..sera zenu mbovu ndio zili waharibia miji yenu mpka kukaa ovyo hvyo...
39751258-aerial-view-of-the-city-of-dar-es-salaam-showing-the-densely-packed-houses-and-build...jpeg
 
We unawajua waswahili...ama unaandika tu....sema ueleweshwe...si kuandika ki shabiki tu...We umeona city gani yenue iko na sehemu km hii..tena wengi wao eti wanamiliki hayo majumba..sera zenu mbovu ndio zili waharibia miji yenu mpka kukaa ovyo hvyo...View attachment 1200857
Hiyo picha ni ya sehemu gani ya dar, naomba nikuulize kwanza
 
Back
Top Bottom