Nairobi vs Kampala

Km mond mwenyewe ameikubali hali ya nyumbani...we ni nani unayekataa wakati hta mjumbe hakujui...some time kubali ukwel
Hiyo picha ni ya sehemu gani ya dar, naomba nikuulize kwanza
 


[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Itawachukua Kampala several centuries kutufikia Nairobi hapa
Na hizo overhead garbage sites juu ya hivyo vibanda . Wakenya ni very innovative [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahhahahahhaahhahaha daaah wana dump site hadi juu ya paa la stendi ya mabasi.
 
Nimetapika hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo maisha siyo mchezo yasikie tu hivyo hivyo wewe jiulize ukilazimishwa kulala hapo siku tatu itakuwaje nisawa na kulala juu ya dampo .sasa sibora hao wanaoishi hapo Kwa slum wamtukane kenyata matusi ili wapate kupelekwa kwenye makazi bora ya jela za Kenya
BORA KUISHI JELA ( SHIMO LA CHEWA) KULIKO KUISHI HAPO
 
Km mond mwenyewe ameikubali hali ya nyumbani...we ni nani unayekataa wakati hta mjumbe hakujui...some time kubali ukwelView attachment 1200966View attachment 1200967
Daaaamn ,huku kunakaa kama makao makuu ya extreme poverty .

Ona vle maisha mabovu na nyumba duni na takataka kila pahali lakini waTzed hapa hujifanya ni kama Dar is heaven na kila mTanzania anaishi maisha mazuri.
 
Hatari [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndege ilisha rejea kutoka SA mlisema mengi wazee wa madili
 
Ninayo dawa ya kuongeza nguvu za kike naona nguvu zako ziko down
 
Watakwambia hapo sio dar...bali ni picha za google tu..dar haikai hvo
Daaaamn ,huku kunakaa kama makao makuu ya extreme poverty .

Ona vle maisha mabovu na nyumba duni na takataka kila pahali lakini waTzed hapa hujifanya ni kama Dar is heaven na kila mTanzania anaishi maisha mazuri.
 
Nonsense , unajua vizuri kwamba 70% ya makazi Dar es Salaam ni makazi aina ya slums alafu mnapenda sana kuimba ati Dar ndio jiji kubwa zaidi East Africa.

Dar es Salaam ndio yenye slum kubwa east africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…