Pre GE2025 Naishauri CHADEMA imchukulie Lissu hatua kali sana za kinidhamu na kumpa onyo kali kwa kukichafua Chama na kuwapaka Matope viongozi wenzake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Achana na Chadema wewe mjinga kabla hatujakulipua ukimbie jf milele, kwani mambo ya ccm yamekuishia?

Nakupa onyo la mwisho
Bado sana kufikia hatua ya kunitisha mimi. Kwanza wewe unatakiwa uwe na adabu kwangu .acha kukurupuka kama kuku.😀😀.uwezo wako ni mdogo sana
 

Niliwahi kuandika zamani Sana kuwa wewe sio ccm, na ww sio chawa wa Rais Samia

Wewe ni muumini wa upinzani na uwa unakuja na topic za Rais ili watu watukane waongee lugha chafu za kumchafua Rais

Naona uchaguzi wa chadema umekufanya uje na true colour yako

Sasa tumeshakujua uko upande gani
 
Nakuunga mkono Komredi. Wasipofanya hivyo ni hasara kwa taifa kutoa ruzuku kwa chama cha watu wasioelewana. Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA.


Hasara ambayo wewe unaona ni Ruzuku tu
 
Bado sana kufikia hatua ya kunitisha mimi. Kwanza wewe unatakiwa uwe na adabu kwangu .acha kukurupuka kama kuku.😀😀.uwezo wako ni mdogo sana

Hajui kama ww unaingia kwenye mkutano mkuu wa chadema na unapiga kura haha
 
Hahahahaha
Kweli Tanzania ina wakati mgumu sana.

Think tanks wa CCM ndo kama huyu
 
ni muhimu sana akavuliwa uongozi na akasimamishwa uanachama kwa muda, amefikia kiwango cha mwisho zaidi cha kuvumiliwa, utovu wa nidhamu anaoonyesha, kwakweli umevuka mipaka ya kiungozi pale chadema...

Ccm subirin mkutano wenu mkuu January

Mambo ya chadema waachieni wenyewe
 
Lissu hana uchunguvna chadema et?? iv kwann kwann mods unazuia matusi Kwa nyumbu kama Hawa!? sio matusi tu na viboko pia wanastahili,
 
Wamuache tu, siyo kila kitu kinachukuliwa hatua kuna vitu vya kupuuzwa wakati mwingine. Hatua zichukuliwe kafanya nini cha hatari? Chadema wako imara.
 
Mpumbavu kama wewe ukuyeshindwa maisha hadi umeamua kuwa chawa unapateje uhalali wa kuishauri Chadema? Tengeneza kwanza maisha yako siyo unaishi kwa matumaini ya kutupiwa makombo.
 
Mpumbavu kama wewe ukuyeshindwa maisha hadi umeamua kuwa chawa unapateje uhalali wa kuishauri Chadema? Tengeneza kwanza maisha yako siyo unaishi kwa matumaini ya kutupiwa makombo.
Maisha yamekushinda wewe kwa ujinga wako.
 
Kwani CHADEMA ikichafuka wewe inakuhusu nini?Kadi yako ya CHADEMA ni namba ngapi?
 
Wamechelewa, kwa sasa wapo kipindi Cha uchaguzi, kakichafuaje chama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…