Pre GE2025 Naishauri CHADEMA imchukulie Lissu hatua kali sana za kinidhamu na kumpa onyo kali kwa kukichafua Chama na kuwapaka Matope viongozi wenzake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mtu mweusi na demokrasia ni maadui, akili yake inafikiria maguvu tu hata sehemu zisizohitaji manguvu wanafikiria mabunduki, mashtaka na vitisho tu kweli bado tupo kwenye evolution kutoka kuishi in jungle kuwa binadamu baadaye! Tazama thread ya huyu chawa
 
Ccm subirin mkutano wenu mkuu January

Mambo ya chadema waachieni wenyewe
gentleman,
hakuna mchambuzi mbobevu na muandamizi wa masuala ya kisiasa anababaika na chadema au chama kingine cha siasa,

Ila anawajibika kuelezea, kuchambua na kuwafafanulia wadau mambo muhimu yanayojiri ndani ya vyama vya siasa, wala hakuna haja ya kukaa kimya ikiwa kuna jambo la kishirikina kama wadau..

Kwahiyo hakuna haja ya sijui kusubiri nini, wala hakuna sababu ya kuwaachia wengine chochote pekeyako hususani kuhusu mambo ya umma πŸ’πŸŽ„
 
Nyie hamkemeeani kwa sababu mnapora nchi CDM wanakemeeana kwa ajili yakoponya Chama chao na nchi. Jaribu kusema kweli kwenye chama chenu kama utaishi. Chawa na wapiga tarumbeta za kuusifu ndiyo sifa zenu CDM mfale akiwa uchi hawaogopi kumwambia mfalme upo uchi siyo nyie mnaremba.
 
Pumbavu
 
Unashauri kama Nani??
 
Tambua unaandika haya mbeke ya wanaume tena ukiwa umechutama.
Chunga mziki huo, hizi hoja peleka UVCCM kule hamnaga ubongo utasikilizwa tu.
 
Itakuwa yupo anabubujikwa na machozi
 
Tufanye ametumwa na magaidi CCM haya bubujikwa na machozi ya furaha.
 


Sijawahi kuona ukiandika Negative za watu wa ccm
 
cjakuelewa,yaan hujabaisha point ya msingi ya kumtuhumu mweshimiwa lisu.
ww ndo umeropoka, nothing you narrated a critical point to condemn lisu..
Mbona uongozi upo kimya kama kweli anakiharibu chama.
kama huna thread ya maana ingia humu na usome nyuzi na ukoment na sio kutuletea ushabiki wako wa vyama.
 
Sijawahi kuona ukiandika Negative za watu wa ccm
Gentleman,
andikia uzi mahususi kuhusu chama chochote cha siasa, na uwe specific with facts, nitachangia bila kuchelewa, lakini pia bila kiwewe.

always niko neutral kwenye mambo haya πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…