John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Ni kweli kabisa kwamba hawana, Ila Waingereza wana msemo wao kwamba *There is more than one way of skinning a cat."Wananchi hawana mitutu ya bunduki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa kwamba hawana, Ila Waingereza wana msemo wao kwamba *There is more than one way of skinning a cat."Wananchi hawana mitutu ya bunduki
Polisi waliotoa sheria halali, vibaraka wa Mabeberu Chadema hawatii hizo sheria halali ndio maana wanashughulikiwa.Nani hajatii sheria?
Sheria Halali lazima watu waitii
Hatukuona Waandamanaji walitii sheria bila shuruti wale wachache wamechukuliwa kuhifadhiwa Polisi Kwa Ajili ya usalama wao.
Nawapa kongole Polisi 😂😂
Ni kweli kabisa kwamba hawana, Ila Waingereza wana msemo wao kwamba *There is more than one way of skinning a cat."
Nimefurahi sana kuona kwamba Wananchi wamewapuuza vibaraka wa Wazungu.Unafikiri waandamani wangekuwepo Polisi wangetumia NGUVU?
Hao 14 waliokamatwa sio waandamanaji?
Jambo gani linalokufurahisha katika Sakata hili?
1. Je kutokuelewana baina ya Serikali na CHADEMA?
2. Kutokuelewana kwa Jeshi la Polisi na waandamanaji?
3. Kutokuona maandamano ya Kutetea haki za waliotekwa na waliouliwa?
4. Kuzimwa kwa maandamano?
Polisi waliotoa sheria halali, vibaraka wa Mabeberu Chadema hawatii hizo sheria halali ndio maana wanashughulikiwa.
Iliyopiga marufuku maandamanoSheria ipi hiyo ambayo haijatiiwa na CHADEMA?
Nimefurahi sana kuona kwamba Wananchi wamewapuuza vibaraka wa Wazungu.
Wale wachache wakiokaidi wamepelekwa mahala salama Kwa Ajili ya usalama wao.
Nawapa kongole Polisi Kwa uweledi wao.
Iliyopiga marufuku maandamano
Kama yamepewa uzito mkubwa uliwaona Waandamanaji?Sio kwamba wananchi wameogopa kitisho cha Polisi?
Maandamano yaliyopuuzwa ni Yale ya Wakati ule lakini haya yamepewa uzito mkubwa Sana
Haki ya Baba yangu haipatikani kwenye maandamano.😀😀
Wewe mtoto au Baba yako akitekwa au akauawa alafu mtu akasema usiandamane kudai Haki zako, hiyo Amri itakuwa Halali kwako?
Je, unaelewa maana ya msemo wa Waingereza nilionukuu hapo juu wa kwamba "there is more than one way of skinning a cat."?Sasa kama hawana mitutu watafanyaje?
Unafikiri uwiano wa wananchi wanaoiamini serikali na wale wasioimani serikali ukoje?
Sahihi, walichojichanganya CHADEMA ni kuweka bayana intention ya maandamano kuwa ni kuiangusha Serikali kwa kuweka kauli mbiu kwamba Samia must go...Ndio maana Mimi sijayapinga na nimeishauro serikali nini chakufanya, kutoa HAKI
Ila Maandamano yanayohamasisha kuangushwa kwa serikali hayo napinga kwa sababu hayapo kisheria. Yaani sidhani kama kuna sheria inaruhusu serikali kuangushwa kwa maandamano.
Kama Samia hafai Mwakani sio mbali, wapige Kura. Kama atashindwa sawa. Kama atashinda sawa. Kama ataiba kura hiyo tutaipinga. Kama mpinzani atashinda kwa kuiba kura tutaipinga
Kwa kigezo kipi?Na yale yalipuuzwa kwanini?Wakati walioandaa maandamano ni hao hao.Sio kwamba wananchi wameogopa kitisho cha Polisi?
Maandamano yaliyopuuzwa ni Yale ya Wakati ule lakini haya yamepewa uzito mkubwa Sana
Kwa kigezo kipi?Na yale yalipuuzwa kwanini?Wakati walioandaa maandamano ni hao hao.
Jf Waendelee kukupa tuzo ya ujinga tuu 😂😂😂😂
Vibaraka Wameshughulikiwa ipasavyo
View: https://x.com/Kipanga1986/status/1838195046467645818?t=MAu17qF7lsVEEn9Iw90tcQ&s=19
Umevuka wewe na vibaraka wenzako SSH Bado sana kuwashughulikia mtaani na kwenye sanduku la kura.LOOooh!
Wewe huoni haya tayari ni maandamano!
Katika akili zako kweli unaamini Samia kavuka kihunzi?
Umevuka wewe na vibaraka wenzako SSH Bado sana kuwashughulikia mtaani na kwenye sanduku la kura.
Nioneshe hayo maandamano 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DAQQ9pMtSuY/?igsh=Zzc5ZXg3ZjU4Z281
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Basi nikupe pongezi zako na kwa mama yako Samia kwa mafanikio haya makubwa mliyo yapata leo!