Naishauri Simba kukata rufaa kupinga uamuzi wa kupigwa faini ya milioni 5, uonevu ufike mwisho sasa

Naishauri Simba kukata rufaa kupinga uamuzi wa kupigwa faini ya milioni 5, uonevu ufike mwisho sasa

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.

Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.

Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?

Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.

Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?

Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
 
Yaani kama Viongozi wa Pamba wakiwa ofsini ndo wavamiwe na hao makomandoo wa Simba na usiwe kosa?

Ushaambiwa zilikuwepo hizo fujo zilizoletwa na Makomandoo wa Simba ulitaka polisi wasije na silaha waje na Nini kutuliza hizo fujo
 
Ungekuwa unawafahamu hao wajumbe wa hiyo kamati wala usingehangaika kuandika yote haya....
Kwa kifupi bongo hakuna mpira......
Wewe jiulize....kwenye hiyo sintofahamu iliyojitokeza ...hata kama Mkuu wa mkoa ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa kwa ile spidi aliyokuwa nayo unamtengaje na hizo vurumai?
Ni mbo ya kiswahili sana...
 
Kuna muda ukifatilia mambo ya soka la bongo ....unaona kabisa baada ya muda inabidi uache kulifatilia ....uhamie Majuu huko .....
Bongo hakuna BOLI zaidi ya politics t za BOLI
Kwa kuwa kolo kapigwa faini.
 
Katika harakati zangu nilikuja kugundua 90% ya taasisi za Tz zinaongozwa na watu wapuuzi wenye akili ndogo, na shule zao hazikuwasaidia chochote.

Ukishajua hili wala husumbuki na kitu.
 
Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.

Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.

Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?

Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.

Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?

Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Naungana na wale wanaosema ukiwa shabiki wa Simba au Yanga unakuwa mjinga, yaani akili zako unaziweka rehani.
 
Yaani kama Viongozi wa Pamba wakiwa ofsini ndo wavamiwe na hao makomandoo wa Simba na usiwe kosa?

Ushaambiwa zilikuwepo hizo fujo zilizoletwa na Makomandoo wa Simba ulitaka polisi wasije na silaha waje na Nini kutuliza hizo fujo
Ofisi za Pamba zipo uwanja wa kirumba
 
Back
Top Bottom