mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kikubwa point 3.haya mengine yatakuumiza tu kichwa.walipe.karma is real
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe ulikuwepo katika tukio?Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.
Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.
Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?
Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.
Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?
Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Ma-last born wa taifa, ni mwendo wa kulalamikia kila kitu;Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.
Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.
Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?
Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.
Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?
Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Sisi kama viongozi wako wa timu, tumekubali kuilipa hiyo faini. Maana ni kweli makomandoo wetu walifanya vurugu na uharibifu wa mali. Kwa hiyo kuwa tu mpole.Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.
Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.
Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?
Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.
Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?
Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Sio office ya Pamba tu ndo ipo uwanjani CCM Kirumba Bali Kuna ofsi za taasisi nyingiOfisi za Pamba zipo uwanja wa kirumba