Naishauri Simba kukata rufaa kupinga uamuzi wa kupigwa faini ya milioni 5, uonevu ufike mwisho sasa

Naishauri Simba kukata rufaa kupinga uamuzi wa kupigwa faini ya milioni 5, uonevu ufike mwisho sasa

Kikubwa point 3.haya mengine yatakuumiza tu kichwa.walipe.karma is real
 
Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.

Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.

Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?

Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.

Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?

Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Hivi wewe ulikuwepo katika tukio?
 
Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.

Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.

Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?

Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.

Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?

Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Ma-last born wa taifa, ni mwendo wa kulalamikia kila kitu;
1. GSM anadhamini timu nyingi
2. Hersi anaharibu ligi
3. Tutahamia Burundi
4. Arajiga
5. Tatu Malogo
6. Kayoko
7. Bahasha
8. Yas (nyashi) pesa
9. TFF
10. TFF
11. TFF
12. TFF
 
Taarifa inasema Pamba imepigwa faini milioni 5 kwa kufanya vurugu, kwa kosa la maafisa wake kuingilia mazoezi ya klabu ya Simba siku moja kabla ya tarehe ya mchezo tajwa hapo juu katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

Taarifa inasema pia walinzi wa Simba walisababisha vurugu pia kwa walinzi wake kufanya vurugu na kuvunja mlango na kioo cha dirisha la ofisi ya meneja msaidizi wa uwanja wa CCM kirumba.

Taarifa ya TFF haisemi wala kulaani kiongozi wa serikali kuvamia na mabunduki uwanjani na kwamba yeye ndio chanzo cha yote hayo.Very sad.

Taarifa imeandikwa kishabiki sana, Simba imeadhibiwa kwa sababu walinzi wake walifanya vurugu, Je ni kweli hao walikuwa walinzi wa Simba? Mbona viongozi wa Pamba waliokuwa ndani ya ofisi hawajaadhibiwa? Kuna ushahidi gani kama wale walikuwa walinzi wa Simba?

Yaani hata kama klabu inajitahidi kujiepusha na mafaini yasiyo ya msingi inatafutwa sababu yoyote ile ali mradi mapato yapatikane.Shame on you.

Naishauri Simba haya mambo lazima yafike sehemu yapingwe kisheria, hoja ya kwanza ni kupinga wale waliofanya vurugu kuwa walinzi wa simba, vinginevyo iwekwe video clip ushahidi uonekane live na yule kiongozi wa mkoa aonekane pia.Kwanini Simba na Yanga ndio wageuke kuwa chanzo cha mapato cha TFF na Bodi ya Ligi?

Yaani mm nimeenda uwanjani kucheza na Pamba, kanuni zinanipa fursa siku moja kabla ya mchezo nitumie uwanja, siku hiyo wahuni wananivamia, hawataki kutoka uwanjani, kwanini nisijilinde? Self defence is legally acceptable.
Sisi kama viongozi wako wa timu, tumekubali kuilipa hiyo faini. Maana ni kweli makomandoo wetu walifanya vurugu na uharibifu wa mali. Kwa hiyo kuwa tu mpole.
 
Back
Top Bottom