Natamani akiuza akuuzie weweTafuta hati bandia , uza, sepa na uende mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani akiuza akuuzie weweTafuta hati bandia , uza, sepa na uende mbali.
🤣🤣🤣huyu ataokota kila kitu kwa kweliKumbe inawezekana kuokota Nyumba!
Nilikua najua ni utani tu,
Hongera Mkuu kwa kuokota Nyumba,imebaki uokote Gari tu.
Ataokota hadi Mke huyu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu ataokota kila kitu kwa kweli
Jumba bovu limdondokee!![emoji1787][emoji1787]Natamani akiuza akuuzie wewe
Chai! Chai! Kadanganye wanywa kangale! Huo uzinduzi ulifanyikaje hili hali mwenyewe aliifanya kuwa siri! Waliohusika kuizundua ni akina nani?Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Ila Matapeli wa hivyo wapo sana! Wanajimilikisha mali isiyokua yao bila uwoga kisa tu wana pesa ya kuhonga kwenye mifumo ya utowaji haki!!Chai! Chai! Kadanganye wanywa kangale! Huo uzinduzi ulifanyikaje hili hali mwenyewe aliifanya kuwa siri! Waliohusika kuizundua ni akina nani?
Inawezekana kabisa kugawana kama hakuna mgogoro na wakifungua maombi yao ya mirathi Mahakama ya Mwanzo kule ni wiki kesi ishaisha.
Mkeo alipata mchepuko familia ya marehemu itaibuka?Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yenye vyumba vinne na Kila kitu quality kuanzia aluminum mpaka tiles nyumba ni nzuri sana mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Nani mwenye nyumba SasaHuna mkataba, nyumba si yako.
Illegal.
Kujimilikisha nyumba ya marehemu siyo kitu rahisi kama wengi wanavyo fikiri,eti kufoji sign ya marehemu, kwa taarifa yenu wale wote mnaopenda kufanya forgery kuna kitengo cha forensic ndani ya Jeshi la Polisi kazi yake ni kuchunguza hizo forgery kisayansi! Na Sayansi haiongopi!!Uongo tuu, kwa hiyo hati ya kiwanja unazo bdani kwako mxiiiu wizi tuuu.
Marehemu ndiye mwenye nyumba na wewe siyo mrithi wake.Nani mwenye nyumba Sasa
Hao uliosikia wameshagawana mali nyingine ... Wape na hiyoSasa ndugu siwajui na yeye alikua anasema ni Siri anataka awafanyie suprise