Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Daah tatizo mkuu hapa mjini shida kuwatambua ndugu wanaweza kujitokeza matapeli sababu jamaa tulikutana nae bar akasema anajenga akimaliza Mimi nihamie kama mpangaji wake Nikalipia miezi 6 ndio mwezi wa 4 akafariki
Kama una namba ya simu ya jamaa, ukitumia hiyo namba tu, utapata mpaka anapoishi na mtaa, kama una nia hiyo. Na hata ndugu zake utawapata. Tafuta familia yake wape nyumba na kiwanja chao, fanya ujanja ujanja ulaaniwe wewe na kizazi chako. Nyumba haiokotwi.