Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Haiez tokea kwamba hakuna hata jamaa yake anaijua. Lazima Kuna jamaa Ake wanalewa wote ashampa hiyo Siri. Afu acha ujinga walopenda slope wote p Diddy kapita nao.
 
Chai! Chai! Kadanganye wanywa kangale! Huo uzinduzi ulifanyikaje hili hali mwenyewe aliifanya kuwa siri! Waliohusika kuizundua ni akina nani?
 
Chai! Chai! Kadanganye wanywa kangale! Huo uzinduzi ulifanyikaje hili hali mwenyewe aliifanya kuwa siri! Waliohusika kuizundua ni akina nani?
Ila Matapeli wa hivyo wapo sana! Wanajimilikisha mali isiyokua yao bila uwoga kisa tu wana pesa ya kuhonga kwenye mifumo ya utowaji haki!!
 
Mkeo alipata mchepuko familia ya marehemu itaibuka?
 
Uongo tuu, kwa hiyo hati ya kiwanja unazo bdani kwako mxiiiu wizi tuuu.
Kujimilikisha nyumba ya marehemu siyo kitu rahisi kama wengi wanavyo fikiri,eti kufoji sign ya marehemu, kwa taarifa yenu wale wote mnaopenda kufanya forgery kuna kitengo cha forensic ndani ya Jeshi la Polisi kazi yake ni kuchunguza hizo forgery kisayansi! Na Sayansi haiongopi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…