Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Naishi kwenye Nyumba ya kupanga mwenye nyumba alifariki ghafla na ndugu hawaijui hii nyumba

Hapo mbezi yupo mmoja hivyo hivyo, na aliishachukulia kama kaokota nyumba.

Baada ya miaka mingi walijitokeza ndugu,
Kuna ule uzi wa yule Mpemba alie hujumiwa kunyingwa kwa kumuua muua Mdai wake, nilionaga umeelezea mule nautafutaga sana unaweza upandisha?
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yanye vyumba vinne mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Miezi minne washagawana mali?

1733900212695.png
 
Mimi naona nimeokota sababu niliizindua mimi na yeye alikuja mara moja baada ya Mimi kuhamia nikasikia kafariki baada ya kupata taarifa kutoka Kwa maboss wenzie
Hao walio kuambia kuwa ndugu wamesha gawana mali, hiyo nyumba hawaijui, ndio hao hao wataambia ndugu kuhusu nyumba unayo ishi kuwa ni yao.

Kaa kwa tahadhari.
 
Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yanye vyumba vinne mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Sio mwongozo ya jinsi ya kukabidhi nyumba yenyewe kwa warithi.
 
hao waliokupa taarifa ya kifo chake ndo watakao-ku-snich
Sidhani sababu hata wao hawajui ilipo mkuu sababu huwa wanakutana na mzee bar na Mimi nilishakutaba nao mara 3 ambapo siku Moja wakanipa taarifa ya kifo chake na Wala hawakuniuliza habari za nyumba nadhani hajawaambia
 
Back
Top Bottom