Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuhDaah baba aliniambiaga kuna nyumba anajenga kisiri na wakati tunagawa mirathi tulisahau kumbe ni wewe mbwa
Leo tunaita kikao
Sawa mkuuTafuta hati bandia , uza, sepa na uende mbali.
Kuna ule uzi wa yule Mpemba alie hujumiwa kunyingwa kwa kumuua muua Mdai wake, nilionaga umeelezea mule nautafutaga sana unaweza upandisha?Hapo mbezi yupo mmoja hivyo hivyo, na aliishachukulia kama kaokota nyumba.
Baada ya miaka mingi walijitokeza ndugu,
Miezi minne washagawana mali?Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yanye vyumba vinne mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Elewa maana ya nimesikia fununu
hao waliokupa taarifa ya kifo chake ndo watakao-ku-snichMimi naona nimeokota sababu niliizindua mimi na yeye alikuja mara moja baada ya Mimi kuhamia nikasikia kafariki baada ya kupata taarifa kutoka Kwa maboss wenzie
Sawa mkuuKaa nayo kimya hongera kwa kuokota nyumba
Hao walio kuambia kuwa ndugu wamesha gawana mali, hiyo nyumba hawaijui, ndio hao hao wataambia ndugu kuhusu nyumba unayo ishi kuwa ni yao.Mimi naona nimeokota sababu niliizindua mimi na yeye alikuja mara moja baada ya Mimi kuhamia nikasikia kafariki baada ya kupata taarifa kutoka Kwa maboss wenzie
Sio mwongozo ya jinsi ya kukabidhi nyumba yenyewe kwa warithi.Wakuu naishi kwenye nyumba ya kupanga na familia yangu yanye vyumba vinne mwenye nyumba alifariki ghafla mwezi wa 4 mpaka Leo mwezi wa 12 nakaa bure naona kama hii ni bahati kutoka Kwa mungu nyumba ya bure sababu nilisikia fununu ndugu wameshagawana Mali zake ila hii hawaijui hii nyumba alikua anafanya Siri sababu ni mpya imezinduliwa mwaka huu naomba muongozo jinsi ya kupata hati miliki ya hii nyumba wakuu
Sidhani sababu hata wao hawajui ilipo mkuu sababu huwa wanakutana na mzee bar na Mimi nilishakutaba nao mara 3 ambapo siku Moja wakanipa taarifa ya kifo chake na Wala hawakuniuliza habari za nyumba nadhani hajawaambiahao waliokupa taarifa ya kifo chake ndo watakao-ku-snich
DuuhSio mwongozo ya jinsi ya kukabidhi nyumba yenyewe kwa warithi.