Ninong'oneze PMKuna kitu cha kiroho ningekusaidia kukufungua macho ila sababu unajitia kiburi basi utakula jeuri yako,, Kama nakumbuka vizuri hata ujauzito wa Kwanza uliuleta humu na ukakwaruzana na wachangiaji (wafukua makaburi watanisaidia hili) sasa hapo ni katka keyboard je huko mtaani wanaokujua hali ikoje!!!!
Ana chai sana huyu demu[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]jamaniii Walimwengu hamna dogo kasema hataki kuachanishwa na mtarajiwa wake biligeti.
Oooh kumbe😂😂😂 Ni mjinga pekee ndie atakaechachawa na maisha ya mtu wa kwenye mtandao wa wasiojulikana, tatizo jamii zetu Ni maskini Sana kiasi kwamba mali/vitu zinatumika km tusi kwa upande pinzani,, muhimu ni Amani ya nafsi, je una furaha na umeridhika na maisha unayoishi?Dada sina chochote hapo nilimjibu mtoa comment tunamuonea wivu mwenzetu kisa ameandikishwa sijui nini..na mimi nimetaja hapo nione kama ntaonewa wivu kama ni rahisi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16] we jeuri sana asee, uzi ulete mwenyewe afu upangie watu cha kupost[emoji849][emoji849][emoji849]Jeuri mwenzie kusudi Haya endelea kufukua makaburi
Kwahiyo unataka kusema mtoto walimuua wanajf hongera mwana wa kiroho[emoji122][emoji122] kumbuka tu hakuna linalotokea bila Mungu kutolipitisha tena ongea yote achana na maswala ya ujauzito wangu dada please
Wewe unayebishana na mtu ambaye hata humjui unauhakika gani ya kwenye keyboard yote ni ya kweli? Kama unaweza kungngnia kubishana na mtu ambaye humfahamu hata jinsia yake kwa masaa mengi hivyo kazi unafanya saa ngapi? Unaoishi nao wanapata tabu sana dada na ujuaji wako!!! Endelea kujua
Na wala sihitaji unisaidie hicho kitu cha kiroho ukiwasaidia wengine inatosha
Nimeshasema sitaki ushauri Mbona umenishikilia wewe dada vipi kwani????
Anajipunguzia stress sio[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilichogundua ni kwamba inawezekana mleta mada ameanzisha mdahalo na wala sio kama anasema kweli
Tumeongezeka wenye kuona wivu😂😂 wit hebu niache nibebike na shemeji yako mimi, mtizamo wangu nimeutoa, na inatoshaAsipoelewa hapa basi[emoji848][emoji848]
Mwanaume anayekupenda hawezi kukwambia hivo asee
Na akimgusia ndoa jamaaa anakosa hamu, anatamani amwambie ukweli...but iko siku atajilipua
Mama wa kiroho anaetoa middle finger ?
Familia haina tatizo ila ina akili sana...ina jicho la tatu[emoji848]Familia upande wa mwanaume inaweza kua tatizo
Jaribu kumuacha.uone itakuwaje wanawake wengi kabla ya ndoa huwa makini sana ila baadhi yenu mkipata ndoa matatizo yanaanza tulia ndugu yangu wanaume wengi wasasa acha ninyamaze acha imani potofu eti hakupendi siunaona wenzako wanatafuta wanaume?Itakua kweli hanipendi mimi pia nawaza hilo
Lakini sasa wanaume wote wanakasoro yeye kasoro yake ndio hiyo hataki kunioa naogopa nisije nikaolewa na mtu ambaye hatuendani vitu vingi huyu 99.9% vyote tunaendana tatizo ni hilo tu hayuko tayari na ananiambia kabisa sipo tayari kwasasa but i’ll marry you
Ila una mdomo mchafu mweeh[emoji134][emoji134]Ushakimbilia mambo ya dini mama wa kiroho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nenda basi ukaombewe hilo pepo la nyege likutoke
We una akili[emoji122][emoji122][emoji23] [emoji23] kwamba hujaelewa hapo au mpaka niandike kabisa, namaanisha hatakiwi upande wa kiumeni ila hamna ushahidi awe mvumilivu tu
hilo swala inaweza kua sababu sema mwanaume anampenda binti anaona asimuache hivi hivi kaamua kumjengea na mjengo na kumpa umiliki kwa baadhi ya mali, jamaa ni muungwan sana hamna ndoa hapo.
Imagine uone wivu kwa mtu humjui kisa ame mention material stuffs..yani nachekaaa..ukiongea unaonekana huna. DahOooh kumbe[emoji23][emoji23][emoji23] Ni mjinga pekee ndie atakaechachawa na maisha ya mtu wa kwenye mtandao wa wasiojulikana, tatizo jamii zetu Ni maskini Sana kiasi kwamba mali/vitu zinatumika km tusi kwa upande pinzani,, muhimu ni Amani ya nafsi, je una furaha na umeridhika na maisha unayoishi?
Haifungwi hii[emoji28][emoji28][emoji28]
Khaaaa[emoji134][emoji134][emoji134]Jiweke wewe upunguze utoko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]uache kutoa harufu Kama kuna paka kaozea huko ndani[emoji18]Ndio maana hupati bwana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Mwanzoni nilipokuwa ninasoma comments zako nilikuona ni dada muelewa, mstahimilivu na mwenye busara sana, kumbe nilikosea mno.
The same personAisee..kwa hiyo tumekua mbwa?
Imagine uone wivu kwa mtu humjui kisa ame mention material stuffs..yani nachekaaa..ukiongea unaonekana huna. Dah