Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

Kimaisha yuko vizuri tu na mimi wala sio tegemezi kwake kila mtu anakazi zake (tunasaidiana)

Usahihi (hapo anajua yeye sasa maybe ameona mimi sio sahihi kwake)

Umri ana 35 mimi niko na 25yrs, naona hapo kwenye utayari wa kuoa kwake yeye mwenzangu bado

Kuishi pamoja, alinikuta najitegemea na yeye alikua anajitegemea, mawazo yake akasema tutafute nyumba kubwa tuishi pamoja hatukua na muda mrefu tangu tuanze mahusiano almost a month tu hivj, so kuanzia hapo hadi sasa tunaishi pamoja mkoa x


Kuzungumzia ndoa
Nimeacha

Ila as wapenzi ni kitu ambacho naona kinaniumiza na yeye ukitaka akose raha basi zungumzia kuhusu ndoa siku nzima atashinda hana furaha kwahiyo kauli yangu ya mwisho nilimwambia sitozungumzia tena kuhusu ndoa ye mwenyewe akiona sasa yuko tayari sawa

Ila ndani kwa ndani naumia sana, kuna leo na kesho hatuijui kesho yetu na bado tunazaa binafsi sipendi lakini sasa sina uwezo wa kulizuia hilo[emoji17][emoji17] sitaki hata sherehe nimemwambia tuhalalishe tu hata watoto wae wa ndani ya ndoa na tuwe tumekamilisha angalau nusu ya dini inavyotaka
Aisee we dada wa ajabu Sana,kwani ukienda kupanga ukaishi mwenyewe tatizo li wapi?
Kwa mfano imetokea wewe umekufa atakupeleka wapi? Au yeye kafa ndugu zake watakuelewa? Utaambiwa umemuua tu,he Hilo utajitetea vipi,ndugu zako na zake wanakua kuwa mnaishi wote?
Nakwambia,sisi wanaume tunajuana,
HAKUOI[emoji34][emoji34]
 
Aisee we dada wa ajabu Sana,kwani ukienda kupanga ukaishi mwenyewe tatizo li wapi?
Kwa mfano imetokea wewe umekufa atakupeleka wapi? Au yeye kafa ndugu zake watakuelewa? Utaambiwa umemuua tu,he Hilo utajitetea vipi,ndugu zako na zake wanakua kuwa mnaishi wote?
Nakwambia,sisi wanaume tunajuana,
HAKUOI[emoji34][emoji34]

Sawa
 
Hatuendani tusingekua wote sasa

Point ni hiyo yeye hayuko tayari choice ni yangu kuwa na sub’rah au kuachana nae

Ni rahisi kuongea tu ila kutenda ni ngumu na huo ndio uhalisia
Subira,huku unazini?[emoji15][emoji15][emoji15]hakuna kitu hicho,akishachoka kutumia atakutimua ndo akili itakaa sawa na hakuna atakae kuona na mitoto ya mtu mwingine then,utaongeza idadi ya single mother.
Dada zetu wa kiislamu sijui aliewaroga Nani,[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Huu uzi naona una trend[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya endeleeni kucomment nitarudi zikifika 1k[emoji41]


Bila kusahau Mashangazi na wajomba mjiandae soon tunawaletea a baby boy na Baba k wangu[emoji41]
 
Sio kuvuna majuto pia nikimuacha hivi sasa namuonea huruma dunia watamcheka maana amejitoa sana kwangu zaidi ya sana nikisema ni mangapi mema na mabaya aliyonifanyia mema ni mengi mno

Miaka 3 sio mingi panapouhai nampa huo muda ili hata nikiamua maamuzi mengine nisipate lawama
Ukimuacha tu fasta,anakuja kukuoa,Sasa wewe ona miaka mitatu sio mingi,
Mtoto anazaliwa mpaka anatembea wewe unasema sio mingi?
Yaani unalala nae bila ya nguo miaka mitatu[emoji15][emoji15]
Hapo hata Mimi sikuoi
 
unatak uolewe vp wee na unaishi nae
mnakuaga wehu tu
wee anza kumzalia tuu
ndoa ya nn na mnagegedana tu kila cku unalala na chupi alfu untk ndoa
wee anza kumzalia simamia majukum ako km mke achna na hayo mambo yanapoteza muda
 
Kuna waZazi wanawakataza watoto wao kutafuta maisha?? Wanajua niko huku kikazi..
Yaani kumbe mnaishi na mtu mpaka mnazaa ,mnazini,wazazi wako hawajui[emoji15][emoji15]
Kweli jamaa ni haki yake kukataa kukuoa,maana hujitambui kabisa
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia[emoji39])

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Suala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini

View attachment 1781917
wakati unasubiri akuoe njoo mapumzko kwangu maana amekuruhusu kuachana nae
kama unahis unacheleweshwa mimi bada ya ww kunikubali tu, hapo hakuna swaum maana mnalala wote
na swaum zenu haziswihi hata kidogo.
 
Huu uzi naona una trend[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya endeleeni kucomment nitarudi zikifika 1k[emoji41]


Bila kusahau Mashangazi na wajomba mjiandae soon tunawaletea a baby boy na Baba k wangu[emoji41]
Hongera sana dada naona kuha harufu humu ya single mother wanahasira, bora kukomaa tu na maisha yako
 
Huku ww umefata kupotea kwani umekosa hata mashehe wakupe muongozo? Hum watu wanaungua na ndoa nauchumba sugu utajifunza nn hata tuseme nn hakuna anaejua ukweli wamawazo yake zaid yaye mwenyewe
 
Kimaisha yuko vizuri tu na mimi wala sio tegemezi kwake kila mtu anakazi zake (tunasaidiana)

Usahihi (hapo anajua yeye sasa maybe ameona mimi sio sahihi kwake)

Umri ana 35 mimi niko na 25yrs, naona hapo kwenye utayari wa kuoa kwake yeye mwenzangu bado

Kuishi pamoja, alinikuta najitegemea na yeye alikua anajitegemea, mawazo yake akasema tutafute nyumba kubwa tuishi pamoja hatukua na muda mrefu tangu tuanze mahusiano almost a month tu hivj, so kuanzia hapo hadi sasa tunaishi pamoja mkoa x


Kuzungumzia ndoa
Nimeacha

Ila as wapenzi ni kitu ambacho naona kinaniumiza na yeye ukitaka akose raha basi zungumzia kuhusu ndoa siku nzima atashinda hana furaha kwahiyo kauli yangu ya mwisho nilimwambia sitozungumzia tena kuhusu ndoa ye mwenyewe akiona sasa yuko tayari sawa

Ila ndani kwa ndani naumia sana, kuna leo na kesho hatuijui kesho yetu na bado tunazaa binafsi sipendi lakini sasa sina uwezo wa kulizuia hilo[emoji17][emoji17] sitaki hata sherehe nimemwambia tuhalalishe tu hata watoto wae wa ndani ya ndoa na tuwe tumekamilisha angalau nusu ya dini inavyotaka
Mkuu pole sana, ndoa ni ibada muombe Mungu sana anaweza akafungua ikawa rahis sana. Nyinyi mnaweza kuishi hivyo, mnapata dhambi ila ndio hamna namna, ila mnawakosea sana watoto kuwazaa nje ya ndoa dada angu, mbaya sana na watakosa heshima!
 
Huu uzi naona una trend[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya endeleeni kucomment nitarudi zikifika 1k[emoji41]


Bila kusahau Mashangazi na wajomba mjiandae soon tunawaletea a baby boy na Baba k wangu[emoji41]
COMMENT HII NDO NIMEONA KUMBE WEWE NI KILAZA
UNAFURAHIA UZI WAKO KUWA ON TRENDING BADALA YA KUFATA USHAURI WA WATU
KIUFUPI IKO HV UYO JAMAA AKUOI MAANA AMEICHOKA 'K' YAKO TAMBUA HVYO JIONGEZE TU.
 
Hello sweet darling,, uko sahihi sana, ila tu hapo kwenye uzinifu wake kusema anafanya ukristo nadhani Ni kujaribu kuukwepa ukweli ya kuwa kaaibisha uislam, aina yake ya uolewaji haitambuliki popote iwe ukristo ama uislam, sio busara kuhamisha magoli ulichofanya hapa ni kudhihaki ukristo,,

Yani muislamu akikosea mna tabia ya kuwakana na kuwasukumizia kwenye ukristo hamuwezi kuonyesha utakatifu wenu pasipo kudhihaki ukristo🤷
Babe Samahani nimekosea,haitojirudia tena,ila tamaduni ya wakristo huwa wanaishi hadi wanapata wajukuu wanakaa pale mbele wakati babu zao wanafunga ndoa.Nisamehe nimekosa mpenzi,Mzima lakini?Karibu huku kwetu igomadete.
 
Babe Samahani nimekosea,haitojirudia tena,ila tamaduni ya wakristo huwa wanaishi hadi wanapata wajukuu wanakaa pale mbele wakati babu zao wanafunga ndoa.Nisamehe nimekosa mpenzi,Mzima lakini?Karibu huku kwetu igomadete.
😍😍 Wakristo wanaofanya hivyo wao pia wanakosea na baadhi ya madhehebu huwa hawapewi huduma zozote za kikanisa, ni ishu pana Sana hii haifai tuijadili hapa

Anyway wewe ndie mwalimu wangu naamini umeteleza, msomali wako kakumiss sana, nitakucheck whatsup baada ya Ramadhan, futari njema kwako, love you always😘
 
Back
Top Bottom