Naishindaje hofu ya kifo inayoniandama?

Naishindaje hofu ya kifo inayoniandama?

Kwanza pole sana ,pili nikuambie tuu kuwa hii hali inatokea sana kadili unapokuwa mtu mzima kwa maana kuongezeka umri , sababu ni majukumu tulionayo na matamanio ya ndoto zetu ,sasa isikupe shida chakufanya iambie nafsi yako kwamba juzi nliogopa kufa na sikufa hali kadhalika jana pia sikufa na leo sifiii apo tuu , nasema hivi kwasabu mimi mwenyewe imenitokea hii kitu na ndio mbinu nlio tumia ,lakin jitaid kusali binafsi usitegemee sana kuombewa omba mwenyewe ivoo tuu mkuu.
Ahsante sana kwa ushauri mkuu..!
 
Puuzia !! Usiwe serious sana na maisha yenyewe, enjoy kila unapopata nafasi ya kufanya hivyo
Kufa ni lazima mkuu , i hate the idea ya kwanini tunazaliwa na kuja kufanya struggles zote hizi huku kifo kinatusubiri muda wote.
Kweli kabisa aisee, nakubaliana na wewe.
 
Nimeona bandiko lako,kwanza nikupe pole,Wewe Ni mkristo kwa sababu unaenda kanisani,ushauri rahisi ninaokupa mpokee Bwana Yesu Kama Mwokozi wako,halafu mtwike yeye fadhaa Zako zote, ninaamini hofu yote itatoka . Yesu mwenyewe anasema You 14: 1 Msifadhaike mioyoni mwenu munamwamini Mungu Baba munismini na Mimi nyumbani mwa Baba yangu Kuna makao mengi
 
Hahaha jomba unaogopa kifo kweel!!! duh kuwa serious basi tutaongea yoote ila tatZ umejikita sana huku
 
Tafuta binti wa kizaramo ama kimakonde akuchangamshe mkuu, ukifia kwenye kinena umekufa kiume! Kiroho tunasema unachokifanya sasa ni ku bypass kifo chako mkuu, unaki cheat, yaani unaitwa lakini hutaki kuitika, bado uko na mission hujaimaliza, ukiikamilisha hata usipolala kitakukuta ukiwa macho..ni suala la Muda tu, wewe lazma UFE TU! ( Kama ulizaliwa na mwanamke ) ngoja nilegeze maneno mkuu

Sote kifo ni lazima, ili tuishi tena.
 
Mara nyingi nikitoka kwenye mihangaiko yangu, narudi ghetto kwangu ambapo naishi peke yangu, so mida ya kuanzia saa moja usiku kuendelea most of the time huwa nakuwa peke yangu.
Tatizo linakolezwa na hiki kitu, upwekwe kama huna uwezo wa kuji keep busy na vitu kama movies, games, talking with friends, kujirusha na ku chill kwenye viwanja vya kurudani etc it's very dangerous kama kuna kitu kinasumbua ubongo wako...
 
Zaburi 34:4
"Nilimwomba Mwenyezi-Mungu naye akanijibu, na kuniondoa katika hofu zangu zote."
Mathayo 11:28
"Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha."
Shukrani sana mkuu kwa mstari hii, imenipa faraja. Nimeiandika kwenye notebook yangu, nitakua naipitia mara kwa mara.
[emoji112][emoji1666][emoji120]

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Anza kunywa pombe na usiku uwe unajichanganya kwenye makumbi ya starehe utokaa ukiwaza uwo ujinga kamwe
 
Ondoa mawazo ya kufa kufa. Kifo kipo kwa uhakika. Usali, usisali haibadili lolote.
 
Tafuta wataalamu wa saikolojia ndugu yangu, pia omba kwa imani yako hofu iondoke.
 
Wakuu salama?

Hivi karibuni, hasa kwa mwaka huu wa 2021 nimoepoteza watu wa karibu wengi sana tangu huu mwaka uanze; Nimepoteza wazee wangu-baba wakubwa wanne, pia nimepoteza marafiki zangu wale wa inner cycle watatu,akiwemo rafiki yangu mmoja wa karibu sana aliefariki kwa kansa ya utumbo, na jamaa zangu wengine kadhaa (ndugu wa mbali na marafiki).

Pia, kuna vifo viwili vya wana JF vya hivi karibuni ambavyo vimenigusa sana, cha ip_mob na warumi hawa watu nilikua nawakubali sana hapa JF japo sijawahi kukutana nao uso kwa uso.

Hivi vifo kwa huu mwaka vimenifanya nimekua mtu wa hofu sana juu ya kifo; Yaani sasa hivi nawaza sana juu ya kifo na nashikwa na uoga wa kutisha hadi natetemeka.

Mara nyingi usiku nakosa kabisa usingizi, nawaza juu ya kifo hadi machozi yananitoka. Saa zingine naogopa hata kulala usiku na kuufukuza usingizi, maana nawaza kuwa naweza nikalala nisiamke tena, nikapotelea usingizini na kuaga dunia.

Hii hali naona imeanza kuathiri shughuli za mihangaiko yangu, kwani mchana nakua nimechoka sana na pia inanikosesha amani kabisa naishi maisha ya wasiwasi sana.

Ndugu zangu, nimekuja humu kuwauliza je nyie wenzangu mnatumia mbinu gani kuondoa hofu juu ya kifo au kuwafanya msiwaze au kuogopa kifo?

Nimejaribu kuwa nasali sana na kwenda kanisani kila siku, nimeongea pia na mchungaji na amenifanyia maombi na kunipa nasaha, lakini bado imekua ngumu sana kwa mawazo na uoga huo kunitoka.

Naomba mnisaidie ndugu zangu nawezaje kupambana na hii hali?

Naomba mnisaidie wadau.
Ahsanteni.
Nenda kanisaninpale kwa mcgungaji katunzi mbagala stand ya shamba hapo ndugu utaombewa utapona
 
Mkuu, maiti inawezaje tena kuogopa kifo?
Kimsingi wanadamu wote ni maiti zinazotembea.
Ili tupate tumaini la uhai, lazima tujifiche kwa Yeye aliyekufa kisha akawa hai tena milele!
Wakuu salama?

Hivi karibuni, hasa kwa mwaka huu wa 2021 nimoepoteza watu wa karibu wengi sana tangu huu mwaka uanze; Nimepoteza wazee wangu-baba wakubwa wanne, pia nimepoteza marafiki zangu wale wa inner cycle watatu,akiwemo rafiki yangu mmoja wa karibu sana aliefariki kwa kansa ya utumbo, na jamaa zangu wengine kadhaa (ndugu wa mbali na marafiki).

Pia, kuna vifo viwili vya wana JF vya hivi karibuni ambavyo vimenigusa sana, cha ip_mob na warumi hawa watu nilikua nawakubali sana hapa JF japo sijawahi kukutana nao uso kwa uso.

Hivi vifo kwa huu mwaka vimenifanya nimekua mtu wa hofu sana juu ya kifo; Yaani sasa hivi nawaza sana juu ya kifo na nashikwa na uoga wa kutisha hadi natetemeka.

Mara nyingi usiku nakosa kabisa usingizi, nawaza juu ya kifo hadi machozi yananitoka. Saa zingine naogopa hata kulala usiku na kuufukuza usingizi, maana nawaza kuwa naweza nikalala nisiamke tena, nikapotelea usingizini na kuaga dunia.

Hii hali naona imeanza kuathiri shughuli za mihangaiko yangu, kwani mchana nakua nimechoka sana na pia inanikosesha amani kabisa naishi maisha ya wasiwasi sana.

Ndugu zangu, nimekuja humu kuwauliza je nyie wenzangu mnatumia mbinu gani kuondoa hofu juu ya kifo au kuwafanya msiwaze au kuogopa kifo?

Nimejaribu kuwa nasali sana na kwenda kanisani kila siku, nimeongea pia na mchungaji na amenifanyia maombi na kunipa nasaha, lakini bado imekua ngumu sana kwa mawazo na uoga huo kunitoka.

Naomba mnisaidie ndugu zangu nawezaje kupambana na hii hali?

Naomba mnisaidie wadau.
Ahsanteni.
 
Wakuu salama?

Hivi karibuni, hasa kwa mwaka huu wa 2021 nimoepoteza watu wa karibu wengi sana tangu huu mwaka uanze; Nimepoteza wazee wangu-baba wakubwa wanne, pia nimepoteza marafiki zangu wale wa inner cycle watatu,akiwemo rafiki yangu mmoja wa karibu sana aliefariki kwa kansa ya utumbo, na jamaa zangu wengine kadhaa (ndugu wa mbali na marafiki).

Pia, kuna vifo viwili vya wana JF vya hivi karibuni ambavyo vimenigusa sana, cha ip_mob na warumi hawa watu nilikua nawakubali sana hapa JF japo sijawahi kukutana nao uso kwa uso.

Hivi vifo kwa huu mwaka vimenifanya nimekua mtu wa hofu sana juu ya kifo; Yaani sasa hivi nawaza sana juu ya kifo na nashikwa na uoga wa kutisha hadi natetemeka.

Mara nyingi usiku nakosa kabisa usingizi, nawaza juu ya kifo hadi machozi yananitoka. Saa zingine naogopa hata kulala usiku na kuufukuza usingizi, maana nawaza kuwa naweza nikalala nisiamke tena, nikapotelea usingizini na kuaga dunia.

Hii hali naona imeanza kuathiri shughuli za mihangaiko yangu, kwani mchana nakua nimechoka sana na pia inanikosesha amani kabisa naishi maisha ya wasiwasi sana.

Ndugu zangu, nimekuja humu kuwauliza je nyie wenzangu mnatumia mbinu gani kuondoa hofu juu ya kifo au kuwafanya msiwaze au kuogopa kifo?

Nimejaribu kuwa nasali sana na kwenda kanisani kila siku, nimeongea pia na mchungaji na amenifanyia maombi na kunipa nasaha, lakini bado imekua ngumu sana kwa mawazo na uoga huo kunitoka.

Naomba mnisaidie ndugu zangu nawezaje kupambana na hii hali?

Naomba mnisaidie wadau.
Ahsanteni.
Tafuta demu usiku muwe mnachati na mara Moja moja una mwagilia Shamba lake naamini utafikiria hayo mambo ya kufa kufa
 
Back
Top Bottom