Naitaji Cashier wa Min Restaurant ( Kigamboni)

Naitaji Cashier wa Min Restaurant ( Kigamboni)

Mkuu pitia sheria za kazi kidogo ujue mfanyakazi anastahili kufanya kazi masaa mangapi kwa siku. La sivyo utakuja kufungwa kwa utumwa.

Sasa saa moja asubuhi si ndio muda wa kwenda kununua vitu? And restaurant unaweza kufunga saa mbili?
 
Kitaa Ni kigumu Sana ,,,

Wanaokuzodoa wengi Wana kazi !

Mkuu, kwa huo mshahara may be umpe chakula , nauli au alale kwako !!!

Alafu sikushauri Sana utafute kijana wa.kazi mitandaoni !!! Huna ndugu? Jamiii unayoishi VP ? Kijjn kwenu ? Au born town ,,, unapoabudu ??? Majirani ? Kote huko huwezi kosa kijana

Kila la kheri
 
Basi andiko lako ungelijaza nyama nyama maana limekaa km skeleton, kila atakaelisoma ataishia kukulaumu maana maelezo yako hayajajitosheleza, kuna maelezo yana-miss andika vizuri,

Yan yy kazi yake anakaa kwenye meza na laptop kama anajua kutumia au daftari, anataka records za mauzo yote na wakati wa kufunga anajua nn kesho kinaitajika na hesabu ziko sawa

Kama hakuna wateja anaangalia movie tu
 
Kitaa Ni kigumu Sana ,,,

Wanaokuzodoa wengi Wana kazi !

Mkuu, kwa huo mshahara may be umpe chakula , nauli au alale kwako !!!

Alafu sikushauri Sana utafute kijana wa.kazi mitandaoni !!! Huna ndugu? Jamiii unayoishi VP ? Kijjn kwenu ? Au born town ,,, unapoabudu ??? Majirani ? Kote huko huwezi kosa kijana

Kila la kheri

Hao wote wapo kazini hawajui Hali ya mambo
 
Naitaji kijana wa kike au kiume ambae amemaliza form 4 na anaweza kufanya kazi ya kusimamia mauzo na manunuzi ya vitu kwenye restaurant

Kazi yake kubwa itakuwa ni kufunga hesabu za siku,
kujua maitaji ya vitu vinavyoitajika
Kwenda kununua hivyo vitu
Na kusimamia mauzo


Kazi ni kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa tano usiku

Chakula free

Akiwa anakaa Kigamboni itakuwa safi zaidi

Salary LAKI MOJA

ALie tayari DM
Weka mawasiliano watu wakutafutie vijana wa kazi hiyi
 
Yan yy kazi yake anakaa kwenye meza na laptop kama anajua kutumia au daftari, anataka records za mauzo yote na wakati wa kufunga anajua nn kesho kinaitajika na hesabu ziko sawa

Kama hakuna wateja anaangalia movie tu
Ndio ungeandika pale juu sasa kwenye andiko, watu wakusome fanya editing elezea kwamba utampa nauli ya kwenda na kurudi na chakula utampa free, asubuhi, mchana na usiku na yeye kazi yake itakua ni kuandika Mauzo na Mahitaji basi au kutakua na kazi nyingine ya kufuata mizigo sokoni?
 
Kitaa Ni kigumu Sana ,,,

Wanaokuzodoa wengi Wana kazi !

Mkuu, kwa huo mshahara may be umpe chakula , nauli au alale kwako !!!

Alafu sikushauri Sana utafute kijana wa.kazi mitandaoni !!! Huna ndugu? Jamiii unayoishi VP ? Kijjn kwenu ? Au born town ,,, unapoabudu ??? Majirani ? Kote huko huwezi kosa kijana

Kila la kheri
Amekuja mtaandaoni atayapata ya mtandaoni...
Muwekezaji huyu..
 
Kitaa Ni kigumu Sana ,,,

Wanaokuzodoa wengi Wana kazi !

Mkuu, kwa huo mshahara may be umpe chakula , nauli au alale kwako !!!

Alafu sikushauri Sana utafute kijana wa.kazi mitandaoni !!! Huna ndugu? Jamiii unayoishi VP ? Kijjn kwenu ? Au born town ,,, unapoabudu ??? Majirani ? Kote huko huwezi kosa kijana

Kila la kheri
Wewe hujaelewa mkuu, maelezo aliyotoa hayajajitosheleza ndio maana watu wamehoji kwani kuhoji ni vibaya?
 
Ww una kazi ndio maana unaweza kusema hivyo, maisha yapo tofauti sana
So hiyo posho ya 3000+ kwa siku uliipanga kwa kutazama watu hawana ajira au ulipanga kwa kuzingatia stahiki ya malipo anayotakiwa lipwa mtu kama ujira wa kazi yake.
 
Laki moja means nimepiga gharama zangu zote za uendeshaji au unataka me nipate hasara kwa ajili yake?
Sasa gharama zako zinahusiana vipi na posho ya msaidizi wako?! Yaani wewe unatakiwa ujilipe mwishoni kabisa sio msaidizi wako alipwe mwisho.

Sasa unaposema nimepiga gharama zangu ziye za uendeshaji , huyo msaidizi wako sio sehemu ya gharama za uendeshaji.
 
Ww una kazi ndio maana unaweza kusema hivyo, maisha yapo tofauti sana
Mkuu hata kama kuna uhaba wa kazi tujitahidi kuwa fair kwa watu tunaowaajiri, ni kweli utampata na atafanya kwa ajili ya shida ila kiubinadamu sio sawa.

Nikupe experience nina biashara kama yako pia ya restaurant na ninaifanya kwa masaa 24, wadada wanakuja kwa shift yule atakaekuja saa 1 asubuhi ikifika saa 12 jioni amemaliza kukusanya pesa anaondoka na ninamlipa 5000 kwa siku sawa na yule anayeingia usiku saa 1 akatoka saa 12 asubuhi.

Kuna mmoja akajiongeza anakuja asubuhi saa 1 ikifika saa 12 anapika chakula anaenda kuuza stendi mpaka saa 4 au usiku kiukweli nilikuwa nampa 7000 kila siku mpaka siku nyingine 10000. Nao wanapata moyo wa kufanya kazi na atakupa idea za kuendeleza biashara yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka Ile nimemaliza Chuo Kikuu nikawa nafanya kazi kwenye Kampuni ya Mhindi mshahara 300k kwa mwezi, kwa Ugumu wa maisha ya DSM nilifanya miezi 2 nikaacha.

Kumbuka miaka Ile unapata gengeni sukari ya kupima ya 150, unga wa 150 na dagaa kauzu wa 100

Imagine kwa maisha haya ya Mfumko wa bei hali inakuwaje kwa mtu kupokea shilingi 100,000 ataweza kumudu gharama za maisha?

Jaribu kuvaa viatu vya huyo mtafuta kazi boss
 
Mkuu hata kama kuna uhaba wa kazi tujitahidi kuwa fair kwa watu tunaowaajiri, ni kweli utampata na atafanya kwa ajili ya shida ila kiubinadamu sio sawa.

Nikupe experience nina biashara kama yako pia ya restaurant na ninaifanya kwa masaa 24, wadada wanakuja kwa shift yule atakaekuja saa 1 asubuhi ikifika saa 12 jioni amemaliza kukusanya pesa anaondoka na ninamlipa 5000 kwa siku sawa na yule anayeingia usiku saa 1 akatoka saa 12 asubuhi.

Kuna mmoja akajiongeza anakuja asubuhi saa 1 ikifika saa 12 anapika chakula anaenda kuuza stendi mpaka saa 4 au usiku kiukweli nilikuwa nampa 7000 kila siku mpaka siku nyingine 10000. Nao wanapata moyo wa kufanya kazi na atakupa idea za kuendeleza biashara yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwangu ndio naanza boss but Kwa vile ww ni mtaalam, nitakudm unaweza kunishauri mambo mengi mazuri ya biashara
 
Back
Top Bottom